Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

unavimba sana, punguza
Hahahaha Mkuu sio kuvimba, Kila mtu anajidai Mahali pake, yaan palipo Pako ndipo unaporingia Nawewe !!.


siunaona akina mpoki, masanja, wanavyovimba Tena Kwa mapicha picha na mabango wanatupa??.

Wewe hupaswi kuwakasirikia au kuwaombea njaa kwakua Hauna Cha kuvimbia, , wewe pambana, ufike Mahali ambapo Nawewe utavimba yaan utakua Boss Kwa waliochini yako.

Na hiyo ni kanuni ya Maisha, Maisha ni lazima Kila mtu awe na Boss wake .!!.


Mengine yote yalobaki tunaweza sema ni kujifariji !!.


Mimi mwenyewe sijafikia napopataka, ila hata kwa hapa nilipo, ni lazima nivimbe, eehh Nijidai kidogo , nione Matunda buanaa !!.
 
Bidada sikujui, tupo kwenye faceless forum ila naweza detect hisia za mtu.
Naunganisha dots ili nijue upo katika situation gani.
Huu uzi ni muendelezo wa ule uzi wako "kuapa kutopenda" (sina hakika ni ikiwa nimepata title) . Mimi ni babu ki-umri nimekula-
Christmas zaid ya 30 na ushee, Najua mengi.
Ku-gain trust ya mtu si jambo dogo... upo katika jitihada za kugain trust ya mwamba, na yamkini mme mpya mmekutana Jf (just curious)... Na dairy anakutana na nyuzi za"usioe single mother otherwise akuonyeshe kabuki etc" so unataka umhakikishie kuwa yupo katika safe hand no Matter your Mtesi(ex) still alive or not.
Actually jamaa yupo katika safe hand ila achana entitlement mentality. Hii entitled mentality inavunja mahusiano mengi sana..... Ukifanya hivyo utaumaliza mwendo na huyo mwamba mpya, mengine world maker atamalizia.
 
Bidada sikujui, tupo kwenye faceless forum ila naweza detect hisia za mtu.
Naunganisha dots ili nijue upo katika situation gani.
Huu uzi ni muendelezo wa ule uzi wako "kuapa kutopenda" (sina hakika ni ikiwa nimepata title) . Mimi ni babu ki-umri nimekula-
Christmas zaid ya 30 na ushee, Najua mengi.
Ku-gain trust ya mtu si jambo dogo... upo katika jitihada za kugain trust ya mwamba, na yamkini mme mpya mmekutana Jf (just curious)... Na dairy anakutana na nyuzi za"usioe single mother otherwise akuonyeshe kabuki etc" so unataka umhakikishie kuwa yupo katika safe hand no Matter your Mtesi(ex) still alive or not.
Actually jamaa yupo katika safe hand ila achana entitlement mentality. Hii entitled mentality inavunja mahusiano mengi sana..... Ukifanya hivyo utaumaliza mwendo na huyo mwamba mpya, mengine world maker atamalizia.
Amina
 
Binafsi siwezi mpondea single mother. Na kama kuna watu wanatamani kuwa single mother basi ni wachache. Lea mwanao katika njia impasayo tu. Kama kuolewa utaolewa tu yupo ambae Mungu kakuandalia regardless of being a single mother. Wala usiwe desparate mpaka ukaangukia kwenye libwana lisilo faa. Mi nna marafiki zangu walikua single mothers lakini wameolewa na maisha yanasonga mbele. SINGLE MOTHERS WAHESHIMIWE.
 
Back
Top Bottom