John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
You are wrong.Vunja mawasiliano taratibu, usimpigie simu, na akikupigia usiwe unazipokea; mwenyewe atakimbia
Remember: A Clear rejection is better than the fake promise.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are wrong.Vunja mawasiliano taratibu, usimpigie simu, na akikupigia usiwe unazipokea; mwenyewe atakimbia
Umejenga halafu hujaoa?Mbaya zaid nimejenga Jirani na kwao
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi
Kwan kuna uhusiano gani kat ya kujenga na kuoa?Umejenga halafu hujaoa?
Si kuwa ameandika huku anacheka???Mbona kama umeandika uzi huku unatetemeka...
-Tatizo ni 'usingo-maza' au tatizo ni Upare/Urangi?Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu. Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
Na wapare ni washirikina sana wengi wao kwenye mapenzi hata ndoa!.Hautakuja kumuacha uyo trust me bro.
swali zuriNi upuuzi tupu.
Huyo single mother alikuja nyumbani kwako na kukulazimisha kwamba umuoe au wewe na njaa zako ulimuanza wewe mwenyewe huyo mwanamke?!?
Kwa hiyo atajitwisha tu?Hautakuja kumuacha uyo trust me bro.
Huyo hana mapenzi, bali anataka matumizi; mwanaume awe punda wake.You are wrong.
Remember: A Clear rejection is better than the fake promise.
Mmekutana masingle mother mmegandana. Mwanaume hawezi kuja omba ushauri kama huu. Kuna siku mwanaume atakutongoza atake kukuoa utakuja omba ushauri huku. Hiki kizazi cha 2000s ni shida sana. Aibu.Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu. Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia