Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kwa hiyo single maza kakuzidi akili mpaka umekuja kuomba ushauri
Finished man shame on you
Finished man shame on you
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi?Toroka bro, muache aendelee kudate mwenyewe.....
Oya Kwani huyo mwanao wewe ni baba yake wa ubatizo au(utani🤣)Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
Mii naumwa wakuu Hal mbayaUlihudhuria kikao cha wanaume kweli? Poor Brain dronedrake
🤣🤣🤣Nitakupigiaaaa mvua inanyesha keleleeee ikikatika nakupigiaaaUko wapi?
Kwenye ile ile inaishia na 44🤣🤣🤣Nitakupigiaaaa mvua inanyesha keleleeee ikikatika nakupigiaaa
Singo maza aka gundi.Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
Mpige mimbaKama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
Hamna kitu hapo. Kama angempenda na ntoto yuko kwingine sawa, ahapo anatafuta kusetiriwa na pia kutafuta 'baba' wa ntoto wake, ndio ukweli mchungu.Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!
Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.
Hapn sijajipanga kisaikolojiamtongoze huyo shangazi yake ili wajue wewe ni mtu wa hovyo
# Kuoa ma singo maza ni changamoto.Je umejipanga kisaikolojia?
Nimetumia njia hyo bado kinganganizi najuwa alipenda nyumba yangu ameona na jenga karibu na kwao wakajuwa kbsa huyu huyu na mbaya zaid ni mvivu ila ana tarako kubwaVunja mawasiliano taratibu, usimpigie simu, na akikupigia usiwe unazipokea; mwenyewe atakimbia
Kwahyo nafanyaje mkuuKwa hiyo single maza kakuzidi akili mpaka umekuja kuomba ushauri
Finished man shame on you