bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Baba yake amekufa??? Tena toto lenyewe la kiume hahahah...!Habari, single mom of 14months lovely boy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yake amekufa??? Tena toto lenyewe la kiume hahahah...!Habari, single mom of 14months lovely boy
Bora umesema the least wote ni small mind tupu..!Eti single mother na Father
Tukiondoa wale waliofiwa wenza wao
Nyinyi wengine ni matatizo
Asante rafikiPole sana
Hii akili mungekuwa nayo kabla ya kuzaa mungekuwa mbali mno..! Tumikieni matokeo ya uzembe na ujinga wenu hasa ambao hamjafiwa na wenza wenu..!Good idea
We jamaa mwanaume kwanini unadanganya sasa,au unawaonea wivu wanawake wakiliwa na wewe unataka ujaribuNi
Niko hapa single mama mtoto wa kiume 2years sio tegemezi kama upo single father unaejitambua twende kazi. Hahaaaaaa
Sasa ujinga wetu wewe unakuwasha nini kama sio genye? Umeitwa huku? We singo faza au single maza au kimbelembele ndo kimekuleta kucomment kwenye nyuzi isiyokuhusu?Hii akili mungekuwa nayo kabla ya kuzaa mungekuwa mbali mno..! Tumikieni matokeo ya uzembe na ujinga wenu hasa ambao hamjafiwa na wenza wenu..!
Ni maisha pia hakuna tatizo kuna wanaotamani kwa ghalama ueyote lakini wapiMmmm!!! To be honest am single mum but not proud
UsinikoseGood idea
Majaaliwa hayo leo mwanao utainjoy Mola akijaalia.Nipo hapa. Single mom wa mtoto mmoja mzuri sana wa kiume. Japo babake mzinguaji but I love my son to death.
Limeanzishwa tayari mkuuUsinikose
Pole sana kiongozi ndo maisha yalivyoam single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
Hata wengine wanaowaona single mom humu kama mashetani utakuta wamelelewa na mama zao tena kwa shida ila wakija huku ndo wa kwanza kuwadharau single moms. Mimi kama moyo wangu umeridhia hata mpuuz gani aongelee lake hanitii simanzi sana sana ntampa pale limuingie. Mpende mama yako si unaona huku sisi tunavyonyanyasika eeh? Ila wala hatuwachukii watoto wetu tunapambana nao hivyo hivyoMajaaliwa hayo leo mwanao utainjoy Mola akijaalia.
Nimelelewa na mother apa
We ushajiunga?Limeanzishwa tayari mkuu
Usbishane na watu humu kauli ikiwa mbovu ipishe hutoboki mahala.Hata wengine wanaowaona single mom humu kama mashetani utakuta wamelelewa na mama zao tena kwa shida ila wakija huku ndo wa kwanza kuwadharau single moms. Mimi kama moyo wangu umeridhia hata mpuuz gani aongelee lake hanitii simanzi sana sana ntampa pale limuingie. Mpende mama yako si unaona huku sisi tunavyonyanyasika eeh? Ila wala hatuwachukii watoto wetu tunapambana nao hivyo hivyo
Sijajiunga bado mkuu.We ushajiunga?
Wanakera sasa. Na binadamu tumeumbwa na nyongo. Mtu hawez kukukashfu umchekeeUsbishane na watu humu kauli ikiwa mbovu ipishe hutoboki mahala.
Mama angu nipo nae vere weli
Ntakutafuta pembeniLimeanzishwa tayari mkuu
Karibu mkuuNtakutafuta pembeni
OK,poa ukijiunga utaniambiaSijajiunga bado mkuu.
Upo huko na wewe?OK,poa ukijiunga utaniambia