Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaa!!!
 
Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Nani huwa anasababisha Single Mothers ?
 
Pole sana kuna baadhi ya Wanaume wana roho mbaya sana kazi yao ni kuongeza idadi ya Single Moms.
 
Sawasawa...atulie sasa
Single mothers wengine ni hawajawa hivyo kama ulivyokuwa wewe. Wengine wamekuwa hivyo kwa ujinga wao wenyewe.

Kuna mtu ni single at the same time bado ni wife material na kuna wengine ni hopeless na walikuwa hivyo hata kabla ya kuzalishwa.

Ukiwa single mom halafu ukawa KILAZA utapata tabu sana aisee.
 
Mwambie tu. Mwanao ukweli bali usidanganye
. Mwambie babako alisema ni kuchomoe
Usiongeze maneno wala ujsipunguze, yeye mwenyewe ataamua kumsamehe au kuendeleza palipo ishia
 
Mwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka. Yaani bila kutarajia mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka. Nikisema iliingia kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya tulipanga nami nilijiaminisha kwa sababu kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss, nimelipata bwana!

We bwana wee kumbe nimepatikana, yaani Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba" nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms. Siyo kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa noo, ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu, jamaa alichoniambia ni kuwa umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!

Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu. Sasa ninachokuuliza hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto. Mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa. Nilimwambia nitakuwahisha kunizoea😖🤨

NB: Sijawahi mjaza sumu mwanangu hicho ndicho nilichoshinda namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano. Hongereni kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni kaz kweli.

Nawapenda sana😍😘
Wewe ni scraper
 
Tatizo single moms wanaendelea kuongezeka kea Kasi ya 4G.Wanawake kuingia kichwa kichwa kwenye mahusiano bila ya kutumia hata akili za kuzaliwa ndo madhara Yake haya.

Tamaa ndo kitu kikubwa kinachowaponza wadada wengi.
Naomba unipe elimu ni jinsi gani naweza tumia akili ya kuzaliwa ili kuweza kuwa na mahusiano sahihi

Mana mpaka hapa nilipo mambo ni mtosomtoso shughuli mbovu moja haikai mbili haisogei naliona shimo refu lenye giza lileeeeeeeeeee mbele

Natanguliza shukrani mwalimu wangu
 
Mwambie tu. Mwanao ukweli bali usidanganye
. Mwambie babako alisema ni kuchomoe
Usiongeze maneno wala ujsipunguze, yeye mwenyewe ataamua kumsamehe au kuendeleza palipo ishia
Una uelewa wowote kuhusu Childhood Traumatic experiences?
 
Back
Top Bottom