dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
-
- #101
Mm napata awe mchepuko ile yeye anataka kujiweka kbsa kbsa yaani nawaza kuolewaMaisha ni haya haya, kama anatuliza nafsi yako na wewe umerizika mfanye mchepuko ila usimfanye mke. Na umwambie una mke au mchumba yuko masomoni n.k ili asikugande sana.
Asnte kwa ushauriWell, hapo kwa sisi vijana tutaona faida alizo nazo ni nyingi japo on a serious note, hizo hasara ulizotaja ni kubwa mno kuliko faida. Km ni wa kumla tu km side chick sawa endelea nae, ila km ni kuoa, mteme kabisa,
Hamtokula ilo tako zuri wala, milio mizuri ya chumban haitoleta pesa. Usije ukawa mtumwa wa mapenz mzee. Fanya chaguzi sahihi apo.
Uko serious mkuuNipasie namba yake kama hutojali
Hap ni moja moja maana hata mm nina mmoja ila mama ake nibtapeliMechi 1-0, anyway mambo hayo huwa hushauriwi mkuu,ni Halmashauri ya kichwa chako inaamua
Ni wawngapi wewe umewala bila kuwaoaWakati unamtoa chupi ulikuwa walalamika hivi?
Ahahhah uko uko mzee tatizo huyu mtot ake vinginevyo nimngeoaUmeyatimba single mama ndio keshafika jiandae safari ya usangi au kule vudoi mwanga
Hili zito mkuu alfu kademj kananopa mzuka sna aHivi we ni mwanaume kweli, jambo kama hilo linakushinda!!
Ni kweli anajuwa kutomban sna ila sas mm hanifutiaa tu bado kama vipiHautakuja kumuacha uyo trust me bro.
Kabila siyo tatizo kwa baadhi ya mambo kama uzinzi.Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!
Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.
Sas kama unakili hauwez kumuacha ushauri unaomba wa nini?? Mkuu subiri muda wakumuacha bila kujali unamuachaje ukifika hautataka ushauri wa mtu yoyoteNi kweli anajuwa kutomban sna ila sas mm hanifutiaa tu bado kama vipi
Angalia asikupige limbwata; inabidi umpige mkwara kuwa, baba yako ni mganga wa kienyeji.Mm napata awe mchepuko ile yeye anataka kujiweka kbsa kbsa yaani nawaza kuolewa
We endelea kutafuna huyo mpare Hadi utakapochoka piga kimya hakikisha Hajui ghetto. Malizaneni gestiKama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
mwambie ukweli waziwazi kuwa humtaki na uachane naeKama unavyo fahamika hswa viumbe hujigandisha kwa mtu yoyote ilimradi wastiriwe ili waolewe
Sas mm kuna mmoja mmpare ameniganda balaa yaani hadi naona kero kwa jins anavyo niita mume, wangu, mume angu yaani kila kitu hata kuuliza kitu tu eti anasema mume wangu nikuambie kitu.
Ajabu ni hii amezalishwa na mume wa mtu na mbaya zaid anaishi na kijana ake basi kila akinipigia simu anasema mwanao amekumiss anataka kuongea na wewe hata wakuu sielewi nimuanzaje tu kuwa mm sina mpngao wa kumuona, yey anajuwa kbsa mm nakao ati akisha waeleza had shangaz zake kuwa kanipata hvyo nisubiriwa tu mm nikajiatambulishe kwao.
Wakuu nitumie njia ipi kumuambia tu kuwa siwez kumuoa, tena yey ni mmpare na mm na wapare na wa rangi wapi na wapi.
Jana anasema shanagzi ake ananiulizia lini nakuja kuwasalimia
kuna ka ukweli ndani yake.Mbona fresh tu kaka, yaani unapata na bonasi ya katoto ka bure!!
Makabila si tija, umalaya kwa sasa ni hulka ya mtu binafsi.
Chukua chombo hicho tena huyo atakupenda balaa maana si kashapitia misukosuko ya mahusiano kuliko ukipata mpya.