man at work
Member
- Nov 29, 2023
- 14
- 18
Niliwahi kuoa single mama kilichonipata ni very sad story ndio napona pona saiv , inshallah namshukuru Mungu sana amenipa mfariji soon naoa tena ,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hauna mtoto kwanin unajiita single motherMie sina watoto au mtoto
Muongo wewe, povu la single maza linajulikana tu.Mimi sina mtoto wa ukoo na nikiolewa nitapata wa ukoo wewe nafuu unawandoa
Sina mudi ya kuchart na mzeeMuongo wewe, povu la single maza linajulikana tu.
Wewe ni single maza unajifariji tu hapa, usipotoshe wenzako. Single maza ni laana na aibu kwenye familia hata wazazi na ndugu zako hawawezi kufurahia hicho kitu.Sina mudi ya kuchart na mzee
VIchaa wengi sana humu na kiongozi ni weweWewe ni single maza unajifariji tu hapa, usipotoshe wenzako. Single maza ni laana na aibu kwenye familia hata wazazi na ndugu zako hawawezi kufurahia hicho kitu.
Sisi tunawapenda Sana sema wengi wenu viburi!!Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.
Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .
Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .
MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .
Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Haimanishi ukiwa single mother kwamba haujawahi kutoa mimba la hasha na pia sio kila mwanamke ambaye sio single mother kwamba ameshawahi kutoa mimbaAmeonyesha kuwa na uzoefu na malezi.
Roja anakijambio😂 😂 😂
😂 😂 😂VIchaa wengi sana humu na kiongozi ni wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa umri wangu binti wa rika langu akinambia Sina mtoto napata wasi wasi ila akinambia anae naamini haraka
Tutajuaje kama umetokea malezi ya hovyo bila kutuambia. Matokeo yake ndio kauli kama hizi. Ndoa zina wenyewe.Kuolewa sio taji, umewahi kusikia single mother waliondani ya ndoa? Kila kitu wewe. Utatamani ulee tu peke yako ujue moja[emoji2088][emoji3591][emoji2088][emoji3591][emoji2088][emoji3591]