Single mothers na vilio vya kushangaza

Single mothers na vilio vya kushangaza

I hate mwanaume anaemwambia gal wake anywe vidonge ili Ku prevent pregnancy coz its obvious hana future nae na anacheza na kizazi cha mwenzie....hayo madawa yanayoenda kwenye kizazi sio mazuri kabisa...especially Kwa mabinti ambao hawajazaa kabisa
Akina The Boss wanajua kizazi kikishaharibika he has nothing to luz, atakwenda kwa mwingine ambae iko vizuri.
 
Its natural mtoto Wa kike akifika miaka 25 hujikuta akiitaji mwenza.so mhemko Wa ndoa kuanzia umri huo in lazima
Ni kawaida mkuu hilo linafahamika ila kuna presha kubwa inayotoka kwenye jamii yetu kwamba itamuona mtu wa tofauti pindi umri wa kuolewa ukifika na akawa hajaolewa kama wenzake.
 
Steve Bing ni mMarekani mfanyabiashara tajiri, alijidai yeye ni senior Batchelor, alimdate actress mwingereza Elizabeth Hurley, walikwenda for a week break kwenye romantic place, Liz alijua kabisa yuko kwenye danger days, baada ya romance za wiki, mimba ilikamata, Steve alipinga sana kuwa mimba si yake, Liz alimdanganya kuwa yuko kwenye pills, baada ya siku aibu imemkuta DNA test imeprove mtoto ni wake.

Kutokana na pesa ya jamaa, Liz na mtoto wanavuta £1million kwa mwaka kama child support kutoka kwa Steve na Damiani ni mtoto pekee wa Steve Bing mpaka sasa hivi na ndiye mrithi wa mali zote za baba yake.

Msituone ni wajinga tukiona opportunity tunazitumia pia.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Skuzote nasema hakuna mimba ya bahat mbaya kana mwanamke yuko over 20

Wakat yuko danger day anajua kabsa hapa staliwi kufanya chochote

Na wakat akiwa free anajua hapa
Naweza fanya nnavotaka hata akikutana nao 100 hakiaribik kitu maana n starehe

Sasa mnavosema mimba n za
Bahat mbaya cjui mnamaanisha nn

Makosa yote hufanywa na wanawake wenyw kuzaa wanataka wenyw
Hamkushikwa lazma mkawekewa hzo mimba

Kama hawa single mother wapo kama utitiri huku mtaan

Makosa yao wnyw af kuja kutulaumu wanaune

Unaandaa shamba wakat wa mvua af unasubir mkulima aje kupanda na mvua inanyesha
Unategemea hzo megu ziozee
Sahauuu

Lazma uvune ulichopanda
Kumbe unajua kuwa ukipanda lazima uvune, then its good. Vuneni tuu na muache kutupia makelele.

Tena inabidi sheria ziimarishwe kama nchi za wenzetu ili na akili ziwakae vizuri.
 
Sasa same mada kila siku mwisho zinaonekana hazina maana tena.
Bora hata mods wangeziunganisha zooote ijulikane moja maana hakuna jipya kila siku ni yale yale tuuu.

Na ndio watu washagundua ndio mada zinazoibukaga na comments nyingi.
Zifutwe tu, waacheni wanawake wanaojilelea watoto wao wapumzike
 
Sometimes inaudhi sana!

Kumpa mwanamke mimba siyo kigezo cha mwanaume kumuoa,ila sasa wao wakiishaipata hiyo mimba wanalazimisha kuolewa.Sidhani kama ni sahihi.
 
Jukumu la kupanga kuzaa, kabla ya ndoa ni la mwanamke peke yake, why..coz you have no ties with him. Hamjafungamanishwa kwa lolote, zile ni tamaa za ngono tu zinawafanya mkutane kimwili...

Uzazi unapangwa na watu wawili walioko kwenye ndoa.
Hata mapenzi yanatakiwa kufanywa na watu wawili walioko kwenye ndoa, since tumeivunja hii sheria unaonaje tukiivunja na sheria ya pili uliyoisema hapo juu japo sijajua ni sheria ya wapi.
 
