Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

Makaveli.
Roma empire haikujengwa mwaka mmoja.
Mke bora hutengenezwa.
Kutengenezana pia sio week moja.

Ampe nafasi ya kurekebishika.

Kumbuka huyo mtoto ndiye faraja prkee aliyokuwa nayo huyo mwanamke

Huwezi mtengeneza Mke wewe acha kudanganya.
Mwanamke akikupenda anakuwa vyovyote unavyotaka.
Kama hakupendi hakuna chochote utafanya
 
Kabla sijaishi na binti au Mwanamke yoyote lazima nimmnyooshe mpaka awe vile ninavyoona sasa anaweza kuwa Mke. Kisha ndipo niishi naye

Napenda Wanawake wa Kali kwa sababu wengi wanaakili alafu mbili yake ni Watu wa kanuni hivyo watakuwa na misimamo.
Uko sahihi sana....mfano huyo Mtu aliyeelezewa na mleta mada wapi aisee,,analeta mtoto Hadi unasikia kichefuchefu,huwaga siwezi kumvumilia kama ni Mtu wa karibu Huwa nakagombeza katoto kanatulia kenyeweeee
 
Ninachowapendea Wanawake wakikutana na maboya kama hivi wanapiga kikamilifu.

Sasa Baba utadili vipi na mtoto ilhali Mama tayari anamtazamo tofauti na wako?
Huyo hakuna namna,arudi kwao tu!kwanza Mtu anakulea wewe na toto lako unashindwa kumheshimu?huyo dada hajui kula na kipofu jinga kabisa
 
Wewe hakuna unaloweza hata mahari ndogo huwezi kutoa😂

Sasa kama mnaakili ya kutengeneza Wake kwa nini msitoe pesa ya kuwanunua?

Kwa hiyo wewe ulishamnunua mkeo ndio unaenda kutengeneza?😂😂

Yaani mkeo utoe milioni mbili alafu kuna Mwanamke mwingine kanunuliwa kwa milioni saba huoni hapo tayari mkeo thamani ipo chini?😂😂

Hata kufikiri hamwezi
 
Uko sahihi sana....mfano huyo Mtu aliyeelezewa na mleta mada wapi aisee,,analeta mtoto Hadi unasikia kichefuchefu,huwaga siwezi kumvumilia kama ni Mtu wa karibu Huwa nakagombeza katoto kanatulia kenyeweeee

Shida ukikagombeza unagombana na Mama yake. Na hapo ndipo utata unapozuka. Unaweza kuzushiwa maneno mabaya mtaani kuwa unaroho mbaya na hupendi watoto kumbe sivyo
 
Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.

Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.

Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.

1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.

2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.

3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.

4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.

5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.

6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.

7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.

Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.

Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.

Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.

Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole mkuu

Ati Bab ako angekuepo hai angekununulia

Kwanza niulize umeshaliona kaburi la huyo bwana ake
 
5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nlipoanza mahusiano naye sikujali kama ana mtoto nikasema nitampenda hivyo hivyo ila tu anielewe na misimamo yangu. Maana mapema nlimwambia kuwa ni changamoto sana kudate yeye ikiwa hatojielewa.

Mwezi wa 12 akaomba sana aje likizo kukaa kwangu. Nikamwambia hamna shida. Akaja na mtoto wake. Mimi huwa sina ubaya na watoto. Ila sipendi vitoto vinavyodeka na vitundu. Nimepata naye changamoto mpaka nimemwambia HATUWEZI KUENDELEA MBELE. ACHAGUE KUISHI NAMI AU KUISHI NA MTOTO WAKE.

Maana nlimpa option ampeleke kwa bibi yake mimi nitamlipia ada na mahitaji mengine. Akasema anapenda kuwa karibu na mwanaye bibi yake ni mkali kwa watoto. Nikaelewa shida ni huyu mwanamke hana akili ya kulea mtoto. Amejaliwa tu rangi, sura na umbo zuri. Akili hana.

1. Mtoto ana miaka 6 kinadeka kama cha miaka 3. Kinajikojolea mama yake anasema usipokikumbusha kwenda kukojoa kinaona uvivu kinajikojolea hapo hapo kilipo.

2. Ana makelele mtu haukai ukapumzika. Fujo muda wote kinataka kiangalie TV na kinajua kucheza amapiano na singeli. Mama yake anacheka anakapigia makofi na anataka eti tukae kukiangalia kwa huo upuuzi.

3. Mtoto anaangalia michezo ya kiswahili na ile ya kipuuzi ya Azam Tv ya kutafsiri na kinapenda ile mbaya wanakaa kuangalia na mama yake. Mimi hiyo ni kichefu chefu.

4. Mtoto hakitaki kulala mchana muda wote kina fujo na kelele na amekizoesha hadi saa tano kinakuwa hai tu sebuleni.

5. Mtoto hataki kulala room ya peke yake. Amekizoesha kikilala kimkumbatie. Anasema ndo kinapata upendo. So inabidi tulale watatu kitandani na akumbatiane na kitoto chake. Tunatiana kwa nadra sana kwa Timing. Anaamka akinyata na kuniambia nimfuate sebuleni nikapige bao chap chap nirudi tukalale kabla hakijaamka na kuanza kulia.

