King Sulyman87
Member
- May 20, 2020
- 33
- 26
Kabisaaaaaaa yaan watu sijui uwa wanaiman ipi Tena kwa mwaume akisikia mwanamke ana mtoto au watoto daaahTunachokipitia sio rahisi MTU ambae hana situation kama yetu kikielewa
Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
Njooo pm pleaseKabisaaaaaaa yaan watu sijui uwa wanaiman ipi Tena kwa mwaume akisikia mwanamke ana mtoto au watoto daaah
Embu mtwambie uwa mnawaza nn mkisikia kau iyo
SIJAOLEWA NINA MTOTO
Very sorryAm single faza, mwanangu ametimiza two years juzi tu.
Mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
AiseeeeDaah kweli dunia duara. nikikumbuka wadada walivyokuwa wanatunyanyapaa kwenye ile foolish age kwa kutudisi sie wa age yao na kuwapapatikia mahendsam na wenye nazo hata km wamewazidi umri ...daah siwezi kusahau. leo wamekula kibuti wameachiwa mbegu wanalialia eti ooh masingo maza tunahtaj faraja nyambaff.. kweli mungu analipa hapahapa duniani.
Njoo pm mremboMbona mirejesho hakuna jamani???
Daah kweli dunia duara. nikikumbuka wadada walivyokuwa wanatunyanyapaa kwenye ile foolish age kwa kutudisi sie wa age yao na kuwapapatikia mahendsam na wenye nazo hata km wamewazidi umri ...daah siwezi kusahau. leo wamekula kibuti wameachiwa mbegu wanalialia eti ooh masingo maza tunahtaj faraja nyambaff.. kweli mungu analipa hapahapa duniani.
Njoo pm mrembo
Single father nipo hapa jamani nahitaji mwenza(single mother) naishi Dar es salaam