Doris Gabriel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 1,045
- 869
UbarikiweKaeni hivyo basi mpambane na hali zenu kama ulizaa kwa kupenda endelea hivyohivyo..!
Wengi huwa tunawatongoza kwa nia ya kujipatia papuchi tuuh kuoa hakuna mtu atakaye acha gari mileage 50 akanunue mileages 200000.[emoji773][emoji41][emoji41]
Mkubali kuwajibika kwa makosa yenu. Kuamua kuoa single maza ni kwa hisani tu asijeniletea ubabe eti lazima nitunze mwanaye akiniomba kwa hekima I can do but siyo kwa namna atakavyo yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app