Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Wanakera sasa. Na binadamu tumeumbwa na nyongo. Mtu hawez kukukashfu umchekee
Kwa vile hakujui na humjui mpishe apite wengine mizigo humu watakuharibia siku bila sababu jifunze kuwapuuza wa humu labda anae kashfu ana kwa ana huyo pambana nae
 
Humu ndani tikitulia vzuri na kufahamiana vzuri huenda tukafarijiana.Mi ni lisngle dad nlobobea napatikana arusha
 
Mimi Mke nilie zaa nae yupo ....lakin Natunza Mtoto wangu akikua Namchukuaa..... Akifikisha Miaka 3 nabeba ......

Motivation_Ba.D
We unatunza na Mimi natunza vilevile ...aisee sikupi ng'ooo.kwan Mimi sihitaji mtoto?
 
Au kama vip tufungue ata kagroup ketu manake hawa wenzety wana yynyanyapaaa sanaaaaaaaa
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri uliwachukua mapema na kuwapa matunzo..sasa kuna wengine wanaacha mtoto matunzo hatoi ..badae anakuja kudai mtoto..sikupiiii
 
Wadau mimi nina swali, nasikiaga watu wakisema kubemenda,

Je nini maana ya hili neon kubenda?
 
Baba yake amekufa??? Tena toto lenyewe la kiume hahahah...!
Kwa hiyo wewe ni wa kike unavyondharau huyu wangu wa kiume? Kama umebahatika kulelewa na wazazi wako wore wawili piga magoti umshukuru Mungu, wengine hata sura za wazazi wao hawazijui
 
Wote walio comment humu ni ma single something , lakini hawapendi kujieleza, bali wanaeleza ya wengine, fyuuu
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko vzr ni kina baba wachache wanaweza hata kutambua mtoto wake, anapenda nini na hapendi nini.
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, kazana tu ndo kulea kwenyewe huko
 
Back
Top Bottom