Single mother bana, tabu tupu

Single mother bana, tabu tupu

Utatumia nguvu kubwa kulilinda penzi. Ili ujihakikishie kuwa single mama anatulizana na wewe, utahitaji kuishi maisha ya kumfurahisha yeye, kumpa atakacho ili asije akamkumbuka mume wake wa kwanza. Namna pekee ya kumfurahisha ni kuhakikisha mtoto wa mwanamume mwenzako anapata maatunzo mazuri, nguo nzuri, elimu nzuri n.k. Utalazimika kuwa karibu naye kuliko hata baba mzazi anavyokuwa, yote haya ni kutafuta kumfurahisha single mama. Utaishi maisha ya kujipendekeza, yenye stress nyinyi...
Daaah itabidi tuwe chawa wa Ma single mother

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Options ni tatu, mtuvumilie na vichomi tunavyowachoma mkishindwa zinabaki options mbili , moja muache kudate na sisi, ya pili turudisheni kwa wanaume zetu tuliowazalia kinguvu

[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hao viumbe tuachieni sisi. Single mother ni watam jamani[emoji39][emoji39]
Inakuaje muda wote kazi yao ni kuomba omba tu pesa? Na hata uumpe leo, kesho anakuja na shida zingine na anakutengenezea mazingira ya kama kile ulichofanya Jana hakipo tena, ni majinga makubwa sana hayo
 
Inakuaje muda wote kazi yao ni kuomba omba tu pesa? Na hata uumpe leo, kesho anakuja na shida zingine na anakutengenezea mazingira ya kama kile ulichofanya Jana hakipo tena, ni majinga makubwa sana hayo
Yape hela ule mbususu mkuu
 
Back
Top Bottom