Single mothers nawaibia siri nyingine

Single mothers nawaibia siri nyingine

Nina jamaa yangu tunafanya nae shughuli pamoja na rafiki wa karibu, mwaka juzi alikutana na binti mmoja wakawa wameingia kwenye uhusiano na binti akamwambia yeye ni single mother alipata mtoto alipokuwa chuo na walishaachana na baba wa mtoto hata mawasiliano hawana kabisa, jamaa akawa anahudumia binti na mtoto (alimpeleka mtoto shule ya kulipia).

Mwaka huu kijana akaenda kwao binti kujitambulisha na akatutuma (mimi na babaake mdogo) tukaenda kwao kupanga mahari na tarehe ya harusi na ilikuwa mahari itolewe mwishoni mwa mwezi huu na harusi mwezi wa 10.
Juzi jamaa alimpigia simu mke mtarajiwa akawa hapokei akaamua kwenda kwao binti kujua kimemsibu nini?

Kwao wakasema hawajui ameenda wapi ameondoka na begi na mtoto, jioni kabisa binti akamtumia meseji jamaa kuwa asimtafute ameamua kwenda kwa mzazi mwenzie hataki watoto wake wawe na baba tofauti.

Kwa kweli jamaa amechanganyikiwa hata kazini haendi tena anashinda ndani anakunywa pombe, single mother sio wa kuwaamini kabisa.
 
Nina jamaa yangu tunafanya nae shughuli pamoja na rafiki wa karibu, mwaka juzi alikutana na binti mmoja wakawa wameingia kwenye uhusiano na binti akamwambia yeye ni single mother alipata mtoto alipokuwa chuo na walishaachana na baba wa mtoto hata mawasiliano hawana kabisa, jamaa akawa anahudumia binti na mtoto (alimpeleka mtoto shule ya kulipia).
Mwaka huu kijana akaenda kwao binti kujitambulisha na akatutuma (mimi na babaake mdogo) tukaenda kwao kupanga mahari na tarehe ya harusi na ilikuwa mahari itolewe mwishoni mwa mwezi huu na harusi mwezi wa 10.
Juzi jamaa alimpigia simu mke mtarajiwa akawa hapokei akaamua kwenda kwao binti kujua kimemsibu nini? kwao wakasema hawajui ameenda wapi ameondoka na begi na mtoto, jioni kabisa binti akamtumia meseji jamaa kuwa asimtafute ameamua kwenda kwa mzazi mwenzie hataki watoto wake wawe na baba tofauti.
Kwa kweli jamaa amechanganyikiwa hata kazini haendi tena anashinda ndani anakunywa pombe, single mother sio wa kuwaamini kabisa.
Kama hii habari yako ni ya kweli nakuomba umwambie rafiki yako amshukuru Mungu sana maana huyo mwanamke angeweza kuolewa na rafiki yako halafu akaendelea kuzaa na mzazi mwenzie. Hapo si ndo jamaa angejinyonga kabisa. Mwambie Aache ujinga wa kutokwenda kazini na kunywa mapombe.
 
Nina jamaa angu kafanikiwa baada ya kumuoa single mother mwenye akili. Let's draw conclusions by just one good/bad apple.
 
Kwa alosoma uzi huu mwanamke sijui kama ataendelea kutegesha mimba au kuwa mzembe
Bila kuchukua tahadhari.
 
Kwa alosoma uzi huu mwanamke sijui kama ataendelea kutegesha mimba au kuwa mzembe
Bila kuchukua tahadhari.
Mkuu Ni kweli hata kwa mwanaume tuu kufanya ngono ( Uzinzi) na mtu asiyekuhusu Kuna mimba na magojwa Sasa Kama mtu hayupo care kwa hili, huyo ajitambui kabisa.
 
Tatizo unapotuliza akili nako chini kunataka kusuguliwa.Afu asilimia kubwa wengi kuzaa ndo kulitusaidia tujue hata ina ladha gani...before ilikuwa ni maliza nivae kiwalo
Weee kumbe ukizaa ndio radha inaanza kupatikana
 
Changamoto za kuoa single mother ni nyingi zaidi kuliko kuoa ambaye sio single mother.

Labda upate mwanamke anayejitambua Jambo ambalo ni ngumu, 90% ya single mother hawajitambui,
Yap kwa kawaida watu wakishazaa kuondoa mawasiliano kabisa na kuacha uhusiano Ni ngumu mno, anaweza akamuhitaji mtoto amuone anajua hawezi kwenda pekeake ataenda nae. Na nirahisi kupasha kipolo. Wachache Sana wanaweza wakawa sio hivyo.

