To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Unatusema mno😜Umzeiona hizo bange na ww.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatusema mno😜Umzeiona hizo bange na ww.
Sawa 😞Hatuwaachi ng'ooo mbadilike
Unakuta demu anapost " nimemiss chips kuku" [emoji1787][emoji1787]hapo anauliza mwanaume gani anahela siku hiyo amnunulie chips kuku apewe mzigoAsilimia 90 ya wanawake wanaeleza Emotions na feelings zao kupitia status...!! Kama mdangaji utajua tu[emoji3][emoji3]
Sasa ndio unune?Sawa 😞
Waweza kuta na yeye anazaliwa na single mother.Mtuachee🥳🥳🥳🤣
Mim nachoona ww ndo unastress na maisha ya watu.Samaleko...
Hiki nacho ni moja ya visa vyangu kwenye harakati zangu za kumpata mtoto wa mama mkwe.
Kuna ka binti nilikutana nako miezi kama mitatu iliyopita. Siku ya kwanza tu nakaona nilipokasalimia tu, kalinichangamkia sana. Kakaniambia "ni kama nakuonaga maeneo flan" na ni kweli ndio maeneo niyoushi. Nikamjibu itakua kweli maana naishi maeneo hayo. Kwenye stori stori kumbe hakai mbali na ninapoishi. Basi tukabadilishana namba kila mtu kwao.
ma uko fresh tafuta fresh mwenzio muanze kwa score ya 0-0. Vinginevyo jiandae kuja kutuomba ushauri hapa.
Yosefu mwenyewe alitaka kumwacha Maria kwa siri akutaka kuchukua single mother mpka malaika alipoingilia kati.Achana na akili za kivulana, single mother ni akili kubwa
Mkaolewe na walio wazalishaKwa hiyo ulitaka akuposti wewe na akupe pongezi wewe za kumlea mwanae???acha kisirani kaka,,,mtoto sio ma[emoji362]ko kila mtu anae acha wafurahie penzi lao na mtoto wao,,,khasira zote hizo kisa hajakupa Taammm!!!
Tam yake ningeitaka ningela. Sikumtaka kwa matendobyake ya hovyoKwa hiyo ulitaka akuposti wewe na akupe pongezi wewe za kumlea mwanae???acha kisirani kaka,,,mtoto sio ma[emoji362]ko kila mtu anae acha wafurahie penzi lao na mtoto wao,,,khasira zote hizo kisa hajakupa Taammm!!!
Bora umuambie huyuu,.anadhan wote ni washamba wa statusIla status bana Kuna watu ukiona tu unajua maisha yake yalivo ila Kuna wengine utasugua bench kumjua kwa kutumia status
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKwa hiyo ulitaka akuposti wewe na akupe pongezi wewe za kumlea mwanae???acha kisirani kaka,,,mtoto sio ma[emoji362]ko kila mtu anae acha wafurahie penzi lao na mtoto wao,,,khasira zote hizo kisa hajakupa Taammm!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie watu mna nn lakini??Yosefu mwenyewe alitaka kumwacha Maria kwa siri akutaka kuchukua single mother mpka malaika alipoingilia kati.
Wewe ndio una matendo maovu umeingia kusiko kuhusu,,sasa mtu asimposti mwanae??na ulitaka asimpongeze mzazi mwenzie kwa kumtunza mtoto vizuri,,,simu ni yake,,bando la kwake,,, mtoto ni wake,,,mwanaume ni wake!!huwezi ukachukia na kumpangia kama wewe unavyotaka tafuta wako na wewe umzalishe na sio kurukiarukia vya watu,,,alafu alishakueleza kila kitu kabla,,wewe ndio ulishindwa kujiongeza??acha kupenda vitonga ndio matatizo yake hayoTam yake ningeitaka ningela. Sikumtaka kwa matendobyake ya hovyo
Mkorofi kweli huyuWaweza kuta na yeye anazaliwa na single mother.
🤣🤣🤣 HakajatuliaTo yeye, kiukweli mnazingua. Imagine huyu single mother ningezama mazima. Halafu ndio hivyo mara bukoba kwa mwanaume wake, utaka kusema tunawaonea ha hapo?