Mkuu kama si mke wako wa ndoa itakuwaje ujiachie mpaka, kwanza mtoto anaweza asiwe wa kwako huoni kama unarisk sana kufanya unprotected sex kwa partner/girlfriend?ni kweli ila usaliti si kutoka nje tu bali hata kuvunja makubaliano pia ni usaliti ambao athari zake mkuu the boss amezieleza pale juu.
nina cases mbili za moja wanandoa na wasio wanandoa ila kwa sababu fulani siwezi ziweka hapa ila inaharibu vitu vingi ikiwemo kuvunja hata ujamaa wa watu kwa ajili ya usalit/kuvunja makubaliano.Mkuu kama si mke wako wa ndoa itakuwaje ujiachie mpaka, kwanza mtoto anaweza asiwe wa kwako huoni kama unarisk sana kufanya unprotected sex kwa partner/girlfriend?
Kwa wanandoa sielewi tatizo linakuwa wapi, all in all men are responsible for their actions as well as women.nina cases mbili za moja wanandoa na wasio wanandoa ila kwa sababu fulani siwezi ziweka hapa ila inaharibu vitu vingi ikiwemo kuvunja hata ujamaa wa watu kwa ajili ya usalit/kuvunja makubaliano.
Nice girl/woman, hv unajua kabisa leo noma halafu naomba gemu unanipa tena kavu wala hunambii kama Uko danger days aise sihitaji mtoto ambaye hutujamjadili b4 naomba uwaelimishe na wenzio ,Mungu atakusaidiaKwa kifupi ni..sisi wanawake ukiamua kutopata mimba inawezekana..uko danger days hakuna condom basi sex asahau....tatizo tunawaendekeza..eti unaogopa ukimwambia ukweli atanuna...mwache anune usalama wako kwanza...km anakupenda ataheshim mawazo...lkn tukijitegesha na kuwaendekeza matokeo ndio haya ss masimango
responsibility aliyonayo mwanaume in such circumstance ni malez ya mtoto tu.hzo habar za ndoa c za lazima.
soo ikitokea kagoma kutumia ndom m ntakula mzigo ikitokea mimba nitalea mtoto over.
unajua twaweza bisha ila ndo ukweli wenyewe. hvi vitu vimeshamiri sana na shida ni manyanyaso ya ndoa zenyewe.Wapo wengi nowadays anaamua hataki kuolewa
anazaa tu na mtu but hataki ndoa
tembea uone
na wapo ambao anazaa na mtu kwa uamuzi wake tu binafsi
bila kumshirikisha anaetaka kuzaa nae
Warning yako umeitoa too lateWanawake wenzangu jamani tuwe makini na hawa viumbe, its about time sisi ndio tuishi nao kwa akili maana hali sio hali tena. Mwanaume sio ndugu yako,just through hizi threds unapata picha ya ni aina gani ya wanaume tunaodeal nao so akili kumkichwa, zaa kwakuwa umeamua na una uwezo wa kumlea huyo mtoto, huyo sperm donor mpotezee tu, akiona bora amlee mwanae its okey.
Ila kabla ya kuchukua maamuzi hayo pia basi utafakari pia kuhusu huyo mtoto atakaezaliwa ni aina gani ya maisha unataka aishi,ist worth it?
Yaani mngejua hivyo vidonge vinavyokuja kuwatesa hao wanawake baadae mngeacha kuwalisha watoto wa wenzenu, mngejua sindano sinavyosumbua baadae nadhani msingeongea chochote humu, nini vijiti ukija kuvitoa unaweza kubleed mwaka mzima, mngejua mateso yanayowapata wenzenu mngeacha kelele humu, hata condom pia zinatesa, zimawasha, zinachubua and all that.... kwakuwa hayawapati nyie wanaume ndio maana mna guts zakusema jukumu lakupanga uzazi ni la KE pekeake.
Kwangu mi the safe way ni kumwaga nje, au kusubiri safe days, haya huyo mwanaume wakumwaga nje yuko wapi? To hell with me heh, huyo mwanaume wakusubiri safe days yuko wapi? Thubutu, si ndio nyie mkinyimwa mnanunaaa na mnaenda kuchepuka? Na mkipewa mkijaza mimba mnakimbia eti hatukupanga, haha mi nafikiri kuwa mwanamke ni shida kuliko shida zenyewe.
hahahahaaaaaa walikufanyia hivyo mkuu weweNa wote wanadai waliahidiwa matunzo au ndoa
wakati wengi tu huamua wenyewe
Too late kwakuwa wanawake wameisha na hawazaliwi tena??? Au kwakuwa wanawake woooote tushakuwa single moms?Warning yako umeitoa too late
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi wanaamua kuzaa tu....hasa umri fulani ukifika na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika.... tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Tunaendelea kuongeza singo maza tuToo late kwakuwa wanawake wameisha na hawazaliwi tena??? Au kwakuwa wanawake woooote tushakuwa single moms?
Na wote wanadai waliahidiwa matunzo au ndoa
wakati wengi tu huamua wenyewe
KABISA ETI, HII NI ANOTHER VULNERABLE GROUP IMEONGEZEKA KWENYE SOCIETY AND WE NEED TO PLAN AROUND IT JUST LIKE OTHER GROUPS OF, WIDOW/ERS, ORPHANS, DISABLED, etc.Napendekeza serikali ya awamu ya tano kupitia Wizara husika iunde hata chama maalum kwa ajili ya hawa single mothers kama ilivyo CWT kwa walimu nk. maana wanazidi kuongezeka inabidi wapate taasisi maalumu ya kuwasemea