Single mother bana, tabu tupu


Congratulations gentleman na Mungu akuzidishie..
Unawekeza kesho ya mtoto ambae atakuja kukufurahisha mbeleni na kuinua ndugu zake.
 
Babu jinga kaa ufikiri mali yako inaliwa
 
Hahahhahaha wewe ni mpumbavu sana. Ni hasara kwa jamii[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Mimi naishi maisha ambayo ni maisha ya ndoto zako. Mume wangu ni aina ya mwanaume ambao una ndoto za kuwa kama hao ukiacha ujinga.

Naishi kwenye nyumba ambayo ni nyumba za ndoto zako.
Namiliki magari ambayo nina uhakika pia ni magari ya ndoto zako.

Halafu nina watoto wawili wazuri na wanasoma shule ambayo usipoacha upumbavu hautokaa kuweza kumpeleka mtoto wako hapo.

Huo muda wa kutukana single maza tumia kujikwamua kimaisha uache ujinga na makasiriko.
 
Halafu anakuja mpumbavu mmoja ametoka huko machakani...
Ni singo maza,Hajui kuhusu ndoa,hajui uhuru wa mtu,kato**wa hajaoga,ananuka janaba,na kapua kake ameweka juu et "wewe mpumbavu,sijakutukana nimekuita jina"...
Kwani uongo? Wewe ni mpumbavu na ulipaswa uwe unajua tayari.

Unazungukwa na watu wanafiki ilibidi wawe wameshakuambia ukweli kwamba wewe ni Mpumbavu .
 
Mi nasubiria safari yangu na singo maza isogee sogee mbele angalau nishushe hata season 1. Ila wana wivu sana.
 
Kwani uongo? Wewe ni mpumbavu na ulipaswa uwe unajua tayari.

Unazungukwa na watu wanafiki ilibidi wawe wameshakuambia ukweli kwamba wewe ni Mpumbavu .
Hiyo nguvu unayotumia kunielewesha kwamba mimi nimpumbavu,hebu ipeleke kwa mwanao itamsaidia...
Hizo hasira zako,majuto yako bado hayatakusaidia kitu..
Ulisha uza mechi saizi umebaki na gubu kwa wanaume..
 
Hahahahaha Punguza jazba na uache huo ufeminist wako...hebu nambie umeolewa na diamond platnumz au mandonga mtu kazi...
 
Hiyo nguvu unayotumia kunielewesha kwamba mimi nimpumbavu,hebu ipeleke kwa mwanao itamsaidia...
Hizo hasira zako,majuto yako bado hayatakusaidia kitu..
Ulisha uza mechi saizi umebaki na gubu kwa wanaume..

Wala situmii nguvu kukuelewesha ni namna gani wewe ulivyo mpumbavu maana maandishi yako yenyewe yanakuelewesha ila vile ni mjinga hata hauelewi hadi mimi inabidi nikusaidie.

Acha ujinga na upumbavu ndiyo utaweza kuishi maisha ya ndoto zako ambayo mimi ndiyo nayaishi saivi. La sivyo utaendelea kuwa na makasiriko hadi ufe.
 
Hahahahaha Punguza jazba na uache huo ufeminist wako...hebu nambie umeolewa na diamond platnumz au mandonga mtu kazi...
Sijui kwanini unafeli kuficha upumbavu wako.
Kwahiyo kwa akili yako ndoto zako ni za kuwa mwanaume aina ya Diamond au Mandonga? Hao ndiyo aina ya wanaume ambao una ndoto za kuwa kama wao? Idiot!

Basi nimeolewa na mwanaume ambaye hata katika ndoto zako hauwezi kuwa kama yeye. Ni bora kuzidi hao unaotamani kuwa kama wao.
 
Umepaniki!!! Hahahahaha hujui unachozungumza na huwezi kunipangia kitu..eti ndoto za kuwa kama mumeo hahaha....
 
NEVER STOP DREAMING.
Endelea kupredict hizo future kwa kuota...
Eti ndoto una maisha ya ndoto wewe
 
Huu mnyukano huu, noma sana
 
Halafu anakuja mpumbavu mmoja ametoka huko machakani...
Ni singo maza,Hajui kuhusu ndoa,hajui uhuru wa mtu,kato**wa hajaoga,ananuka janaba,na kapua kake ameweka juu et "wewe mpumbavu,sijakutukana nimekuita jina"...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wana stress mkuu acha tu
 
Hiyo nguvu unayotumia kunielewesha kwamba mimi nimpumbavu,hebu ipeleke kwa mwanao itamsaidia...
Hizo hasira zako,majuto yako bado hayatakusaidia kitu..
Ulisha uza mechi saizi umebaki na gubu kwa wanaume..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo baba wa mtoto wake hawawasiliani kwakuwa hana mpango nae huyo mke wako ila akija kuamua kumpiga sound za Kumla, analiwa huyo mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…