6. Mkitoka mkaenda sehemu analilia kila kitu kinachoona. Ukikataa kununua mama yake anasema kwa unyonge " basi mwanangu usilie angekuwepo hai baba yako angekununulia. Vumiiia baba" mara tatu namsikia anaongea hayo maneno kama kuniumiza kuwa simjali mtoto wake.

7. Mtoto ameshaharibu vitu vingi ndani na kuvunja. Mama yake anacheka tu na kusema we Ikram usifanye hivyo hapa siyo kwenu.

Kiufupi ni kuwa huyu mama napomwambia kuwa mtoto anatakiwa alale mchana, usiku alale mapema, asiangalie sana TV, sitaki ajikojolee kwenye sofa au kitanda anaona mimi simpendi mwanawe.

Juzi nimemtolea uvivu. Nimemwambia sasa inatosha waondoke arudi akakae na mama yake. Akitaka kuja kwangu asije na mtoto wake. Sitaki kero na sitaki unafiki. Siwezi jifanya nafurahia wakati si kweli. Amelia sana kuwa hakujua sipendi watoto. Nimemwambia tabia za mtoto wake sizipendi na anamlea vibaya. Akiendelea hivyo kitoto either kitakuwa kishoga or kijizi.

Amerudi kwao. Tumeshindwana. Anatuma msg kuwa naonekana mtu mzuri kumbe nina roho mbaya. Yeye atajinyonga tu aniache na roho yangu. Nimemnyanyasa.

Nikipenda Boga nipende na ua lake sijui na nini na nini. Nimemwambia hata mtoto wangu siwezi mruhusu amlee vile.
Pole Sana mkuu.

Huyo Mama ni mama mpumbavu Sana yaani anamlea mwanae kimayai Sana,angekuwa na miaka 2 to 3 angarau ningemtetea.

Ni vizuri ulivyosema achague mtoto au wewe.

Ushauri.

Wanawake wenye watoto almost wana ugonjwa wa kutomwamini mwanaume yeyote yule.Wanapenda kutia huruma wakati wao ndio wenye makosa.

Kama single mother hanamaadili mle pita kushoto si mtu wa kumuweka ndani zaidi ya siku 4.
 
Kwa Hiyo Jamaa kafa,ushaonyeshwa kaburi mkuu?Usikute huyo singo maza anajifanya mwenzake kafa kumbe yupo machimboni congo.
Sio kuoneshwa kaburi tu.

Unaweza kuonyeshwa kaburi la uongo.

Inabidi uone picha ya baba akiwa kwenye jeneza na huyo Single Maza akilia kwa uchungu.

Pia uoneshwe cheti cha kifo chenye majina kamili ya marehemu na saini ya daktari kabisa.

Kisha ndio uoe huyo Single Maza.
 
Hii mada itachangiwa na wanawake wachache sana tena wanaojielewa, wengi wao humu wana malezi ya kihindi tena hata mhindi akasome.
Nina boss wangu mmoja ana wanae hao hatari. Mtoto wa kike hajui hata kuchemsha chai au hata kufua nguo yake ya ndani hajui na anaingia Form 1 mwaka huu, wa kiume yeye ndo kabisaa yupo la nne mwaka huu lkn alikuwa hajui hata kutumia kijiko cha chakula. Njoo kwenye tabia hata siwezi elezea hapa maana ni uozo wa tabia.
Haya, hawa watoto leo mzazi uko nao lkn ya Mungu mengi kesho hautakuwa nao!, wataishije na walimwengu km huwafundishi namna njema ya kuishi na watu?., wataishi na mjomba, shangazi au hata ndg wa karibu kwa unavyoona?
Aisee, tubadilike wazazi.
 
Baba hao wa miaka ya 90s na 2000 kazi yao ni kulalamika tu, .....kama baba wa kufikia umeshindwa kusimamia au kulea huyu mtoto kama unavo penda unaishia kulalamika mitandaoni, nyie vitoto vya 2000 endeleeni na kampeini ya kukataa ndoa nyie hamna akili ya kulea ndoa, unalalamikia mtoto wa miaka sita kweli?????
Kwaio wewe mkongwe,ulitaka jamaa afanyaje avumilie hata akipakwa mavi usoni,unaweza ukawa mkongwe kwnye haya mambo na ukawa fala tu mzee
 
Sio kuoneshwa kaburi tu.

Unaweza kuonyeshwa kaburi la uongo.

Inabidi uone picha ya baba akiwa kwenye jeneza na huyo Single Maza akilia kwa uchungu.

Pia uoneshwe cheti cha kifo chenye majina kamili ya marehemu na saini ya daktari kabisa.

Kisha ndio uoe huyo Single Maza.
Katika kitu nilifanya kizuri ni kuishi na mwanangu ili mama yake awe huru .
 
Back
Top Bottom