Single mother kamwandikia meseji hii Step Father

mbona mna wa judge sana

vipi kama walikua na zamu ya kuosha vyombo ikafika turn ya jamaa akawa anajivutavuta πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

achape kazi
Aahaaaaa
 
Sasa ujinyonge kwa michango yangu kwanini au tayari kuna namna huko moyoni mwako kuhusu mimiπŸ˜‚
Ghai ghai ghai ghai wew πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚moyo wangu huu huu au kuna mwingine,, kifupi sina moyo mimi wa kua na namna na kiumbe yoyoteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ turud kwenye mada si unajua mimi n wale wale kasoro majina
 
Huyu mwanaume umenikuta nae, sasa mbona unalalamika...ukiniona na mwanaume mpya hapo ndio utasema nimeku cheat.. Lakini huyu umenikuta nae..

Mwisho wa kunukuu...
Kuna Demu mmoja Dodoma aliwai kuniambia Kama hivi. Nikapiga chini single mama Yule. Alinisumbua nilivyo muacha maana nilikuwa Nina msaidia Sana mgogo Yule.
 
Ghai ghai ghai ghai wew πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚moyo wangu huu huu au kuna mwingine,, kifupi sina moyo mimi wa kua na namna na kiumbe yoyoteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ turud kwenye mada si unajua mimi n wale wale kasoro majina
Nidanganganye danganye tu
 
Huyo rafiki yako ana akili za ziada anazotumia hapo bar? au ni hizo hizo ndio anazotumia kuishi na huyo mwanamke?
 
Kazi ipo....anampongeza mtu ambaye hakumuoa. Au ni Kumsifia ili amchume pesa?
 
Sema nini, mnawananga lakini hamuachi Kuwaoa.

Mkiwa jukwani kila mtu anajifanya hamtaki Single Maza lakini hao hao kila siku wanawaliza.
 
Yaani unataka azae nae aongeze matatizo,mi naonaga bora mtu umsome kwanza kabla ya kuzaa naye.
soma vizuri utaelewa nimepose question kama assumtion ambayo ikiwa na majibu bado amtimue au atimke
 
Kuna Demu mmoja Dodoma aliwai kuniambia Kama hivi. Nikapiga chini single mama Yule. Alinisumbua nilivyo muacha maana nilikuwa Nina msaidia Sana mgogo Yule.
Mkuu lazima akasumbue kwasababu huduma alizokua ana pata kwako hazipati tena kupitia Baba mtoto wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…