Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Single Moms njooni tuelimishane kitu hapa

Hata sijataka kuonana nae tangu aseme nitoe....nimezaa bado akasema nimejipanga....kiufupi siwez mruhusu amwone mwanangu maana hajawahi mpenda hata Kwa kumpea tu achana na Kuua....miaka 8 sasa
Singo Maza mnajuaga kujitetea na kutia huruma na hamtaki kueleza makosa yenu. Hakuna mwanamme anakimbia damu yake.

Ila nyie singo mama ndo mna matatizo na nina hakika huyo jamaa hakumkataa huyo mtoto kibwege kama unavyo tuambia.
 
Singo maza wote mbumbumbu bogus OmbaOmba wagawa utamu hopeless wapenda waume za watu wamejaa stress wachawi wana roho mbaya... Vijana msithubutu kuoa singo maza hawanaga akili
Si wote Kuna wengine wanajielewa na wanaheshima,
Sema wanaume wengi wanaowachukia single mother kwa sababu wengi wao ukiwa nawo maongezi yao yaegemea sana kwa mtoto wao!
 
Wewe umejuaje hajitambui anakoga nje mchna kweupe, mwanamke mkifanya mapenzi yeye ndiyo anabaki na alama yaani mimba. Ulitaka aitoe ama? Muwe mnaangalia uzi kwa jicho la pili. Wewe ni mwanamke wa nguvu To yeye
Siwi na maneno mengi mtu anayechukulia negative nilichoandika... maybe hapo yaliyomsibu pia.Thanks for appreciate mom....Mungu akubariki sana 🙏
 
Bora wewe mwenye akili timamu wengi wao ni hovyo sana,mtu alishakudhalilisha,akamkana mtoto,ukadharaulika,mwisho wa siku anaomba penzi anamkubalia,anabeba na mimba nyingine halafu jamaa linaingia mitini tena...
Ukiona hivyo mantiki yake ni kwamba anataka watoto wake wawe na baba mmoja. Huwa wanaona kuna unafuu fulani mbele ya jamii watoto wakiwa wa baba mmoja kuliko baba wakiwa tofauti...
 
Mnakosea hapa , wewe unatembea na mtu kwa siri kabisa mpaka unamvulia nguo kwenu hajulikani kabisa hii akili kweli?

Imagine hata ukibeba mimba ndo aje kujitambulisha akifa je ? Uhuni upelekea matokeo ya kihuni .

Jaalia mtu anakutumia tu bila ya kwenu kujulikana wazazi wanapenda watoto wao waolewe ni vizuri kwenda nae kwenu kwanza ,sio unaitwa kweny mahoteli tu kula bata.

NB; Kijana yeyote yule anayetelkeza single mother ipo siku hii karma itamrudia ,kuna wengine wanamtaka huyo mwanamke ila ushamtia gundu
 
Binafsi nikupongeze kwa kuaccept reality zaidi sana kwenye kipengele cha NB; hakika umeonyesha ukomavu.

mimi naamini mwenye subira yoyote atakula matunda mema.
 
Binafsi nikupongeze kwa kuaccept reality zaidi sana kwenye kipengele cha NB; hakika umeonyesha ukomavu.

mimi naamini mwenye subira yoyote atakula matunda mema.
Amina mkuu 👊
 
  • Thanks
Reactions: Sax
Wewe umejuaje hajitambui anakoga nje mchna kweupe, mwanamke mkifanya mapenzi yeye ndiyo anabaki na alama yaani mimba. Ulitaka aitoe ama? Muwe mnaangalia uzi kwa jicho la pili. Wewe ni mwanamke wa nguvu To yeye
Tatizo wengi wetu tunadhani Kuwa singo Maza ni kama ajali yaani inatokea kwa bahati mbaya. Siyo kweli.

Asilimia kubwa ya singo Maza wamelelewa na singo Maza. Ni rahisi sana singo Maza kumtengeneza singo Maza mwingine. Watoto wao Hawajui dhamani ya mwanamme na jinsi ya kuishi na mwanamme.

Na hata kama binti kalelewa kwenye familia ya baba na mama, angalia jinsi mama yake anavyo mtreat baba yake, lazima kutakuwa na tatizo. Mtoto wa kike huwa anachukua tabia za mama yake completely.

Tafsiri ya singo Maza ni kwamba hajui namna ya kuishi na mwanamme. Na ni kwa sababu either amelewa kwenye mazingira ambayo mwanamme aheshimiki au hakulelewa na mwanamme.


Jiulize ni Kwanini asilimia kubwa ya wanawake wa kaskazini ni singo Maza? Na kwanini asilimia kubwa ya wanawake wa iringa hawakimbiwi na waume zao?

Kuna familia/koo ambazo watoto wote wa kike wameolewa au wanaishi na waume zao na kuna familia/koo ambazo watoto wote wa kike wamekimbiwa na wanaishi pekee yao. Pia kuna wanawake ambao hawawezi kuishi na mwanamme hata awe muungwana kiasi gani.

Mfano sisi wanaume tunakata mawasiliano na huduma completely kama mwanamke akiongea neno moja tuu na kutuvunjia heshima. Asilimia kubwa ya singo Maza hii habari hawaijui, wanaropoka wanavyotaka wao.