Sometimes inaudhi sana!

Kumpa mwanamke mimba siyo kigezo cha mwanaume kumuoa,ila sasa wao wakiishaipata hiyo mimba wanalazimisha kuolewa.Sidhani kama ni sahihi.
 
Jukumu la kupanga kuzaa, kabla ya ndoa ni la mwanamke peke yake, why..coz you have no ties with him. Hamjafungamanishwa kwa lolote, zile ni tamaa za ngono tu zinawafanya mkutane kimwili...

Uzazi unapangwa na watu wawili walioko kwenye ndoa.
Wacha we!!
Si huwa mnakojoa maji, basi hamna shida.
 
Kuna single mother nampenda yaani sijapata kujua, tangu tupo chuo mwaka wa pili hadi tumemaliza hataki kunielewa. Nyie acheni tu... Ila kuna siku itakua tu kama ninavyotaka.
 
Mkuu at least ata hizi Mada zina mashiko kuliko nusu za mada za hili jukwaa
Sasa same mada kila siku mwisho zinaonekana hazina maana tena.
Bora hata mods wangeziunganisha zooote ijulikane moja maana hakuna jipya kila siku ni yale yale tuuu.

Na ndio watu washagundua ndio mada zinazoibukaga na comments nyingi.
 
Wanaume wenyewe hawa wala chips mayai, akimaliza kuvaa condom kila kitu kiko break, mpaka aamke mwisho anasema ngoja tujaribu bila condom. Kesho na keshokutwa ukimtumia message hujaona siku zako ndiyo uadui unapoanza.
 
wadada mnaruhusu kupigwa kavu mkipata mimba mnaforce kuolewa.hyo kitu haipo bcz sifa ya mke syo kupata mimba na kuzaa tu.
Hivi inafosiwa vipi kumuoa mtu ambae hauna malengo nae??
Kurahisisha hiyo basi hakikisheni kila mahusiano mtakayokuwa nayo ni yale yenye malengo, lasivyo kaa kitulize.
 
Tuseme tu ukweli kuna wadada wengi au wamama siku hizi
wanaamua kuzaa tu.....hasa umri fulani ukifika
na wengine wanaamua kuzaa kabla hata wa kuzaa nae hajatokea...

Sasa kimbembe kinaanza anaposhika mimba....au akishazaa
na mtu ambae si ajabu hakuwa na mipango ya kuzaa na huyo mwanamke

Wadada wengine wanaamua kutumia mimba kulazimisha commitment
au ndoa......Asipopata hiyo ndoa au hiyo commitment ni kumlaani huyo
mwanaume na kutumia mimba au mtoto kama njia ya kumkomesha huyo mwanaume..

Siku hizi unakuta vilio vya wadada kuwa 'wanaume hivi na wanaume vile'
lakini ukweli sio wote walidanganywa wataolewa au waliahidiwa commitment

Wengine kupata mimba na kuzaa ilikuwa ni mipango yao binafsi..lakini wakishazaa
wanaanza kubadili maneno...utasema waliahidiwa kweli kuolewa
au waliahidiwa matunzo ya mtoto in the first place kabla hawajashika mimba...

Ni busara kwa kila mwanaume kushiriki matunzo ya mimba inayomhusu
na matunzo ya mtoto wake......lakini wote tunajua busara sio kila mtu anayo
na wadada wanaojichukulia maamuzi binafsi ya kuzaa ni busara pia wakaacha
kulialia.....kama vile maamuzi hayo yalikuwa ya watu wawili
na wengine husingizia kwa ndugu kuwa waliahidiwa ndoa...kumbe
ni maamuzi yake binafsi kuzaa.......dunia imebadilika....
tupunguze lawama tukabili changamoto za maamuzi yetu...
Kuna lililokukuta kaka, kilio hiki si cha bure, jambo la busara ni kutunza mwanao tu naamini na wewe unayajua madhara ya kutembea pekupeku. Wajibu wa kujikinga ni wa wote wawili, usianze kumlaumu mwenzio kwa sababu hakujinaniliu peke yake
 
Back
Top Bottom