Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣, mkuu mstari wa mwisho huo.You have hit the nail on the head 💪💪.
Singlemom wasokua na Uchumi huru, ndio wanaonyanyasika.
That's why, Mwanamke aliyeolewa mwenye kazi, akiona mwanaume anazenguaa, anatomba Talaka !!.
Kwa taarifa yako hamna mwanaume ana mvuto kama aliekutelekeza na mtoto, Huwa tunakuwaga attractive kiasi kwamba kila ukiniona na mtoto utatamani uwepo na wewe na ubaya zaidi ni hizi simu zenye kuonesha kila kinachoendelea basi ukiona bata ninalokula na mtoto wakati wewe unampikia mumeo mpya mbona utamuanziashia kisirani upesi.Usimzuie kumwona mwanae,Ila weka mipaka kati yako na yeye,yan akikuona ajue nyie ni strangers and it's all about mtoto,hapo atakuheshimu🙏asirudie kosa kumvulia kyupi tena mwanaume aliyekataa damu yake,huyo ni demon,ukibanwa genye kakigawe bure hata kwa shamba boi ila yeye usimpe access Tena.
Unatakiwa ujikubali mwenyewe kwanza ndipo wengine watakuheshimu,kujikubali simaanishi utembeze sana kisambusa mithili ya binti aliyetolewa bikra juziSijawahi jinyanyapaa aisee,nikiangalia anaenipondea nae ana maswaibu yake...bas mie🙄
Kwanza breki pumbu, pili wameshazaa na jamaa ujue that was their true love, wewe ukija ni kwamba ni by the way tuu its becoz hana options nyingiHahah wana shida gani?
Sawasawa mkuuKwa taarifa yako hamna mwanaume ana mvuto kama aliekutelekeza na mtoto, Huwa tunakuwaga attractive kiasi kwamba kila ukiniona na mtoto utatamani uwepo na wewe na ubaya zaidi ni hizi simu zenye kuonesha kila kinachoendelea basi ukiona bata ninalokula na mtoto wakati wewe unampikia mumeo mpya mbona utamuanziashia kisirani upesi.
Hahaha eti breki pumbu 😆😆😅Kwanza breki pumbu, pili wameshazaa na jamaa ujue that was their true love, wewe ukija ni kwamba ni by the way tuu its becoz hana options nyingi
Mno. Mimi yalishanisibu, ilinipa maumivu makali sana week nzima. Siku moja nitaelezea kisa changu.Pole Kwa yaliyokusibu....Kuna muda wanawake pia tunakosea sana
Story za abunuwasi,we endelea kumwaga mbegu zako hovyo bila malengo🙏🙏Kwa taarifa yako hamna mwanaume ana mvuto kama aliekutelekeza na mtoto, Huwa tunakuwaga attractive kiasi kwamba kila ukiniona na mtoto utatamani uwepo na wewe na ubaya zaidi ni hizi simu zenye kuonesha kila kinachoendelea basi ukiona bata ninalokula na mtoto wakati wewe unampikia mumeo mpya mbona utamuanziashia kisirani upesi.
Abunuwasi eeh, haya sawa ila kama ushakuwa single maza huna cha kunielewesha nikaelewa... Najua tabia zenu na akili zenu kwa asilimia 80.Story za abunuwasi,we endelea kumwaga mbegu zako hovyo bila malengo🙏🙏
🤣🤣🤣🤣Leo umeamua...daah🙌
🤣🤣🤣🤣 Leo umekula nini eti?Mekumiss 😭
View attachment 2664753
Mbona unapanic🤣🤣 endelea kumwaga mbegu hovyohovyo,kidume wewe🙏Abunuwasi eeh, haya sawa ila kama ushakuwa single maza huna cha kunielewesha nikaelewa... Najua tabia zenu na akili zenu kwa asilimia 80.
Sitokuwa na uwezo wa kukitawala kizazi changu hasa Cha pili na Cha tatu.Mkuu,sipo kwenye masihara hapa....huu ni moyo wa nyama tafadhali.... Subiri kizazi champ kije kifanyiwe ivo...watakua mbona