Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Wanasemaga watoto wa kiume wanajuaga rivals wao.Hapo ndio utata sasa...mtoto anajuaje huyu rafik huyu sio...halaf marafik wa kiume?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga watoto wa kiume wanajuaga rivals wao.Hapo ndio utata sasa...mtoto anajuaje huyu rafik huyu sio...halaf marafik wa kiume?!
Sijamficha mwanangu kumjua baba yake. Baba yake huwa anakuja mara chache kumuangalia mtoto na sijawahi kumkatalia hata kama anasumbua kwenye matumizi ila akija huwa namkaribisha amuone mtoto wake kwa moyo mmoja.Ebu chukulia na wewe usingepata fursa ya kumjua baba yako kama unavyomficha mwanao ungejisikiaje?
Haka kakwangu kakubwa zaidi. Nahofia katammemenda kama Zari anavyombemenda PlatinamzMwaka na miezi miwili. Kama karembo katatufaa kweli.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]. Ndo vizuri amkuze bby wake mwenyewe sio Zari kamchukua diamond keshatumika na kina Wema Wolper.Haka kakwangu kakubwa zaidi. Nahofia katammemenda kama Zari anavyombemenda Platinamz
Basi sawa mkwe. Anza kabisa mipango ya mahari nikukabidhi kifaa cha haja[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]. Ndo vizuri amkuze bby wake mwenyewe sio Zari kamchukua diamond keshatumika na kina Wema Wolper.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sawa mkwe weka namba ya mpesa nianze kutuma mahari.Basi sawa mkwe. Anza kabisa mipango ya mahari nikukabidhi kifaa cha haja
Nakutumia inbox. Hapa hadharani wafitini hawachelewi kuukatisha ukwe wetu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] sawa mkwe weka namba ya mpesa nianze kutuma mahari.
Niko hapa single mama mtoto wa kiume 2years sio tegemezi kama upo single father unaejitambua twende kazi. HahaaaaaaGuys habari zenu,natamani single parents tukutane hapa tuzungumze na tujengane na wengine waunge undugu waunganishe familia,single+single waweza get1 pair[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12].
Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Kwakuwa sikupenda iwe hivyo na sikuwahi hata fikiri kuwa ipo siku nitakuja kuwa single mumy, lakini ndo hivo hakuna namna
Usijali atatokea mnaefanana
Vizuri snAsante kwa kunitia moyo, hope nayeye ananiombea Mimi na mtoto huko aliko japo aliondoka duniani kabla mtoto hajazaliwa nami namuombea apumzike kwa amani huko aliko
Jamani hilo group la single fathers / mothers mbona silielewi ni kweli limeundwa or not?
Pole sanaam single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
Pole miss farajaMmmm!!! To be honest am single mum but not proud
Safii, HongeraNipo hapa. Single mom wa mtoto mmoja mzuri sana wa kiume. Japo babake mzinguaji but I love my son to death.
Asante mkuuSafii, Hongera