Single mothers na vilio vya kushangaza

Naona kubishana na wewe ntapoteza muda
kumbe nikianzisha thread lazima niwe nahusika binafsi?
akili ndogo hizo

humu naanzisha thread kutetea waandishi wa habari..kwani mimi mwandishi habari?

Wewe wanawake walio support umewasoma na kuwaelewa?
Uko sahihi The Boss. Ulichoongelea ni wale walalamishi ambao walizaa makusudi na baadae kulalamikia wanaume. Huenda huyu mama ni mmoja wapo.
 
Hahaha
 
Naam
 
Mmmh
 
Yani sababu zote zilizotajwa hapo za mimi kuwa single mom hazipo. Second embu niache nipumue basi. Naona hasira za kusumbuliwa na baby mama wako unataka kunimalizia mimi. Mtafute mmalizane usinitolee mimi machungu yako sawa kaka cjui baba?
🤣🤣🤣
 
Mmh pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…