Single mama alivyotaka kukatisha uhai wake kwasababu yangu

Single mama alivyotaka kukatisha uhai wake kwasababu yangu

Hahahah ulifanywa Zoba na Kukazobeka kweli. Yaani ndani ya Muda Mfupi keshapata wa Kumtuliza? Hahahah Hawa Viumbe Wanawaharibu sana Wanaume msiotumia akili nzuri

Anasingizia Alitaka Kujiua Ili uingie Ujinga Kichwani kwamba alikuwa anakupenda kumbe Target yake ilikuwa haijatimia(NDOA)

Na hapo Bado haijatimia maana Wanaume wengine hukimbia kabla ya Ndoa kufungwa

HUYO HAJA YAKE NI NDOA ILI AJIFUNUE MAKUCHA AKIWA NDOANI. Na ndio utajua ukweli wa Kwanini Baba Mtoto alifariki
Upo akilini mwangu alikuwa anagusia suala la ndoa kiasi kwamba nikabadili mawazo japo sikuwa na kipingamiz kwa ilo ila alinisisitiza kumuoa mno kias akawa anajishuku
 
Hahahah ulifanywa Zoba na Kukazobeka kweli. Yaani ndani ya Muda Mfupi keshapata wa Kumtuliza? Hahahah Hawa Viumbe Wanawaharibu sana Wanaume msiotumia akili nzuri

Anasingizia Alitaka Kujiua Ili uingie Ujinga Kichwani kwamba alikuwa anakupenda kumbe Target yake ilikuwa haijatimia(NDOA)

Na hapo Bado haijatimia maana Wanaume wengine hukimbia kabla ya Ndoa kufungwa

HUYO HAJA YAKE NI NDOA ILI AJIFUNUE MAKUCHA AKIWA NDOANI. Na ndio utajua ukweli wa Kwanini Baba Mtoto alifariki
Duh! Mbona umemhukumu hivyo mtu ambaye humjui?
 
Hadi sasa sijajua lengo kuu haswa la uzi ni lipi
Lengo la uzi ni kushare tu story na pia kama somo kwa wwngine ambao wanawapenzi alafu usirias upo low alafu mwenzie kazama 100%, kiukweli nilimfanyia roho Mbaya kiasi kwamba ninajihisi mwenye hatia
 
Mtesi huwakumbuka watumwa wake
Watumwa humkumbuka mtesi wao
 
Sijajuaga kwanini waha single maza wanapendaga ile too much Ninae na mimi ukimuona huwez jua kama anamtoto ila wakwangu ye hasumbui juu ya ndoa ila target yake ni kuolewa na mimi yaan akunakitu utamwambia akuelewa
Kuna Day sjui tulipisha nini nikaamua kumuacha na kumtell we are Done endelea na life lako tusijua wueeeh! alichanganyikiwa that day alilia akaishiwa nguvu ikabdi wampelekea hospital kumtundikia drip...all in all aligoma kabsa kuacha na mimi hata iweje
ikanibidi tu niludishe moyo nyuma na kuforgive kumuachia tu nafasi maisha ya endelee mbaka leo tunaendelea na mahusiano. Coz skua na roho ngumu kama yakwako mzee
Ila Mbaka leo bado sijajua kama Kweli nitakuja kumuoa huyu baby mama au nimeamua kumuachia mungu mwenyew aongoze uskani mbaka atakapo tufikisha.
 
Sijajuaga kwanini waha single maza wanapendaga ile too much Ninae na mimi ukimuona huwez jua kama anamtoto ila wakwangu ye hasumbui juu ya ndoa ila target yake ni kuolewa na mimi yaan akunakitu utamwambia akuelewa
Kuna Day sjui tulipisha nini nikaamua kumuacha na kumtell we are Done endelea na life lako tusijua wueeeh! alichanganyikiwa that day alilia akaishiwa nguvu ikabdi wampelekea hospital kumtundikia drip...all in all aligoma kabsa kuacha na mimi hata iweje
ikanibidi tu niludishe moyo nyuma na kuforgive kumuachia tu nafasi maisha ya endelee mbaka leo tunaendelea na mahusiano. Coz skua na roho ngumu kama yakwako mzee
Ila Mbaka leo bado sijajua kama Kweli nitakuja kumuoa huyu baby mama au nimeamua kumuachia mungu mwenyew aongoze uskani mbaka atakapo tufikisha.
Aisee
 
Kiukweli nimefurahi sana kusikia ivyo maana hakuwa na baya yule mwanamke, niimpenda yeye na mwanae, ila hii Karma itanirudia na nipo tayari kuipokea.

kiukweli haujafurahi bali umeumia
na utaumia sana tena sana sana kabisa na utamkumbuka sana mda utakapofika ukahisi sasa upo tayari
Basi ndugu yangu kila utakapogusa pamoto ukijaribu huku pamoto

MUNGU sio ATHUMANI huwa anakuletea mtu SAHIHI mke wako MKE BORA ONE TIME katika MAISHA
Ukizingua utajuta utalia na KUSAGA meno
Shangaa huko MITANDAONI wanawake wanalalama WANAUME wa KUWAOA hakuna
Na WANAUME wanawalakamika WANAWAKE wa KUOA hakuna
Sasa nashangaa inakuwaje hiyo
basi ujue hao ndio wale dizaini waliotoaga MAJIBU ya kishujaa kwa kuona muda bado blahblah wanajutaaa
 
Wanaume Wengi huwa mnajisifia kuacha Ila ukweli huwa mnaachwa kabla ya kuacha.[emoji1787][emoji1787]
Kabisa yani kwamba siku nne baada ya break up akapata mtu [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom