Single mother bana, tabu tupu

Kwa hiyo ulitaka akuposti wewe na akupe pongezi wewe za kumlea mwanae???acha kisirani kaka,,,mtoto sio ma💡ko kila mtu anae acha wafurahie penzi lao na mtoto wao,,,khasira zote hizo kisa hajakupa Taammm!!!
 
Mim nachoona ww ndo unastress na maisha ya watu.
 
Kwa hiyo ulitaka akuposti wewe na akupe pongezi wewe za kumlea mwanae???acha kisirani kaka,,,mtoto sio ma[emoji362]ko kila mtu anae acha wafurahie penzi lao na mtoto wao,,,khasira zote hizo kisa hajakupa Taammm!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
Tam yake ningeitaka ningela. Sikumtaka kwa matendobyake ya hovyo
Wewe ndio una matendo maovu umeingia kusiko kuhusu,,sasa mtu asimposti mwanae??na ulitaka asimpongeze mzazi mwenzie kwa kumtunza mtoto vizuri,,,simu ni yake,,bando la kwake,,, mtoto ni wake,,,mwanaume ni wake!!huwezi ukachukia na kumpangia kama wewe unavyotaka tafuta wako na wewe umzalishe na sio kurukiarukia vya watu,,,alafu alishakueleza kila kitu kabla,,wewe ndio ulishindwa kujiongeza??acha kupenda vitonga ndio matatizo yake hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…