Single mother bana, tabu tupu

Wewe ni mpumbavu.
Kumbuka, sijakutukana ila nimekuita kwa jina lako.
Punguza majuaji kila mtu anamisimamo yake,usinipangie maamuzi..tulia home lea hako katoto ulikopata baada ya kubakwa...

Mtulize basha wako na uache zako za kimalaya..
 
Asilimia 90 ya wanawake wanaeleza Emotions na feelings zao kupitia status...!! Kama mdangaji utajua tu[emoji3][emoji3]
Kabisa,
Wanachukulia status Kama namna flan ya kuachia waliyonayo moyoni[emoji4]
 
Mkuu hii sio kweli?

Mimi mwenyewe nimeoa single mother naishi nae vizuri tu na mtoto yupo kwa bibi yake na likizo anakuja kwangu namtreat kama mwanangu tu ilihali mpaka babake namjua na namba yake ninayo.

Na wife hana mawasiliano na huyu jamaa japo mwanzoni walikuwa wanawasiliana kisa mahitaji ya mtoto ila jamaa akawa mgumu basi nikamwambia aachane nae tutafix wenyewe mpaka dogo yupo darasa la 7 mwaka huu sioni chochote kuhusu huyo jamaa.

Sio wanawake wote wapo hivyo ni baadhi tu, na huyo unaesema wewe kwa sababu bado hujamuoa sasa unadhani una cha kumpangia?

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kinaitwa co-parenting wakikutana tu,hapo ndipo unaibukaga ule msemo wa ".......hawala hana talaka ukimtaka unampata........".Wapo wenye kuwakazia waliozaa nao ila wachache sana.
 
Punguza majuaji kila mtu anamisimamo yake,usinipangie maamuzi..tulia home lea hako katoto ulikopata baada ya kubakwa...

Mtulize basha wako na uache zako za kimalaya..
Ooops nilijua tayari unajua wewe ni MPUMBAVU lakini kwa namna ulivyo react ni Wazi wewe ni mjinga pia ndiyo maana ujinga wako hauwezi kukuruhusu utambue wewe ni mpumbavu.

Pole sana ilibidi uwe umeshajua siku nyingi how stupid you are!
 
Kuzaliwa na single mother hakufanyi wewe uoe single mother, je Kama mamayako alikua Malay** na wewe utaoa malaya, Kama mamako m hawi na wewe utaoa mchawi,....mahusino yako hayaingilia I na line ya ndugu zako mpaka uheshimiwe
Wazazi wangu ingetokea wakawa hivyo nikifika eneo hilo nakaa kimyaa.Kwahiyo nimepatia unazaliwa na single mother eeh!!?
 
Good luck [emoji106]
 
Ooops nilijua tayari unajua wewe ni MPUMBAVU lakini kwa namna ulivyo react ni Wazi wewe ni mjinga pia ndiyo maana ujinga wako hauwezi kukuruhusu utambue wewe ni mpumbavu.

Pole sana ilibidi uwe umeshajua siku nyingi how stupid you are!
Singo maza ni sawa na kununua gazeti jioni,fulustop...

Niwe mjinga,kilaza,mpumbavu utajua wewe ila watu wangu wakaribu huwa wananielewa ninapowaeleza kuwa singo maza ni kama kituo cha polisi...

Wewe pamoja na werevu wako lakini unalea hako katoto peke ako na ujinga wako..wanawake kama wewe mliletwa duniani mkutane na wanaume wawazalishe,wawatelekeze ili muwe mifano kwa wengine...
Usiichukie hali uliyonayo wewe ni singo maza tu na kama inauma chomoa.
 
Ni kweli mkuu kama hili lisagaji tu Dr. Mariposa ni mfano hai
 
Yaani upo kwenye MAHUSIANO na mwanaume X then unampostiposti mwanaume Y eti kwasababu mulia hana for good

Somo la mahusiano lianzishwe mashuleni

Kwani picha Ni nini?
Alafu alieandika kasema mahusiano?
Hata kumtongoza hajamtongoza kaanza lawama..
Sijasema kama mimi ni Ke au Me nimejibu kwa nionavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…