Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

Kuna Single Mama Moja kampeleka Bwana ake ustawi wa jamii kwenda kudai matunzo ya mtoto, so baada ya kuitwa Jamaa ustawi wa jamii, jamaa kafika na mazoea yakaanza na wale Wadada wa ustawi wa jamii mwisho wa siku Jamaa akamchapa mdada Moja Mimba pale Ustawi wa Jamii....
 
Sahihi kabisa. Yaani angemshughulikia huyo jamaa mpaka aombe poo! Yaani kama Mimi ningesema mtoto ni wakwangu full stop. Alafu ningesema jamaa anaingilia ndoa yangu na nilikuwa namtafuta kitambo sana Kwa kuvuliga ndoa. Aloo! Angekiona Cha mtemakuni.
Mtoto ni wako wakati manii yaliyomtengeneza kibailojia ni sio yako ni ya huyo unayempiga bit, 😂 😂.

Unaanzaje kumvimbia mwanamme ambaye kwa miaka kadhaa aliwahi kujifunika shaka mija na mkeo, unajua waliyonuia, wakakumbatiana, wakalia pamoja, wakapita ups and downs. 😂 haha unachekesha sana. Au hujui kuna sehemu hufika mmeo akamhurumia baba mtoto wake, 😂 😂.
 
Single mama sijui Huwa Wana mdudu Gani kichwani.
Unakuta baba wa mtoto kamkataa,katokea jamaa mwingine kaumua kujivika mabomu kamuweka ndani maisha mazuri yalivyo mapumbavu unakuta anamweka tena karibu mzazi mwenza wake aliyemtenda anamdharau aliyemweka ndani kwa kisingizio cha eti masuala ya mtoto.
Then mmewe anaona hizi dharau sasa anaamua kupiga chini,akipigwa chini baba mzazi wa mtoto nae anakula Kona.
Pana wanawake wameandikiwa kuwa single mama forever.
Ukimpata mpya kwa kutendwa na WA mwanzo fukuza kabisa wa mwanzo kwenye maisha Yako.Angekupenda angekuoa,upendo gani huu baada ya kuolewa na mwingine.
 
Kosa la kwanza alilofanya dada yako ni kutomshirikisha mume wake kuanzia mwanzo Hilo ni kosa kubwa Sana alilofanya angemshirikisha tangu awali jamaa angejua apambane vipi kiume na Kama jamaa yupo vzr kiuchumi angempeleka hata nje ya TZ mtoto akaishi

Anyway pole yake
Kila jambo angepaswa amwambie mumewe hatua kwa hatua
 
Back
Top Bottom