Atakuja kulia vibaya sanaSwala la kaburi hauzingatii?😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuja kulia vibaya sanaSwala la kaburi hauzingatii?😁
Hata sijataka kuonana nae tangu aseme nitoe....nimezaa bado akasema nimejipanga....kiufupi siwez mruhusu amwone mwanangu maana hajawahi mpenda hata Kwa kumpea tu achana na Kuua....miaka 8 sasaKwahiyo umempiga pin kumuona mtoto au anamuona??
🤣🤣🤣🤣Leo umeamua...daah🙌Tuchat basi😘
View attachment 2664733
kwamba huo upande wa pili hauwezi kudanganya??Upande mmoja wa story, tusubiri upande wake. Wanawake wengi ni washenzi
Kweli kabisa yaani utasomeahwa ushangae🤣🤣🤣🤣Wanaume sio watu wa kuwaamini
Deeply moved!Mwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka...Yaan bila kutarajia...mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka....nikisema iliingia Kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya...tulipanga Nami nilijiaminisha Kwa sababu Kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss,nimelipata bwana!
We bwana wee...kumbe nimepatikana ...Yaan Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba".....nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms...siyo Kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa...noo,ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu...jamaa alichoniambia ni kuwa...umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu...sasa ninachokuuliza ..hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto....mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa....nilimwambia nitakuwahisha kunizoea😖🤨
NB:sijawahi mjaza sumu mwanangu...hicho ndicho nilichoshinda....namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano.Hongereni Kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni Kaz kweli.Nawapenda sana😍😘
Sijawahi jinyanyapaa aisee,nikiangalia anaenipondea nae ana maswaibu yake...bas mie🙄Mimi sijawahi kuwapondea kama unakumbuka vizuri nilifungua uzi kabisa nikiwatetea na kutoa mtazamo wangu chanya kuhusu singo maza sema tu kuna kasumba imejijenga kwenye jamii na nyie wenyewe mnajinyanyapaa wenyewe
Sasa kwa shamba boi sii ndio utashangaa imei gia nyingine imoooo 🤣🤣🤣 maana lazima asimamie kucha na kunyunyuzia mbolea ndani ndani ndaniiiiiiiiUsimzuie kumwona mwanae,Ila weka mipaka kati yako na yeye,yan akikuona ajue nyie ni strangers and it's all about mtoto,hapo atakuheshimu🙏asirudie kosa kumvulia kyupi tena mwanaume aliyekataa damu yake,huyo ni demon,ukibanwa genye kakigawe bure hata kwa shamba boi ila yeye usimpe access Tena.
Pole Kwa yaliyokusibu....Kuna muda wanawake pia tunakosea sanaDeeply moved!
wengine ma gentle tukatoka mkoa hadi mkoa kubeba inayoitwa mizigo yetu!!LAKINI leo tunajuta Bora tungekua rud boys!!
yaani unageukwa hadi shetani anashangaa!!!
Back to topic
honest confession
NGOJA nijitose again!
Unawapamba sana 😃😂Mkipata wanaume huwa sio wachoyo wa mbususu tunawapenda sana
Mwanae watakutana mbele siyo mikononi mwangu.Mwanae yupi kwanza ?Usimzuie kumwona mwanae,Ila weka mipaka kati yako na yeye,yan akikuona ajue nyie ni strangers and it's all about mtoto,hapo atakuheshimu🙏asirudie kosa kumvulia kyupi tena mwanaume aliyekataa damu yake,huyo ni demon,ukibanwa genye kakigawe bure hata kwa shamba boi ila yeye usimpe access Tena.
Msamehe baba watoto To yeyeUpande wa pili unasema eti nimsamehe ni ujana tu.Teh!
Wengi/baadhi wanapasha kwa sababu ya financial difficulties. Siamini kama mtu kakuzalisha, kakuacha kwa maneno machafu, kesho ukamvulie huku umelea kwa shida sana.Kua singo mama sio ulemavu.
Sisi wanaume wa Kanda ya ziwa, hata kuoa ,tunaoa, na Mahari tunatoa Kwa singo mama.
Tatizo mnawapenda wa dasalama na mikoa mingine, hao ni waoga ,wanaogopa sana !!.
Kurudi kwenye Mada !!.
