Dunia ya sasa ukizingua wale wanaume ninaowajua uyo mtoto au ata nawewe ikibid mnageuzwa fuso au duka la simu.Chunga sana.Kabisa nawaza me ndiyo single mother halafu mwanaume alete ujinga sijui nimetegesha nadhani vituo vya sheria vingekuwa ni sehemu ya maisha yake ... ningehakikisha anajutia hiyo siku aliyolala na me.. dawa ya moto ni moto
Me sipo huko ila muache kunyanyasa hao dada zenu .. dushe sI lazima muhimu pesaHuhitaji dushe?acha kudanganya,ulizaa nae vip kama huhitaji dushe?wewe utakua ni m1 kati ya waliozaa bila ndoa na kugeuza mtoto kama kigezo,uzae usiolewe afu uje utuambie eti huhitaji dushe ni uongo wa kiwango cha juu,na huwaga mna maneno kama mmemeza cd ya taarabu ila mnajua wapi mlipokosea
Hawez vidonge maana lengo lake linakuwa kubambikiaSio vidonge?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hy pichu imeloa n'kojo, samahani miss ckujua utachii!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yani mpaka nimejikojolea uwiii.. kwa hiyo mkuu we una mke ukapiga ugenini kavu nipe namba ya huyo binti nimfundishe namna ya kuishi na wewe Bila ya mkeo kujua .. .. ila tu hakikisha unaongeza vitega uchumi
Taasisi ya kuwasemea tena? Si hawa hawa wanazaa na waume za watu sasa Wanalalama nini?Napendekeza serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara husika iunde hata chama maalum kwa ajili ya hawa single mothers kama ilivyo CWT kwa walimu nk. maana wanazidi kuongezeka inabidi wapate taasisi maalumu ya kuwasemea
Namna wanavyoongezeka kwa kasi nahisi miaka kama 10 ijayo watakuwa wengi zaidi na watatakiwa kuwa handled kama special group hivyo ni vyema wizara inayoshughulika na maendeleo/ustawi wa jamii ikaanza kujipanga mapemaTaasisi ya kuwasemea tena? Si hawa hawa wanazaa na waume za watu sasa Wanalalama nini?
Umenikumbusha Bible mwanzo 3;12.binafsi nilishatoka hapo huwa sibebeshi mtu mzingo wa ujinga wangu nawashauri muache pia by any means ulichangia hiyo mimba kupatikana.si vema kumlaani mwenzio as if hukujua unafanya nini.Ubinafsi wa wanaume Kama ulivyouonesha hapa Ndio Tatizo linalotuletea jamii yenye watoto wakatili na tabia nyingine Za ajabu Kwa kukosa Malezi yaliyotimia. Wengine Hata mna familia Bado hamjali maradhi Eti hutumii kondom mpk mwanamke aseme mnajiua wenyewe na mnaua Wengine na kuacha watoto wasio na muelekeo.
Be a man, be responsible .
Ndo maana Wengine wanahangaika hawafanikiwi, na laana zinachangia Kwa kukataliwa na baba zao na Wengine wenyewe kukataa watoto wao.
Duh! Bora niachane na wazo la kuwa single mumYou need an iron chest kuwa single mama
mkuu wengine mnaongea kabisa kuwa si muda muafaka kuwa na mtoto lakini anaamua yeye halafu utaisikilizia shughuli yake ninao mfano kwa mtu wa karibu sana.The Boss mkuu katika hii dunia tuliyoko kwanza kuna magonjwa mengi yasiyotibika, kuna HIV, herpes ect, kinga bora kwa magonjwa haya ni condom. Mpaka umefikia kuwa kwenye mahusiano ambayo mnaplay safe sex inamaana mmeshaaminiana na mwenza either mmepima, wote mmerithia mmko salama au liwalo na liwe.
Sasa inapotokea liwalo na liwe utalaumu vipi ulitegeshewa mtoto? Sasa hivi kuna morning after pills ambazo zinauwezo wa kuharibu mbegu katika muda wa masaa 72 baada ya sex.
mkuu na hapa ndiyo kwenye tatizo wa hii mitego.Steve Bing ni mMarekani mfanyabiashara tajiri, alijidai yeye ni senior Batchelor, alimdate actress mwingereza Elizabeth Hurley, walikwenda for a week break kwenye romantic place, Liz alijua kabisa yuko kwenye danger days, baada ya romance za wiki, mimba ilikamata, Steve alipinga sana kuwa mimba si yake, Liz alimdanganya kuwa yuko kwenye pills, baada ya siku aibu imemkuta DNA test imeprove mtoto ni wake.
Kutokana na pesa ya jamaa, Liz na mtoto wanavuta £1million kwa mwaka kama child support kutoka kwa Steve na Damiani ni mtoto pekee wa Steve Bing mpaka sasa hivi na ndiye mrithi wa mali zote za baba yake.
Msituone ni wajinga tukiona opportunity tunazitumia pia.
tatizo wanaume wanasema tuzae ila ukishabeba mimba wanakuja kugeukaHuo ndio ujinga wao ..lkn sio km hawajui danger days..mtu umesoma mpk chuo kikuu unashindwa kujua danger days?? simpo biology hiyo..mpk wamamawa mtaani wanajua...
labda kuna wale amabao mzunguko wao hauko sawa ndio tunaweza tusiwalaumu...
Lkn kuna pipo kbs nazijua..eti nnatamani mtt ngoja nitafute mtu nibebe mmh
mkuu na hapa ndiyo kwenye tatizo wa hii mitego especially mwanaume akiwa ni middle or lower income earner.
Kabla kichwa cha chini hakijaanza kufanya kazi ufikirie kwanza mkuu.mkuu na hapa ndiyo kwenye tatizo wa hii mitego.
Wewe kama mwanaume, unajua kabisa kama si muda muafaka vaa condom, usiamini kabisa kuambiwa niko kwenye pills sijui safe days, take control of it yourself.mkuu wengine mnaongea kabisa kuwa si muda muafaka kuwa na mtoto lakini anaamua yeye halafu utaisikilizia shughuli yake ninao mfano kwa mtu wa karibu sana.
ni sahihi lakini kila kitu ni makubaliano between the couple ila mmoja akifanya ubinafsi inaweza haribu future though you're right.Kabla kichwa cha chini hakijaanza kufanya kazi ufikirie kwanza mkuu.
Mkuu moyo wa binadamu ni kichaka, wewe unaweza kuwa na plans nyingine na mwenzako ana plans nyingine za maisha yake lakini kwa gharama ya maisha yako.ni sahihi lakini kila kitu ni makubaliano between the couple ila mmoja akifanya ubinafsi inaweza haribu future though you're right.
ni kweli ila usaliti si kutoka nje tu bali hata kuvunja makubaliano pia ni usaliti ambao athari zake mkuu the boss amezieleza pale juu.Wewe kama mwanaume, unajua kabisa kama si muda muafaka vaa condom, usiamini kabisa kuambiwa niko kwenye pills sijui safe days, take control of it yourself.
Wenzako nao walisema ivo ivo.Kuchagua ni muhimu, siwezi kuolewa na MTU tu just becoz I need to get married...I need MTU ntayempenda...masuala ya ilimradi haya yanakuaga na kasumba za aina yake
sasa hapo ndipo the mwenye busara atawajibika na asiye na busara liwalo na liwe.Mkuu moyo wa binadamu ni kichaka, wewe unaweza kuwa na plans nyingine na mwenzako ana plans nyingine za maisha yake lakini kwa gharama ya maisha yako.