I hate mwanaume anaemwambia gal wake anywe vidonge ili Ku prevent pregnancy coz its obvious hana future nae na anacheza na kizazi cha mwenzie....hayo madawa yanayoenda kwenye kizazi sio mazuri kabisa...especially Kwa mabinti ambao hawajazaa kabisaSio vidonge?
Hii inatokea pale unapoona umri umeenda na akuna anayeonesha interest ya kukuoa, so its beta ujizalie kabla monopause haijafikaWapo wengi nowadays anaamua hataki kuolewa
anazaa tu na mtu but hataki ndoa
tembea uone
na wapo ambao anazaa na mtu kwa uamuzi wake tu binafsi
bila kumshirikisha anaetaka kuzaa nae
Its natural mtoto Wa kike akifika miaka 25 hujikuta akiitaji mwenza.so mhemko Wa ndoa kuanzia umri huo in lazimaInabidi ifike kipindi jamii yetu iondoe dhana mbovu iliyojengeka mwanamke asipoolewa anakuwa na tatizo fulani nadhani inaweza kupunguza mihemko ya ndoa kwa dada zetu na inaweza kusaidia kupunguza tatizo hili.
Kuchagua ni muhimu, siwezi kuolewa na MTU tu just becoz I need to get married...I need MTU ntayempenda...masuala ya ilimradi haya yanakuaga na kasumba za aina yakeHili lina ukweli
But usisahau hata hao single moms wengine wanachagua sana pia wachumba
na sio kwamba wote hawapati wachumba
na single mama wengine wako single by choice na still wanalia kama wanaonewa..
kuolewa hawataki....
Walked away, the chick was crazy!! But i still feel for the kid, he ended up having some crazy parents!! Crazy mom n a junk dad,poor kid
Yeah man, the kid will be ayeeWell, and it's often them crazy ones with good poosay to cloud your judgement man. So tough being a man.
Hope the kid will grow up all right.
Mkuu kama unadate kanyaga twende ni watu wa aina flani either ni wanafunzi au naïve, kwa uelewa wako kama umeamua kwenda huko ni kheri ifanye health promotion.Tatizo kubwa la wanawake hampendi kutumia kinga, na wengi hata danger days hawazijui, wao kanyaga twende tu
Kwa hiyo sky makapuku kama sisi ndo mnatuambia tuvae condom mbili mbili kabisa?Steve Bing ni mMarekani mfanyabiashara tajiri, alijidai yeye ni senior Batchelor, alimdate actress mwingereza Elizabeth Hurley, walikwenda for a week break kwenye romantic place, Liz alijua kabisa yuko kwenye danger days, baada ya romance za wiki, mimba ilikamata, Steve alipinga sana kuwa mimba si yake, Liz alimdanganya kuwa yuko kwenye pills, baada ya siku aibu imemkuta DNA test imeprove mtoto ni wake.
Kutokana na pesa ya jamaa, Liz na mtoto wanavuta £1million pound kwa mwaka kama child support kutoka kwa Steve na Damiani ni mtoto pekee wa Steve Bing mpaka sasa hivi na ndiye mrithi wa mali zote za baba yake.
Msituone ni wajinga tukiona opportunity tunazitumia pia.
umeona wapi mkono mtupu unalabwa mkuu?Kwa hiyo sky makapuku kama sisi ndo mnatuambia tuvae condom mbili mbili kabisa?
Mkuu kanyaga twende ndo hawa hawa Dada zetu graduatesMkuu kama unadate kanyaga twende ni watu wa aina flani either ni wanafunzi au naïve, kwa uelewa wako kama umeamua kwenda huko ni kheri ifanye health promotion.
Basi fanya health promotion since you seems to better.Mkuu kanyaga twende ndo hawa hawa Dada zetu graduates
Loving your honesty, skyumeona wapi mkono mtupu unalabwa mkuu?
Hili linaukwel sanaa mm yamenikuta na ni kama hiii story umeitoa kichwan mwanguTuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...
Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke
Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..
Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment
Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...
Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Did you miss the part where I cleared declared to be the 'pull out method' king???Basi fanya health promotion since you seems to better.
Hapa mwanaume wa kulia lia ni yule alobakwa maybe kwakuwekewa madawa, ila hawa sperm donors wawe tu responsible kwakweli.The Boss man... unajuaje kuwa wanaolia lia hapa waliamua kujibebesha mimba? Mmejuaje makubaliano yao na waliokuwa wanaume zao, Kwani mnapovua nguo wote wawili, mwanaume hutumii CO, hujui kama mwanamke wako anatumia sindano au vidonge au njia yoyote yakupanga uzazi, hujui kama yuko on safe days au lah yet unamwaga ndani unategemea nini? Jukumu la kupanga kuzaa mbona mnalifanya kama la KE pekeao? Kama sivyo iweje likitokea lakutokea alaumiwe KE pekeake? Mi nashangaa kwanini wanaume mnajivua kabisa katika mess mliyoicreate kwa pamoja.
Wacha weeeeh!! Wanawake hawapendi kutumia kinga damn!!!!Tatizo kubwa la wanawake hampendi kutumia kinga, na wengi hata danger days hawazijui, wao kanyaga twende tu
Jukumu la kupanga kuzaa, kabla ya ndoa ni la mwanamke peke yake, why..coz you have no ties with him. Hamjafungamanishwa kwa lolote, zile ni tamaa za ngono tu zinawafanya mkutane kimwili...The Boss man... unajuaje kuwa wanaolia lia hapa waliamua kujibebesha mimba? Mmejuaje makubaliano yao na waliokuwa wanaume zao, Kwani mnapovua nguo wote wawili, mwanaume hutumii CO, hujui kama mwanamke wako anatumia sindano au vidonge au njia yoyote yakupanga uzazi, hujui kama yuko on safe days au lah yet unamwaga ndani unategemea nini? Jukumu la kupanga kuzaa mbona mnalifanya kama la KE pekeao? Kama sivyo iweje likitokea lakutokea alaumiwe KE pekeake? Mi nashangaa kwanini wanaume mnajivua kabisa katika mess mliyoicreate kwa pamoja.
Ubinafsi wa wanaume Kama ulivyouonesha hapa Ndio Tatizo linalotuletea jamii yenye watoto wakatili na tabia nyingine Za ajabu Kwa kukosa Malezi yaliyotimia. Wengine Hata mna familia Bado hamjali maradhi Eti hutumii kondom mpk mwanamke aseme mnajiua wenyewe na mnaua Wengine na kuacha watoto wasio na muelekeo.So long hatubebi mimba,ukijiachia napiga kavukavu tu.kwani nakubaka si umetaka mwenyewe bana.Kuweni makini jamani uchungu unaumiza sana kama hujui pitia dirisha la leba afu jamaa yuko mtaa mwingine anaharibu hata chai haleti sasa taabu yote ya nini?