Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Upo wapi kwa sasa maana kila napokuchek haupousharogwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo wapi kwa sasa maana kila napokuchek haupousharogwa
Mlangon kwakoUpo wapi kwa sasa maana kila napokuchek haupo
Nimefikiria hilo pia,Usituongopee hii kuitana mume mume, haijaanza ghafla tu Kuna taarifa za upande wako umezificha. Tuletee huyo mpare tuongee naye. Kuna terms na condition ulizitoa mwanzo. Sasa ni zamu yako. Anyway mmeisha chunguliana?
Pita sasa nikwambie jambo 🤗🤗🤗Mlangon kwako
Sawa sawaPita sasa nikwambie jambo 🤗🤗🤗
Basi muoe, akikwambia mwanae kakumiss.........mwambie nawako ammemmiss Mama,mzani utabalanceHap ni moja moja maana hata mm nina mmoja ila mama ake nibtapeli
Mpya ni bora kuzidi used.Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!
Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.
Mkuu mkimbie unajua ukioa mwanamke aliezaa na Mume wa mtu anakuletea dhambi na hiyo zambi itawagharimu kizazi chako mbele mwao, mfano kama huyo kazaa na mume wa mtu kwa udangaji kaa ukijua na watoto wako wakike watakuja kuzaliwa na wauni au waume za watu ndiyo inakuaga hivyo, na kama wewe uliwazalisha mabinti wa na wewe wako watazalishwa Nyumbani.Kweli mkuu natetemeka mbaya haw mademu wananifuruga