Kuwa singo Maza haitokei kama ajali bali kuna sababu za msingi ambazo zipo kwa huyo Maza.
 
To be honest mwaka jana nilikuwa na msichana mmoja ni single mom.
Alipata mtoto akiwa o"level ofcoz ni wale wasichana ambao possibly kwao walikuwa wanafungiwa sana. Sasa naona upenyo ule wa shule na kutokujitambua vizuri akabeba mimba.
Niliona tunaweza kuwa pamoja lakini kwa kipindi ambacho tulikuwa kwenye mahusiano kama miezi 10 niliona itakuwa ngumu sana kufanya nae maisha.
Kwanza alikuwa anasema mtoto wake ni roho yake hivyo mtoto wake kwanza kisha ndio mengine yanafuata. Sasa kuna baadhi ya mambo alikua anafanya mtoto wake (niwa kike) unaona kabisa sio mazuri lakini ilikua ni ngumu sana hata kumshauri. Na hapo hata tulikuwa hatujaanza kukaa pamoja.
Sasa ukimzingatia mtu mwenye mtazamo wa namna hiyo kwa kweli ni ngumu sana.
Nalimpenda kwa moyo wote lakini rohoni mwake alikua na jeraha kubwa kiasi kwamba jambo dogo tuu. Tayari anawasha taa nyekunde (so inferior).

Tuliachana ndio pamoja na mengi mazuri yalikuwapo katikati yetu lakini kwa ajili afya ya akili na utulivu wa nafsi nilimuomba tuachane maana palikua pia na changamoto zingine za usabato.

Mungu awabariki sana single moms wote. Ila jitahidini msali sana maana pamoja na nguvu mlizonazo(physical strength and tolerance). spiritual mpo weak sana, msipo jitahidi kwa maombi wanaume wa hovyo wataendelea kuwasumbua sana.
 
Shida ilianza na ninyi wanawake kutaka wanaume wastaarabu wawajie na kuwatokea ninyi wanawake kwa style za kihuni.

Haiunaga mwanaume mstaarabu mwenye lengo la Ndoa na wewe atataka kukupeleka clubs, sijui maeneo ya bata, au atataka kukupa pesa ya saluni ili ukaweke fake hair na kuweka yale makucha kama reki. Its you women ambao mlianzisha huu mchezo.

Now u can't even tell the difference between muhuni na mwanaume mwenye dhamira nzuri.

Jana tu i was talking about this kwenye uzi somewhere. Wanawake wa siku hizi kudate now its not like what it used to be back in the days.

Mwanaume akimpenda mwanamke huwa hana dhamira ya kuoverspend alichonacho kwa huyu mwanamke ili kumuimpress maana ni hatari kwa uhusiano wao siku za mbeleni, ni vipi kikiisha atamuimpress na nini tena?! So mwanaume atataka mwanamke anaempenda approve namna gani ataweza sustain mahusiano yao at the lowest cost possible maana maisha hayana guarantee.

Shida sasa ni ninyi wanawake kulazimisha na kutaka wanaume watumie kwenu kwa nguvu yaani unataka kwa nguvu mwanaume atoe pesa akupe wewe bila kujali ana income source gani, na hapo tu ni umekutana nae na haumjui personality yake, how is it possible kwa huyu mtu kukupenda au kukuvalue wewe mwanamke ambaye umeshaprove kuwa ni takataka na hauna self consciousness?

Mwanaume ambaye atataka kuspend on you lavishly ni yule ambaye amekuona wewe hauna akili kama mwanamke na unatakiwa kurubuniwa ili yeye apate anachotaka, and i guarantee you ukiingia line kwenye akili yake kutaregister kuwa wewe upo kwake kupata vitu vizuri na hii automatically itamjenga kukaa na wewe kwa mashaka hence hakutakuwa na mapenzi ya dhati na lazima atatafuta nje huko.

Huyo mwanaume wako amekutazama ameona unamkamua ndio maana alikataa ujauzito wako aliona ni mtego wa kumkamua zaidi. Imagine unatoka na mdangaji mtu ambaye kila sms mbili amekutangazia njaa anataka hela, huyu ukizaa nae si itakuwa yeye, mtoto na ukoo wake wanakuandama kutaka uwape matumizi, kwa kipato gani sasa uweze kusapoti watu wote hao?

Wanaume hawajaumbwa kulalamika na kuongea hovyo, akishaongea mara moja take it very serious usilazimishe aongee zaidi tena kwa ukali ndipo uelewe. Ubishi ndio huwa unawaponza ninyi viumbe kwa kutokuwa watayari wa kutii na kuelewa maelekezo.

Anyways, huu mchezo ni ninyi ndio mlibadilisha rules of engagement. Wanaume tulitaka utaratibu mzuri tu wa kuanzia chini tukienda juu of which is natural hakunaga mtu anaanzia juu kwenda juu zaidi. But ninyi mnalazimisha tuanzie juu na hapo ndipo mnaona wanaume waongo, ila nani anaependa kuambiwa uongo kati ya mwanaume na mwanamke?
 
Back
Top Bottom