🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Hii nomaMtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.
Mimi mwenyewe sipendi watoto hasa makelele hapa nini miaka 31 sina mtoto wala sitegemei hata nikipata nitakuwa mbali sanaNlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.
Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.
Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.
1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.
2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.
3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.
4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.
5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.
6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.
7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.
Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.
Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.
Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.
Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
Kabisaaiseeh!
Kuna namna nimekuelewa.
Issue sio mtoto, isse kwa malezi ya aina hi huyo hata hafai kuwa mama wa watoto wako.
Wala usijidanganye kuwa akimuacha mtoto kwa bibi yake utakuwa salama.
Hii haikubaliki hata kidogo hahaha ,baba ikram anasema kitoto kinakimbilia kulala katikati hahaha5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kama unaakili lazima uteme bungo. Haina maana ila jamaa naye ni boya sana watoto wawili unampangia nyumba, unataka uwe unapata nini cha ajabu?Kuna jamaa yangu kampangia chumba&sebule singo mother wa watoto wawili (miaka 2&4), anasema kupata sex Ni mpaka ajipange Ela ya gesti wakati alikompagia pango kalipia miezi 6. Nae soon anakaribia kutema BUNGO[emoji23]
Inahitaji uwe na akili kama ya jamaa. Kulea ubovu ni kulea magonjwaKwa ufupi, haukuwa tayari kuwa baba wa kambo na hukumpenda huyo mtoto ulijilazimisha. Wototo wana madhaifu mengi inahitajika busara sana kudeal nao.
Unamrekebishaje au kumwelekeza mama yake hataki anaona unamnyanyasa. Yaani anataka apewe pesa tu malezi hataki. So ni bora niwe sipendi mtoto wake. Acha iwe hivyo niwe huru naye awe huru.kinajua kucheza amapiano na singeli
😃😀🙆👆
Ndugu, inaonekana huna upendo na watoto wadogo.
Sema usemavyo, huyo ni mtoto na anahitaji malezi na maelekezo.
Pia huyo mwanamke umeshindwa kumridhisha kisaikolojia ili asione utofauti wa baba mzazi na baba mlezi wa mtoto.
Ukiweza kumpenda huyo mtoto hakika huyo mwanamke ungemgusa moyo wake na angetulia.
upo wrong mkuu , hapa ni sehem ya kujengana na sio kila ttzo utatue mwenyew , ni vzr kushare na watu mikasa yako na way forward yako ili jamii ikuongezee nyama kweny nin cha kufanyaBaba hao wa miaka ya 90s na 2000 kazi yao ni kulalamika tu, .....kama baba wa kufikia umeshindwa kusimamia au kulea huyu mtoto kama unavo penda unaishia kulalamika mitandaoni, nyie vitoto vya 2000 endeleeni na kampeini ya kukataa ndoa nyie hamna akili ya kulea ndoa, unalalamikia mtoto wa miaka sita kweli?????
Kabisa dada... Inakuwa haina maana kabisa.Yaani mnafanya mapenzi kwa kujibana kisa mtoto wa miaka 6 asiyetaka kulala mwenyewe😂😂😂. Kwanza siku hizi mtoto wa mwaka tu ana chumba chake ndio miaka 6.
ni kwavile anakuwa anatafuta mahusiano kujipunguzia mzigo wa kujihudumia abakie kumpambania mtoto tuMwanamke akishakuwa na mtoto mahusiano yake mapya yanakuwa na shida sana...
Hahahaha,dahKuna jamaa yangu kampangia chumba&sebule singo mother wa watoto wawili (miaka 2&4), anasema kupata sex Ni mpaka ajipange Ela ya gesti wakati alikompagia pango kalipia miezi 6. Nae soon anakaribia kutema BUNGO[emoji23]
Kumbe kuna wanaume mnaongea sana kiasi hichi au basi...Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.
Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.
Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.
1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.
2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.
3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.
4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.
5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.
6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.
7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.
Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.
Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.
Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.
Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
busara gan itafanya kaz kama mama yakr anakingia kifua mapunguf ya mwanamke?Kwa ufupi, haukuwa tayari kuwa baba wa kambo na hukumpenda huyo mtoto ulijilazimisha. Wototo wana madhaifu mengi inahitajika busara sana kudeal nao.
usiwafanye wanawake kama wehu kwamba kila kitu mpk wanyenyekew wkt mafanikio ya mtoto ni ya yeye na baba mzaz tukinajua kucheza amapiano na singeli
[emoji2][emoji3][emoji134][emoji115]
Ndugu, inaonekana huna upendo na watoto wadogo.
Sema usemavyo, huyo ni mtoto na anahitaji malezi na maelekezo.
Pia huyo mwanamke umeshindwa kumridhisha kisaikolojia ili asione utofauti wa baba mzazi na baba mlezi wa mtoto.
Ukiweza kumpenda huyo mtoto hakika huyo mwanamke ungemgusa moyo wake na angetulia.
makosa ya mama mzazi , unajibu km vile hana akili ya malezi , kana ni jukumu la mwanaume kumjenga mtoto kitabiaKiufupi ww bado hujakua na inaonyesha hujabahatika kuwa na na mtoto wako wa kumzaa pia inaonyesha wazi kabisa unamchukia huyo dogo kitambo, Kuna baadhi ya tabia hapo umezitaja ni kawaida sana kwa watoto haijalishi ni wako wa wa kumlea imagine hizo tabia angekuwa nazo mwanao wa kumzaa ungefanya huu ujinga uliouandika hapa?