Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni rahisi kumrekebisha mtoto wako kuliko mtoto wa mtu mwingine. Asikudanganye mtu. Na kama mama yake hayupo kwenye uelekeo wako mtagombana bure tu. Wewe umesoma ukaelewa msimamo au mtizamo wa mama wa mtoto?Hiyo akili inahitajika pale usipohitaji kumlea huyo mtoto, ila kama una nia ya kumlea huwezi tumia njia ya kufukuza. Unadhani angekuwa wake wa kumzaa angefukuza? Angepambana ahakikishe dogo ananyooka.
Wanawake wanahitahi miongozo ya mwanaume katika malezi, ni suala la kumfanya aelewe na kukusikiliza kuwa nia ni kumlea mtoto wenu katika njia sahihi. Ukimfukuza maana yake humtaki tena.
Huyo mwanamke hakuwa tayari mwanae kuwa na baba wa kambo na Jamaa hakuwa tayari kuwa baba wa kambo ila walitakana wao na wakalazimisha mambo. Wamefanya sahihi kuachana.Ni rahisi kumrekebisha mtoto wako kuliko mtoto wa mtu mwingine. Asikudanganye mtu. Na kama mama yake hayupo kwenye uelekeo wako mtagombana bure tu. Wewe umesoma ukaelewa msimamo au mtizamo wa mama wa mtoto?
Mimi hata watoto wa ndugu zangu.Anataka baba wa kambo jukumu lake liwe ni kutoa hela tu mtoto akitaka hiki au kile. Kwenye kunyoosha tabia anaona mtoto wake ananyanyasika ujinga tu
Kulea mtoto wa mtu mwingine, ni RAHISI tu IWAPO MZAZI ANAKURUHUSU UMLEE KATIKA NJIA IPASAYO!Hiyo akili inahitajika pale usipohitaji kumlea huyo mtoto, ila kama una nia ya kumlea huwezi tumia njia ya kufukuza. Unadhani angekuwa wake wa kumzaa angefukuza? Angepambana ahakikishe dogo ananyooka.
Wanawake wanahitahi miongozo ya mwanaume katika malezi, ni suala la kumfanya aelewe na kukusikiliza kuwa nia ni kumlea mtoto wenu katika njia sahihi. Ukimfukuza maana yake humtaki tena.
Na ni ujinga sana wewe una mtoto halafu unaenda kuanzisha mahusiano na mtu ambaye hatamuongoza mwanao katika njia unayoamini kuwa ni sahihi. Tatizo watu wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu wanazozijua wao mioyoni mwao ila si familia.Kulea mtoto wa mtu mwingine, ni RAHISI tu IWAPO MZAZI ANAKURUHUSU UMLEE KATIKA NJIA IPASAYO!
hakuna mtu mgumu kulea mtoto naye kama mzazi(wa kiume au wa kike) asiyeamini katika your parenting style!
hakiiii nakwambia huwezi!
Kabisa.Na ni ujinga sana wewe una mtoto halafu unaenda kuanzisha mahusiano na mtu ambaye hatamuongoza mwanao katika njia unayoamini kuwa ni sahihi. Tatizo watu wanaingia kwenye mahusiano kwa sababu wanazozijua wao mioyoni mwao ila si familia.
Mtu mpaka aliamua ajifie kuepuka shida ...yeye anaenda kujibebea...Hilo ni furushi kwa kauli hizi, mama timamu na akili zake hawezi mwambia mtoto mdogo haya maneno.
Napenda sana watoto ila sio wenye vitabia vya hovyo na mama zao wanawachekea.
Kuna singo maza mmoja ana mwanae wa kiume miaka 6 ivi, tabia za kike kike kila kitu ni kususa na sitaki na kupandisha mabega kama kangaroo alafu mama yake anamchekea"hehehe ndio alivyo atalia".
Kabisa. Usiokoteze okoteze tu ili uonekane una mtu.Kabisa.
Yani ukishakuwa na watoto na huishi na mwenzi uliyezaa nae.
Kigezo cha kwanza kabisa kwa mwenzi anayefuata ni yule
ATAKAYEKUBALI NA KUWEZA KUWA BABA/MAMA kwa watoto wako.
Mengine yanafuata!
kinyume na hapo kila siku itakuwa ni changamoto!
kweli kabisa.Mtu mpaka aliamua ajifie kuepuka shida ...yeye anaenda kujibebea...
Shida siku hizi tuonaoana kisa utamu wa kitandani tu labda kidogo na mezani.
Kijana akishapewa mapenzi tuu . huyu Sasa ndio mwanamke. Anasahau mambo muhimu kama utulivu wa akili na mawazo, ukarimu, lugha njema, usafi na nidhamu..
Acha tupigike na ujinga
ni mara 10 ubaki unalea mwenyewe kuliko kusogeza tu mtu mradi na we waseme una mke/mumeKabisa. Usiokoteze okoteze tu ili uonekane una mtu.
Kabisa.ni mara 10 ubaki unalea mwenyewe kuliko kusogeza tu mtu mradi na we waseme una mke/mume
Huyo mwanamke hata asingekuwa na mtoto jamaa huenda wangesumbuana.Nimesoma nimegundua bibi yake huyo mtoto anajua kulea sana. Changamoto huyo demu wako
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Naona kijana utam wa bed haumzuzui ila wengi mauno yanawachanganya mpaka wanafanyiwa mambo ya hovyo na aibu na hawaoni.Mtu mpaka aliamua ajifie kuepuka shida ...yeye anaenda kujibebea...
Shida siku hizi tuonaoana kisa utamu wa kitandani tu labda kidogo na mezani.
Kijana akishapewa mapenzi tuu . huyu Sasa ndio mwanamke. Anasahau mambo muhimu kama utulivu wa akili na mawazo, ukarimu, lugha njema, usafi na nidhamu..
Acha tupigike na ujinga
Umesoma vzr kisa chote? Umesoma majibu ya mama wa mtoto? Au we ni kiazi??Kwa ufupi, haukuwa tayari kuwa baba wa kambo na hukumpenda huyo mtoto ulijilazimisha. Wototo wana madhaifu mengi inahitajika busara sana kudeal nao.
Wenye mihemko hamkosekanagi popote. Maofisini, mitaani mpaka magerezani.Umesoma vzr kisa chote? Umesoma majibu ya mama wa mtoto? Au we ni kiazi??