Single mother bana, tabu tupu

Single mother bana, tabu tupu

Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku...
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...


Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.

Sku zote ukitaka kumteka kihisia single mother ni issue ndogo sana, ni kumpenda mwanae tu na kumpatia vijizawadi vidogo dogo, mbona single mother atakupa mapenzi mpaka ukimbie mwenyewe .
 
.......kwa hiyo mkuu umeokota dodo, we si umempenda mwanae na yeye ameamua kukupenda wewe ili ngoma iwe droo......
.......watu huwa hawapendi kuoa mwanamke aliyezaa tayari, ingawa single mamas wengi huwa Wana akili za maisha sana coz huwa wanapitia misoto ya malezi........
.........nb:humu watu huwa wanasema kama umempenda mwambie akupeleke kwenye kaburi la mme wake then mambo mengine yaendelee......
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku...
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...


Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
Yaan I hii mbinu uliyotumia hata kwa mungu ukitaka kumla bila kumtongoza sana ni watoto wake wakupende tu,
Ataanza yeye kukutongoza nadhani ni mbinu uliyoijua ila hapa unatuchora tu akili,zetu
Tayari panya kanasa Bob kula mzigo
 
Yaani hujui anataka nini Hadi umeanzisha thread?kabisa??

Ikitokea kuna mpangaji mpya kaja na huyo dada akahamisha attention Kwa huyo mpangaji ndo watu kama wewe mnaanza kukonda na kulaani Sana na hata kuhama hapo ..kumbe nafasi ilikuwa yako ukaleta ubitozi
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku...
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...


Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
Yaani umependwa unakuja kulalamika uku!
We enjoy maisha na zawadi unazokutana nazo.

Inawezekana hujioni kuwa unastahili huo upendo. Ni heri umuache usimuumize ili akamuoneshe mtu mwingine anayestahili huo upendo.
 
Mm nilianza kuitwa baba brai kutoka kwa mama brai kisa tu brai awe anakuja kuangalia katuni kwenye liskrini langu kuuubwa lililokuwepo magetoni.

Ila ishu ya kuletewa chakula niliikataa mana kuna siku sista angu alikuja kunitembelea wakati tunapiga story mama brai akaleta msosi kama kawa. Sista akanipiga boonge la mkwara kwa maelezo kwamba yeye ni mwanamka so anaelewa mbinu za wa awake. Kwamba mama brai asingeniacha salama
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku...
Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...


Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
niwe wazi nikwambie wewe ni mjinga sana. Ulimwengu huu uliojaa kesi za ulawiti bado unajibambisha kwa kitoto cha watu? Hivi siku huyo singo mama akikutaka nawe akakataa, akipiga mayowe polisi kwamba amekukuta unamshikashika mtoto wake makalioni, utasalimika??

acha ujinga wa kujipendekeza kwa familia ya mwingine.
 
Mm nilianza kuitwa baba brai kutoka kwa mama brai kisa tu brai awe anakuja kuangalia katuni kwenye liskrini langu kuuubwa lililokuwepo magetoni.

Ila ishu ya kuletewa chakula niliikataa mana kuna siku sista angu alikuja kunitembelea wakati tunapiga story mama brai akaleta msosi kama kawa. Sista akanipiga boonge la mkwara kwa maelezo kwamba yeye ni mwanamka so anaelewa mbinu za wa awake. Kwamba mama brai asingeniacha salama
Asingekuacha salama kivipi Mzee!?si ni kufanya mapenzi TU na mama Brai au angekuuza kama zamani utumwani huko mashariki ya kati na Uropa!?
Sista awe anakuja kufanya yake mengine akuachie
 
Asingekuacha salama kivipi Mzee!?si ni kufanya mapenzi TU na mama Brai au angekuuza kama zamani utumwani huko mashariki ya kati na Uropa!?
Sista awe anakuja kufanya yake mengine akuachie
Bade nikagundua alikuwa anataka nimsaidie kumlea brai kwa kuchukua majukumu ya ba brai.
 
Zingatia comment ya juu Hapo, siki akihamisha hio attention kwa mwana mwengine mpangaji ndio utajua hujui.

Mkipendwa mnaringa
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku... Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya Kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...

Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
Tulia upigwe na square pipe kichwani
 
Bade nikagundua alikuwa anataka nimsaidie kumlea brai kwa kuchukua majukumu ya ba brai.
Hiyo ni hiari Wala asingekulazimisha na hizi huwa ni madhani we ungekula kwanza kwenye malezi bado Brai atalelewa na jamii hivyo hivyo hadi akue maana si tayari hana baba so utalea wewe atalea na Mwingine na kuendelea
 
JF imekua tanuri kwa singo maza 😂😂

By the way ana tako? Kama hana usitupotezee muda kumdiscuss!
 
JF imekua tanuri kwa singo maza [emoji23][emoji23]

By the way ana tako? Kama hana usitupotezee muda kumdiscuss!
Unakuta ata kataa ndoa tunawasagia kunguni as if watajioa [emoji1787][emoji1787] ila sizan sizan kama kuna mtu mjinga huku ataendeshwa na mawazo hasi .
 
Back
Top Bottom