Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Napenda mtazamo wako 🥰🥰Sawasawa...atulie sasa
Nani huwa anasababisha Single Mothers ?Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Am sorry my lovely future wife[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaa!!!
Single mothers wengine ni hawajawa hivyo kama ulivyokuwa wewe. Wengine wamekuwa hivyo kwa ujinga wao wenyewe.Sawasawa...atulie sasa
Am sorry my lovely future wife
Wewe ni scraperMwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka. Yaani bila kutarajia mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka. Nikisema iliingia kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya tulipanga nami nilijiaminisha kwa sababu kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss, nimelipata bwana!
We bwana wee kumbe nimepatikana, yaani Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba" nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms. Siyo kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa noo, ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu, jamaa alichoniambia ni kuwa umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu. Sasa ninachokuuliza hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto. Mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa. Nilimwambia nitakuwahisha kunizoea😖🤨
NB: Sijawahi mjaza sumu mwanangu hicho ndicho nilichoshinda namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano. Hongereni kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni kaz kweli.
Nawapenda sana😍😘
Fear men, mimi na wanaume ni hivi[emoji3538]
Naomba unipe elimu ni jinsi gani naweza tumia akili ya kuzaliwa ili kuweza kuwa na mahusiano sahihiTatizo single moms wanaendelea kuongezeka kea Kasi ya 4G.Wanawake kuingia kichwa kichwa kwenye mahusiano bila ya kutumia hata akili za kuzaliwa ndo madhara Yake haya.
Tamaa ndo kitu kikubwa kinachowaponza wadada wengi.
Walipeana ahadi kede kede.Kama hakupanga kete zake kwa utaratibu mzuri HAKUTAKUWA NA KARMA wala nini.
Una uelewa wowote kuhusu Childhood Traumatic experiences?Mwambie tu. Mwanao ukweli bali usidanganye
. Mwambie babako alisema ni kuchomoe
Usiongeze maneno wala ujsipunguze, yeye mwenyewe ataamua kumsamehe au kuendeleza palipo ishia