Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Mimi Mke nilie zaa nae yupo ....lakin Natunza Mtoto wangu akikua Namchukuaa..... Akifikisha Miaka 3 nabeba ......

Motivation_Ba.D
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi raha ur a good dad
 
Mimi niolewe nisiolewe nashukuru Mungu kanibariki kanipa mtoto mzuri Wa kike Jamani roho yangu, ndio mama yangu kiukweli sijutii kuwa Na Huyu mtoto. Mungu amkuze vyema kuna waliobarikiwa kuolewa harusi kubwa tu za kifahari ila mpaka sasa hawajapata mtoto. Kuwa Na mtoto ni kitu kimoja cha bahati, kuolewa ni sheria kuzaa ni majaaliwa ndoa nyingi zinatetereka kisa mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa vituko vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi niolewe nisiolewe nashukuru Mungu kanibariki kanipa mtoto mzuri Wa kike Jamani roho yangu,ndio mama yangu kiukweli sijutii kuwa Na Huyu mtoto Mungu amkuze vyema kunawaliobarikiwa kuolewa harusi kubwa tu zakifahari ila mpaka sasa hawajapata mtoto kuwa Na mtoto nikitu kimoja cha bahati kuolewa nisheria kuzaa ni majaaliwa ndoa nyingi zinatetereka kisa mtoto

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanao ana miaka mingapi?
 
Back
Top Bottom