Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
Aahaaaaambona mna wa judge sana
vipi kama walikua na zamu ya kuosha vyombo ikafika turn ya jamaa akawa anajivutavuta ๐ ๐ ๐ ๐
achape kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahaaaaambona mna wa judge sana
vipi kama walikua na zamu ya kuosha vyombo ikafika turn ya jamaa akawa anajivutavuta ๐ ๐ ๐ ๐
achape kazi
Sasa ujinyonge kwa michango yangu kwanini au tayari kuna namna huko moyoni mwako kuhusu mimi๐shkamoo,, naomba usichangie kwanguvu apo nitajinyonga
Ghai ghai ghai ghai wew ๐๐๐moyo wangu huu huu au kuna mwingine,, kifupi sina moyo mimi wa kua na namna na kiumbe yoyote๐๐๐ turud kwenye mada si unajua mimi n wale wale kasoro majinaSasa ujinyonge kwa michango yangu kwanini au tayari kuna namna huko moyoni mwako kuhusu mimi๐
Charlie โmission abortedโCopy.. we need an evac immediately.. over and out..
Tango tango tango 1 tango 1Copy.. we need an evac immediately.. over and out..
Kuna Demu mmoja Dodoma aliwai kuniambia Kama hivi. Nikapiga chini single mama Yule. Alinisumbua nilivyo muacha maana nilikuwa Nina msaidia Sana mgogo Yule.Huyu mwanaume umenikuta nae, sasa mbona unalalamika...ukiniona na mwanaume mpya hapo ndio utasema nimeku cheat.. Lakini huyu umenikuta nae..
Mwisho wa kunukuu...
Nidanganganye danganye tuGhai ghai ghai ghai wew ๐๐๐moyo wangu huu huu au kuna mwingine,, kifupi sina moyo mimi wa kua na namna na kiumbe yoyote๐๐๐ turud kwenye mada si unajua mimi n wale wale kasoro majina
NeverNidanganganye danganye tu
Kazi ipo....anampongeza mtu ambaye hakumuoa. Au ni Kumsifia ili amchume pesa?Hawa watu akili zao huwa kama zimevurugwa,kuna mmoja alishawahi kumwambia mzazi mwenzie eti wewe ndio mwanaume niliowahi kukupenda kuliko wanaume wote hapa duniani,wakati tayari kaolewa na mwanaume mwingine.Hapa ndio utawakumbuka wale wanaosema kama unataka kuoa single mother inatakiwa usikie baba mtoto wake amefariki...
Sema nini, mnawananga lakini hamuachi Kuwaoa.Jamaa leo nilikuwa nae sehemu tunagonga moja mbili, sasa ghafra nikaona jamaa kabadilika. Nikamuuliza vipi mbona umechange ghafra!
Jamaa akaniambia Single mother kamtumia meseji inayosema "Asipokuta vyombo vimeoshwa basi ajiandae kumpokea beki tatu atakaeletwa na Baba mzazi wa mtoto wake".
Jamaa kachanganyikiwa, maana hapendi kuona mke wake akipokea msaada wowote toka kwa mzazi mwenzie.
Sawa mkuuNever
soma vizuri utaelewa nimepose question kama assumtion ambayo ikiwa na majibu bado amtimue au atimkeYaani unataka azae nae aongeze matatizo,mi naonaga bora mtu umsome kwanza kabla ya kuzaa naye.
Mkuu lazima akasumbue kwasababu huduma alizokua ana pata kwako hazipati tena kupitia Baba mtoto wake.Kuna Demu mmoja Dodoma aliwai kuniambia Kama hivi. Nikapiga chini single mama Yule. Alinisumbua nilivyo muacha maana nilikuwa Nina msaidia Sana mgogo Yule.
Haki ya nani? ApiaSingle mother wote Wana matatizo ya afya ya akilo