Kuzaa ni kielelezo tosha Cha Uwezo wako wa kuendeleza kizazi.
Usiumie, Kuna vyanamke vimeshatoa mimba lukuki yaan ukiviangalia tu usoni, unaona kabisa jina la siri limeandikwa kwenye paji lake la uso "Babeli Mkuu, Mama wa marehemu" !.
Kwa Nyie mlobena mimba, mkazaa,. Hongereni, Leeni watoto wenu, Wakiume awe na uanaume, wakike awe na uanamke.
Hapo kwenye kupasha kiporo Sasa, Nadhan kama mwanaume alikataa mimba, ukipasha naye kiporo unakua kweli ni mjinga, ila Sasa nyie Wanawake hamshindwi kitu, Huwa mnapasha tu, jamaa akianza kujirudi Kwa vinguonguo .
Lkn kama hajakataa kulea analea, Hela anatoa, sio lazima akuoe ,pengine umezaa na mwanaume kama Mimi !!. Wee muhim furahia mtoto ana bima ya Afya, anasoma shule Bora, anakula na kuvaa na kupata mahitaji yake, naaaaa, Kwa sisi wengine, Tukituma Hela Kwa Mzazi mwenzetu, Huwa tunaweka na kijihela Cha nyongeza Kwa sababu tunajua na Mama yake naye anataka kuvaa vizur, apendeze ,n.k!!.
Msife mioyo wapendwa !!!
Nimeandika nimefuta!!ivo ivo labda ni sahihi!!Pole Kwa yaliyokusibu....Kuna muda wanawake pia tunakosea sana
Wewe ni miongoni mwa single mothers wachache wanaojitambua. Kwa uandishi huu unafaa kuwa mama wa mji.Mwenzenu huu usinglemom ulinikuta chap Kwa haraka...Yaan bila kutarajia...mtu niliyemwamini na niliyekuwa na malengo nae alinigeuka....nikisema iliingia Kwa bahati mbaya nitakuwa nadanganya...tulipanga Nami nilijiaminisha Kwa sababu Kuna hatua tulipitia ambazo nikajua yessss,nimelipata bwana!
We bwana wee...kumbe nimepatikana ...Yaan Ile kitu kutiki tu jamaa akasema "katoe mimba".....nyie wadada wenzangu mnaotupondea singlemoms...siyo Kwamba sikuweza kumeza P2 au miso-p au kwenda hospital kukwanguliwa...noo,ningeweza ila tu huyu kiumbe hakuwa na hatia.So mwishowe nikazaa huyu son wangu...jamaa alichoniambia ni kuwa...umezaa basi umejipanga kulea I mean hajawahi toa hata Senti kulea mwanangu then Leo hii anajitutumua eti anataka mwanaye.Teh!
Sasa point yangu ni ipi ya kuwakusanya wamama wenzangu...ni hivi...hatujaua,tumezaa,tunalea....na huenda tukawa tumebahatika kupata wanaume wema wanaotupenda siye na wanetu...sasa ninachokuuliza ..hivi wenzangu mnawezaje kuendelea kuwasiliana na mwanaume aliyeshindwa kukupa thamani ya kuweka ndani na akakuacha na mtoto....mnawezaje kuvua nguo tena Kwa mwanaume ambaye si mumeo Yaan Ex tena aliyekudharaulisha? Aisee,mwenzenu nimeshindwa....nilimwambia nitakuwahisha kunizoea[emoji37][emoji2955]
NB:sijawahi mjaza sumu mwanangu...hicho ndicho nilichoshinda....namwacha akue yeye ndo atachambua magugu na ngano.Hongereni Kwa kupambana wanawake wenzangu kulea ni Kaz kweli.Nawapenda sana[emoji7][emoji8]
Ni mbinafsi....nilizaliwa mara Moja nitakuwa mara Moja...I swear sitomsamehe...alisema hata nisipompa Leo akikua mtoto atamtafuta.....ndo asubiri....sitaki kuniona sura yake hata kidogoMsamehe baba watoto To yeye
Ila inakuwaje anashindwa kukushawishi?
Mimi alitolewa mpaka mahari sijui alihudumia mpaka mimba.
Alivyosikia nimerudi mjini mbio ananitafutia.
Sasa mwamba anakwama wapi?