Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Single fathers and mothers njooni tujenge familia

Kaeni hivyo basi mpambane na hali zenu kama ulizaa kwa kupenda endelea hivyohivyo..!

Wengi huwa tunawatongoza kwa nia ya kujipatia papuchi tuuh kuoa hakuna mtu atakaye acha gari mileage 50 akanunue mileages 200000.[emoji773][emoji41][emoji41]

Mkubali kuwajibika kwa makosa yenu. Kuamua kuoa single maza ni kwa hisani tu asijeniletea ubabe eti lazima nitunze mwanaye akiniomba kwa hekima I can do but siyo kwa namna atakavyo yeye.
Ubarikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wa kiume,ana miaka miwili tu..alipofariki mamake mama yake mkubwa alimchukua kumlea.

Pole mpendwa...... Mungu hamuachi mwenye haki, atamkuza mtoto katika hekima na kimo
 
Sema nini single fathers hawa mmmmmm ngumu to be single afain
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Nice. Gud dad
 
Mi ni single mother nina watoto wawili wa kike, mmoja miaka 9 na mwingine 6. Mimi mwenyewe nina miaka 34, nilipata talaka mwaka 2014 baada ya mi kwenda UDOM kujiendeleza kielimu mwanaume akatekwa na ndo ikawa chanzo cha talaka, nina imani hakuwa wangu wa kwangu atakuja, bado nina imani katika ndoa, tuombeane na kufarijiana wapendwa.
 
Huku kuna vituko

Wengine wanamshukuru Mungu kuzaa kwa zinaa na wanafurahia uzao wa zinaa, wengine kujifariji tuu kwa zinaa walizopitia

Hakuna mwema hata mm nina yangu ila hapa unajidhalilisha na unamtukana Mungu japo hatukujui,bora ujutie hapa ila sio kujifurahia na hapohapo unamshirikisha Mungu katika upuuzi uliofanya ukazaa tunda linalokutesa sasa
 
Nice. Gud dad
I love it, always watoto wa kike huwa na mapenzi na baba zaidi kuliko mama hasa wakiwa wadogo na huyo wa kiume kama angekuwepo mama yake basi ungemuona ambavyo angempenda mama yake, ni ishu ya kisaikolojia, hongera kwa kuwatunza vema, keep it up.
 
Proudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu.

Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
 
Mleta mada anataka tushirikishane changamoto ila naona wengi mmeenda nje ya mada. Am single dad with two kids mkubwa ni wakike mdogo ni wakiume, changamoto kubwa naipata kwa huyu wa kike hapendi kula kabsa tangu akiwa mdogo now ana 5 yrs, kuna wakati ili ale inabdi nimuimbie wimbo anaoupenda ndio atakula na hapo mpatane idadi ya vjiko atakavyokula na inabdi nitumie ujanja wa kuchota kijiko kilichojaa vzuri ili angalau ashibe. Then ni mtoto wa baba kwelikweli nikiwa safari au nikichelewa kurudi toka kazini anaweza kugoma kabsa kula mpaka nirudi so nikiwa safari inabdi nipge sim kabla ya saa za kula niongee nae na kumuhaidi kumletea zawadi nzuriii kwa maelewano kuwa asipokula simletei zawadi.

Huyu mdogo issue ya kula hasumbui kabsa kila msosi anagonga ila shida yake ni ubabe 2 yrs now ila ni bondia wa hatari,hapendi mtu ashike kitu changu chochote,huyo hana muda na mimi ila nikikaa wiki moja bilakua home basi akiona mwanaume yoyote yeye anaita baba! !!

For sure am happy with my kids, wao kwangu ni kilakitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Such A Loving Father!...... Congrats [emoji122][emoji122]
 
Back
Top Bottom