Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Mimba ya bahati mbaya ni ulobakwa tu.tunapiga kavu bcz first of all majority of them awafurahii ndom.
Then swala kama hili ni sawa na kulala mlango waz af ukidamka asubuh unalaumu kwann umeibiwa.
huwez kumbebesha mtu majukumu ya ndoa kutokana na mimba ya bahat mbaya or mimba uliotegeshea.
Kama hataki ndom then vaa boksa yako sepa maana hutaki kulala mlango wazi ukaibiwa.