Single mama alivyotaka kukatisha uhai wake kwasababu yangu

mweee, kilichokusibu umtafute tena ni nini na ikiwa ulishamuacha bila huruma? Unataka kumharibia huko woooooi
Hahaa mtumwa hummis mtesi wake na ilivo kwa mtesi, wala siwez mualibia maana alimweka wazi
 
Wanaume Wengi huwa mnajisifia kuacha Ila ukweli huwa mnaachwa kabla ya kuacha.🤣🤣
 
Una ukatili mwingi sana aisee

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Sasa unamtumia meseji za nini?

Nyie vijana bhana ndiyo mnawaharibia hawa wanawake maisha kisha mnakuja kuwatukana humu.

Mwache aendelee na maisha yake.
 
Hahahah ulifanywa Zoba na Kukazobeka kweli. Yaani ndani ya Muda Mfupi keshapata wa Kumtuliza? Hahahah Hawa Viumbe Wanawaharibu sana Wanaume msiotumia akili nzuri

Anasingizia Alitaka Kujiua Ili uingie Ujinga Kichwani kwamba alikuwa anakupenda kumbe Target yake ilikuwa haijatimia(NDOA)

Na hapo Bado haijatimia maana Wanaume wengine hukimbia kabla ya Ndoa kufungwa

HUYO HAJA YAKE NI NDOA ILI AJIFUNUE MAKUCHA AKIWA NDOANI. Na ndio utajua ukweli wa Kwanini Baba Mtoto alifariki
 
Sasa unamtumia meseji za nini?

Nyie vijana bhana ndiyo mnawaharibia hawa wanawake maisha kisha mnakuja kuwatukana humu.

Mwache aendelee na maisha yake.
Sio kimahusiano wala nimemkumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…