Single mama kaniganda nashindwa kumuambia ukweli

Single mama kaniganda nashindwa kumuambia ukweli

mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu unapewa mtoto we hutaki? Wenzio wanatafuta hata mtoto wa dawa hawampati wewe umeokota dodo kwenye mlimao halaf unaleta pozi
 
Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe

Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu. Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao

Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi

Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
-Tatizo ni 'usingo-maza' au tatizo ni Upare/Urangi?
-Una umri gani?(isijekuwa maziwa uliyonyonya bado hajakukauka mdoni).
-Kwa maelezo yako akili yako bado haijakomaa vya kutosha kuingia kwenye ulimwengu wa kuishi na mwenza.
 
Huyo mkuu ana mwonekano amekupenda kweli kama vp mchukue tu ameshajifunza maisha ya misukosuko kwako atatulia japo tahazar single maza wengi hawawezi kuachana na mzazi mwezie waliozaa nae lazima atakuwa anapasha kiporo
 
Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe

Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu. Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao

Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi

Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
Mmekutana masingle mother mmegandana. Mwanaume hawezi kuja omba ushauri kama huu. Kuna siku mwanaume atakutongoza atake kukuoa utakuja omba ushauri huku. Hiki kizazi cha 2000s ni shida sana. Aibu.
 
Back
Top Bottom