Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh sijuiSingle mother na nina amani zote na mwanangu anafuraha
Ooh pole sana. Great fatheram single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
Pole sanaam single faza,mwanangu ametimiza two yearz juzi tu.
mamake alifariki wakati anajifungua akabaki mwanangu.
Rip mamakamal.
Ndio nmekujuza hivyoMmmh cjui
Asante rafiki.Pole sn
GoodSingle mother na nina amani zote na mwanangu anafuraha
DuhKuzaa kabla ya ndoa ni tabu sana no matter unapata faraja kubwa kwa mtoto, mi mwanangu hajawahi kutamka baba na hata akisikia watoto wenzie wanaita baba zao hapendi kabisa na sijawah hata kumfundisha hayo, binafsi nawashauri wadada msifanye mistake jamani, uwiiii
Mola atakujaalia.. yaonyesha umeongea kutoka moyoni kabisa.Mi ni single mother nina watoto wawili wa kike,mmoja miaka 9 na mwingine 6,,Mimi mwenyewe nina miaka 34,nilipata talaka mwaka 2014 baada ya mi kwenda UDOM kujiendeleza kielimu mwanaume akatekwa na ndo ikawa chanzo cha talaka,,nina imani hakuwa wangu wa kwangu atakuja,,bado nina imani katika ndoa,,tuombeane na kufarijiana wapendwa
Sidhani kama ulichokiandika unamaanisha ama ni utani.Huku kuna vituko
Wengine wanamshukuru mungu kuzaa kwa zinaa na wanafurahia uzao wa zinaa,wengine kujifariji tuu kwa zinaa walizopitia
Hakuna mwema hata mm nina yangu ila hapa unajidhalilisha na unamtukana Mungu japo hatukujui,bora ujutie hapa ila sio kujifurahia na hapohapo unamshirikisha Mungu katika upuuzi uliofanya ukazaa tunda linalokutesa sasa
Kamwe huwezi kuwezi kuwa na amani kama we mzazi 1Ndo nmekujuza hivyo
Wewe ni mpambanaji na wengine wakuige kama mfano.Proudly single mama for over 10 yrs. Niliolewa tukashindwana. Sijutiii. My twin daughters 17 years na son 11. I am kicking fine wanasoma the best school without a pen from their biological father. Sina pia mwanaume mfadhili as since usichana na utoto wangu niliweka msimamo wa kutoingilia ndoa ya mwanamke Mwenzangu. So napigana kusomesha plus project's zangu. Ila mwishoni ninaamini nitapata mzee Mwenzangu not attached to a relationship ili tuzeeshane tuu. By that time nitakuwa nimemaliza kusomesha wanangu angalao wa mwisho awe University. Hivyo wagani au ambao walishatalikiana wanakaribishwa. Sitaki kuwa sababu ya kuvunjika ndoa ya mwanamke. Acha Mungu akahukumu wale walioendekeza zinaa na kuvunja ndoa. Watazibeba mikononi Siku ya hukumu.
Hiyo umejiwekea wewe kama wa nguvu lakini kwangu ndivyo ilivyo. Jua binaadamu atufananiKamwe huwezi kuwez kuwa na aman kama we mzazi 1
Hongera mkuu kwa kuwa na furaha!Single mother na nina amani zote na mwanangu anafuraha
Asante kiongoziHongera mkuu kwa kuwa na furaha!