Single mama sijui Huwa Wana mdudu Gani kichwani.
Unakuta baba wa mtoto kamkataa,katokea jamaa mwingine kaumua kujivika mabomu kamuweka ndani maisha mazuri yalivyo mapumbavu unakuta anamweka tena karibu mzazi mwenza wake aliyemtenda anamdharau aliyemweka ndani kwa kisingizio cha eti masuala ya mtoto.
Then mmewe anaona hizi dharau sasa anaamua kupiga chini,akipigwa chini baba mzazi wa mtoto nae anakula Kona.
Pana wanawake wameandikiwa kuwa single mama forever.
Ukimpata mpya kwa kutendwa na WA mwanzo fukuza kabisa wa mwanzo kwenye maisha Yako.Angekupenda angekuoa,upendo gani huu baada ya kuolewa na mwingine.