Sijajuaga kwanini waha single maza wanapendaga ile too much Ninae na mimi ukimuona huwez jua kama anamtoto ila wakwangu ye hasumbui juu ya ndoa ila target yake ni kuolewa na mimi yaan akunakitu utamwambia akuelewa
Kuna Day sjui tulipisha nini nikaamua kumuacha na kumtell we are Done endelea na life lako tusijua wueeeh! alichanganyikiwa that day alilia akaishiwa nguvu ikabdi wampelekea hospital kumtundikia drip...all in all aligoma kabsa kuacha na mimi hata iweje
ikanibidi tu niludishe moyo nyuma na kuforgive kumuachia tu nafasi maisha ya endelee mbaka leo tunaendelea na mahusiano. Coz skua na roho ngumu kama yakwako mzee
Ila Mbaka leo bado sijajua kama Kweli nitakuja kumuoa huyu baby mama au nimeamua kumuachia mungu mwenyew aongoze uskani mbaka atakapo tufikisha.