heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
- Thread starter
-
- #21
Upo akilini mwangu alikuwa anagusia suala la ndoa kiasi kwamba nikabadili mawazo japo sikuwa na kipingamiz kwa ilo ila alinisisitiza kumuoa mno kias akawa anajishukuHahahah ulifanywa Zoba na Kukazobeka kweli. Yaani ndani ya Muda Mfupi keshapata wa Kumtuliza? Hahahah Hawa Viumbe Wanawaharibu sana Wanaume msiotumia akili nzuri
Anasingizia Alitaka Kujiua Ili uingie Ujinga Kichwani kwamba alikuwa anakupenda kumbe Target yake ilikuwa haijatimia(NDOA)
Na hapo Bado haijatimia maana Wanaume wengine hukimbia kabla ya Ndoa kufungwa
HUYO HAJA YAKE NI NDOA ILI AJIFUNUE MAKUCHA AKIWA NDOANI. Na ndio utajua ukweli wa Kwanini Baba Mtoto alifariki
Duh! Mbona umemhukumu hivyo mtu ambaye humjui?Hahahah ulifanywa Zoba na Kukazobeka kweli. Yaani ndani ya Muda Mfupi keshapata wa Kumtuliza? Hahahah Hawa Viumbe Wanawaharibu sana Wanaume msiotumia akili nzuri
Anasingizia Alitaka Kujiua Ili uingie Ujinga Kichwani kwamba alikuwa anakupenda kumbe Target yake ilikuwa haijatimia(NDOA)
Na hapo Bado haijatimia maana Wanaume wengine hukimbia kabla ya Ndoa kufungwa
HUYO HAJA YAKE NI NDOA ILI AJIFUNUE MAKUCHA AKIWA NDOANI. Na ndio utajua ukweli wa Kwanini Baba Mtoto alifariki
Binti alikuwa mzuri anashape yake inshot mzuri wa kutembea nae hata ukashikana nae mkono bila tatizo,Hio hofu ipo kwa mabinti wanene na wabaya kupitiliza
Lengo la uzi ni kushare tu story na pia kama somo kwa wwngine ambao wanawapenzi alafu usirias upo low alafu mwenzie kazama 100%, kiukweli nilimfanyia roho Mbaya kiasi kwamba ninajihisi mwenye hatiaHadi sasa sijajua lengo kuu haswa la uzi ni lipi
Alinipenda sana nami nilimpenda ila sijajuwa nini kiliniingia maana hata sikumtafutia sababuMwanaume ni kiumbe cha ajabu kumuacha mtu unaempenda ni jambo la kawaida sana
Kabisaaa(mipago ya ndoa tuipage vyema) mkuu ni mafua ama nn
AiseeSijajuaga kwanini waha single maza wanapendaga ile too much Ninae na mimi ukimuona huwez jua kama anamtoto ila wakwangu ye hasumbui juu ya ndoa ila target yake ni kuolewa na mimi yaan akunakitu utamwambia akuelewa
Kuna Day sjui tulipisha nini nikaamua kumuacha na kumtell we are Done endelea na life lako tusijua wueeeh! alichanganyikiwa that day alilia akaishiwa nguvu ikabdi wampelekea hospital kumtundikia drip...all in all aligoma kabsa kuacha na mimi hata iweje
ikanibidi tu niludishe moyo nyuma na kuforgive kumuachia tu nafasi maisha ya endelee mbaka leo tunaendelea na mahusiano. Coz skua na roho ngumu kama yakwako mzee
Ila Mbaka leo bado sijajua kama Kweli nitakuja kumuoa huyu baby mama au nimeamua kumuachia mungu mwenyew aongoze uskani mbaka atakapo tufikisha.
Kwa nini? Tupe masrifa mkuu.Nikimpata mwanamke Muha au mngoni au Mnyaturu au Msukuma simuachi. Hata kama ni single mom
Kiukweli nimefurahi sana kusikia ivyo maana hakuwa na baya yule mwanamke, niimpenda yeye na mwanae, ila hii Karma itanirudia na nipo tayari kuipokea.
Wanawake tulio na age 25- 35 huwa hatupendi kuchezea hisia kwenye mahusianoSikuwa na jinsi maana aliiomba ndoa mapemat
ae
Kabisa yani kwamba siku nne baada ya break up akapata mtu [emoji1][emoji1][emoji1]Wanaume Wengi huwa mnajisifia kuacha Ila ukweli huwa mnaachwa kabla ya kuacha.[emoji1787][emoji1787]