Single mothers hawajali maneno yenu

Single mothers hawajali maneno yenu

Niliwahi kuoa single mama kilichonipata ni very sad story ndio napona pona saiv , inshallah namshukuru Mungu sana amenipa mfariji soon naoa tena ,
 
Mh mbn kama kuna watu mnaviziana km konokono humu jmn (kono kono hawana jinsia1 wanazo 2 hivyo ni kuviziana atakaemuwahi mwenzake
 
Mleta mada relax watu wanauzoefu nao ila sio wote wabaya,yaani ktk single mother 1000 , mmoja tuu ndio wife material , hao wengine ni wafanyabishara wa uchi waliopata faida zao , na bado tunawaungisha tuu hatuna roho mbaya , ila idadi yao inatisha kwa sasa jmn naandaa uzi wao nikipata mda niwafundishe kudeal na hii hali ,
 
Unajua hata kama huoni kuwa masingle mothers wanafaida basi. Ila wao kwako wanafaida nyingi.

Kuzaa nakupata mtoto ni hazina ya mbeleni na sasa . Kuitwa mama fulani ni raha sana . Mwanamke mbwahuyu hafai kazaa njee ,ila yeye anafuraha anawatoto na wanampa kampani akija home .

Mtoto wake anampa kampani hadi azeeke . Wewe unaye mdhihaki huna wakukupa kampani uko kama mwehu ndani kwako unakandia wamama ambao wao wanakampani, raha zakuona watoto wao wamekuwa , na wananamsaidia mama yao. Shughuli za ndani .

MAisha yao ni yanasonga hadi mama anaozea mwanae na anapata wajukuu. Umeona so maneno ya wanaume nao sema wanawake masingle mama kuwa ni wehu sio wehu. Wanahazina endeeleni kutelekeza wana wenu na kuoa mama mazao wakambo . .

Wao wanakuwa wanasoma wanaendea mbele. Kama CCM
Sisi tunawapenda Sana sema wengi wenu viburi!!

Halafu conscious sana kana kwamba mnajishuku haraka Ili muonekane hamna shida ya kuolewa kumbe wahitaji!
 
Mtoa mada naona yupo emotional disturbed naona huku kageuza sehemu yakutema sumu zake.
 
Kuolewa sio taji, umewahi kusikia single mother waliondani ya ndoa? Kila kitu wewe. Utatamani ulee tu peke yako ujue moja[emoji2088]‍[emoji3591][emoji2088]‍[emoji3591][emoji2088]‍[emoji3591]
Tutajuaje kama umetokea malezi ya hovyo bila kutuambia. Matokeo yake ndio kauli kama hizi. Ndoa zina wenyewe.
 
Back
Top Bottom