Single mama kaniganda nashindwa kumuambia ukweli

Single mama kaniganda nashindwa kumuambia ukweli

Maisha ni haya haya, kama anatuliza nafsi yako na wewe umerizika mfanye mchepuko ila usimfanye mke. Na umwambie una mke au mchumba yuko masomoni n.k ili asikugande sana.​
Mm napata awe mchepuko ile yeye anataka kujiweka kbsa kbsa yaani nawaza kuolewa
 
Well, hapo kwa sisi vijana tutaona faida alizo nazo ni nyingi japo on a serious note, hizo hasara ulizotaja ni kubwa mno kuliko faida. Km ni wa kumla tu km side chick sawa endelea nae, ila km ni kuoa, mteme kabisa,

Hamtokula ilo tako zuri wala, milio mizuri ya chumban haitoleta pesa. Usije ukawa mtumwa wa mapenz mzee. Fanya chaguzi sahihi apo.
Asnte kwa ushauri
 
Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!

Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.
Kabila siyo tatizo kwa baadhi ya mambo kama uzinzi.
Kwenye pesa angalia kabila, usiombe uoe mchaga ukapata pesa nyingi kisha ukafilisika. Hakuna rangi utakosa kuiona.
Single mother haijalishi kabila wengi wao wanakosa shukrani baadaye wakipata uhakika wa ndoa na maisha mazuri.
NB: Siyo wote wana hayo matatizo.
 
Ni kweli anajuwa kutomban sna ila sas mm hanifutiaa tu bado kama vipi
Sas kama unakili hauwez kumuacha ushauri unaomba wa nini?? Mkuu subiri muda wakumuacha bila kujali unamuachaje ukifika hautataka ushauri wa mtu yoyote
 
Labda tatizo kwako liwe ni huo usingle mather wake tu ,ila watoto wakipale watamu shekh, halafu wanajua kupangilia bajeti, kwao binti akisha zalishwa mahari sio kipaumbele kwa walivyo niambia lakin
 
Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe

Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.

Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.

Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.

Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
We endelea kutafuna huyo mpare Hadi utakapochoka piga kimya hakikisha Hajui ghetto. Malizaneni gesti
 
FB_IMG_17311480371705583.jpg
 
Kama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe

Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.

Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.

Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.

Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
mwambie ukweli waziwazi kuwa humtaki na uachane nae
 
Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!

Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.
kuna ka ukweli ndani yake.
 
Back
Top Bottom