Single mother bana, tabu tupu

Single mother bana, tabu tupu

ukimpotezea atakuwa adui yako.wanawake ndo walivyo akikuonyesha kuku jal we ukamchukulia poa anahis kama umemzarau kinachofata ni vita,isha nikuta sana hii
 
Aisee ushauri gaani unataka sasa.
Tuna wapuuzi wengi sana humu duniani
 
Unakuta ata kataa ndoa tunawasagia kunguni as if watajioa [emoji1787][emoji1787] ila sizan sizan kama kuna mtu mjinga huku ataendeshwa na mawazo hasi .
Hawakosi kuna mamburula wafata mkumbo humu.. ndo mana mtu akija na mada ya kutaka kujiua au kujidhuru sifanyagi mzaha kabisaa u never know, sasa kuna watu humu ndo kwanza ana comment wasalimie kuzimu au utani kwenye mada za hatari. So ata ushaur wa kijinga wanafata pia
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku... Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya Kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...

Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.

Kwisha habari yako [emoji23][emoji23]
 
Yaani hujui anataka nini Hadi umeanzisha thread?kabisa??

Ikitokea kuna mpangaji mpya kaja na huyo dada akahamisha attention Kwa huyo mpangaji ndo watu kama wewe mnaanza kukonda na kulaani Sana na hata kuhama hapo ..kumbe nafasi ilikuwa yako ukaleta ubitozi
Asipokuelewa naomba akaendelee tu na kilimo chake cha nyanya chungu.
 
Wakuu poleni na majukumu yenu ya kila siku... Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu..kuna nyumba nimehamia maeneo ya Kawe ni hizi nyumba za uswahilini zenye vyumba vingi na toilet ya kushare..

Kinachonishtua ni hii caring ya huyu single mother anakatoto kadogo kamiaka nadhani mitatu...sasa kulingana na mishe zangu huwa narudi saa kumi bhasi hupendelea kukabeba nakuingia nacho kitaa unakuta nakanunulia juice,soda kiufupi kamenizoea sana kasipo niona kanasumbua ...

Sasa shida sio haka katoto ni huyu bi dada aisee hii ni wiki inatembea mi chakula cha usiku kila siku ananiletea kwenye hotpot...mara anipigie simu narudi sa ngapi mara zamu yangu ya usafi kanisaidia maana ni siku tatu Tau sasa care zimekuwa nyingi wakuu atakuwa anashida gani au mimi nitulie tu nikae kimya...

Naombeni ushauru wakuu au nimuulize kwanini ananiletea msosi kila siku.
Kaa kwa kutulia Uncle.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam JF,

Hivi hawa masingle mother ni viumbe gani, inakuwaje wanawaza kamserereko tu bila kujiongeza, kila muda wako negative, omba omba, chuma ulete, wengi ni akina mama cha wote, hakuna mwaminifu hata single mothers walokole nao hamna kitu.
Wasipobadirikq tutawanyandua kwa magepu sana.

Ukiwapa pesa lampsum hawajitambui, ukiwapa weekly pasua kichwa.

Mpaka sasa maamuzi yangu single mothers ntawanyandua kwa one night stand tu, na kwa huruma labda occasionally maana hawajitambui kabisa.

Ukiwasaidia ni kama wamekusaidie na usimpomsaidiia yeye ndio anakusaidia.

Badilikeni Maisha ni kujishusha na kuwa na focus.

Wadiz
 
Wasalaam JF,

Hivi hawa masingle mother ni viumbe gani, inakuwaje wanawaza kamserereko tu bila kujiongeza, kila muda wako negative, omba omba, chuma ulete, wengi ni akina mama cha wote, hakuna mwaminifu hata single mothers walokole nao hamna kitu.
Wasipobadirikq tutawanyandua kwa magepu sana.

Ukiwapa pesa lampsum hawajitambui, ukiwapa weekly pasua kichwa.

Mpaka sasa maamuzi yangu single mothers ntawanyandua kwa one night stand tu, na kwa huruma labda occasionally maana hawajitambui kabisa.

Ukiwasaidia ni kama wamekusaidie na usimpomsaidiia yeye ndio anakusaidia.

Badilikeni Maisha ni kujishusha na kuwa na focus.

Wadiz
Unawataka ili ufanye research au [emoji1241]
 
Mnawapendea nn? Mbona kama mnateseka nao sana? Kuna kitu wanaume huwa kinatuumiza sana, kushindwa kumfuta mwanaume mwezako kichwani kwa mwanamke uliye naye. Wengi wanaolalamika kuhusu single mothers ni wale wanaotaka kujiaminisha wao ni wanaume kuliko waliompa mimba. Kama huna ulilotegemea ungefanya yako ungeondoka, wala asingekutesa.
 
Wasalaam JF,

Hivi hawa masingle mother ni viumbe gani, inakuwaje wanawaza kamserereko tu bila kujiongeza, kila muda wako negative, omba omba, chuma ulete, wengi ni akina mama cha wote, hakuna mwaminifu hata single mothers walokole nao hamna kitu.
Wasipobadirikq tutawanyandua kwa magepu sana.

Ukiwapa pesa lampsum hawajitambui, ukiwapa weekly pasua kichwa.

Mpaka sasa maamuzi yangu single mothers ntawanyandua kwa one night stand tu, na kwa huruma labda occasionally maana hawajitambui kabisa.

Ukiwasaidia ni kama wamekusaidie na usimpomsaidiia yeye ndio anakusaidia.

Badilikeni Maisha ni kujishusha na kuwa na focus.

Wadiz
Ni wote?
 
Wasalaam JF,

Hivi hawa masingle mother ni viumbe gani, inakuwaje wanawaza kamserereko tu bila kujiongeza, kila muda wako negative, omba omba, chuma ulete, wengi ni akina mama cha wote, hakuna mwaminifu hata single mothers walokole nao hamna kitu.
Wasipobadirikq tutawanyandua kwa magepu sana.

Ukiwapa pesa lampsum hawajitambui, ukiwapa weekly pasua kichwa.

Mpaka sasa maamuzi yangu single mothers ntawanyandua kwa one night stand tu, na kwa huruma labda occasionally maana hawajitambui kabisa.

Ukiwasaidia ni kama wamekusaidie na usimpomsaidiia yeye ndio anakusaidia.

Badilikeni Maisha ni kujishusha na kuwa na focus.

Wadiz
Ni wajinga sana hao, wastaarabu ni kama 10% tu kati yao, wasumbufu wanaomba omba pesa muda wote, na mbaya zaidi hutoa malalamiko dhidi ya walio wazalisha, lakini Cha ajabu mala kadhaa hukutana na hao waliowazalisha tena na wananyanduana, majinga sana hayo
 
Back
Top Bottom