Afu single mother wengi wanakuwa wanajali Sana mtoto wake na sio uliyezaa nae coz anajua kwako anaweza asipate KITU chochote hasa ulisi, anaweza KUMUANDALIA KITU kimya kimya. Yani Ni SHIDA tuu , ukute wewe hata watoto wako Hakuna KITU ulichowaandalia yeye kashaanza.
 
Ndoa ya kuoa single mothers zina changamoto sana,lkn kama wapo humu na akili zao zimekaa vizuri wangejifunza kitu na kukiri mapungufu yao ili inapopatikana ndoa waweze kwenda vizuri,kifupi kwa michango mingi iliyopita huko nyuma inaoyehsa kuwa hawa watu ni majanga sana.

Hivi kweli mtu anakuzalisha,anakataa mtoto,anaoa mwanamke mwengine tofauti na wewe,inafika mahali mtoto amekuwa anajirudisha na unakubali hata kutembea naye,na upumbavu mwingine wengine wanabeba mpaka mimba tena,ni hatari sana kwa afya hao watu...
 
Ndoa ya kuoa single mothers zina changamoto sana,lkn kama wapo humu na akili zao zimekaa vizuri wangejifunza kitu na kukiri mapungufu yao ili inapopatikana ndoa waweze kwenda vizuri,kifupi kwa michango mingi iliyopita huko nyuma inaoyehsa kuwa hawa watu ni majanga sana.Hivi kweli mtu anakuzalisha,anakataa mtoto,anaoa mwanamke mwengine tofauti na wewe,inafika mahali mtoto amekuwa anajirudisha na unakubali hata kutembea naye,na upumbavu mwingine wengine wanabeba mpaka mimba,ni hatari sana kwa afya ya hao watu...
Yani acha tuu, Mimi mzee aliniambia watu wakishazaa Ni ngumu kuachana , Ni ngumu mno.
 
Yani acha tuu, Mimi mzee aliniambia watu wakishazaa Ni ngumu kuachana , Ni ngumu mno.
Kwa hiyo kuolewa na Mwanaume ambae ana mtoto au watoto kabla ya ndoa nao yaweza kuwa mtihani pia au siyo?

Kwa muktadha wa kile ulichoandika hapo ?!

Kwamba watu wakizaa hawaachani?!
 
Kwa hiyo kuolewa na Mwanaume ambae ana mtoto au watoto kabla ya ndoa nao yaweza kuwa mtihani pia au siyo?

Kwa muktadha wa kile ulichoandika hapo ?!

Kwamba watu wakizaa hawaachani?!
Ndio inaweza kuwa mtihani ukiolewa na mwanaume mwenye mtoto.

Sio wate wapo wengine wanaachana ila Ni wachache Sana Tena Sana.
 
Huyu jamaa tumesoma wote lakini ni mtu mwenye asili ya ubishi lakini pia ni aina flani ya watu wanaojifanya wajuaji anyway sasa twende kwenye mada yetu halisia

Kipindi anataka kuoa washikaji wake wa karibu tulimsihi sana huyu binti ukimuoa huko mbeleni atakuja kukupa shida simply tunawaelewa single mother ni ngumu kuvunja bond kati yake na mwanaume aliyezaa nae lakini msela alijifanya mwamba coz binti alimweleza jamaa aliyeza nae alimtekelekeza na hataki hata kumsikia sababu alikataa mimba na akamtelekeza hivyo hana hata mpango nae

Leo hii ndoa yao ina miaka mitatu jamaa kagundua binti na jamaa wanawasiliana vizuli , wanakutana na kuna kipindi jamaa akitaka mtoto kumuona binti anampeleka kumuona baba yake mzazi.

Jamaa yetu baada ya kugundua hayo amemwambia binti huyu mtoto anaomba ampeleke akalelewewe na baba yake upande wa pili huyu baba wa mtoto ana mke wake na hizo habari za kuletewa mtoto hataki kuzisikia coz hataki mgogoro kwenye ndoa yake kuleta mtoto wa njee ,

Ukienda kwenye kutoa huduma za mtoto huku jamaa hachangii chochote kile kuhusu mtoto wake anadai majukumu ya familia yake yamembana hana uwezo wa kumuhudumia mtoto lakini kila mwisho wa miezi mitatu jamaa kule huwa anataka apelekewe mtoto akamsalimie baba yake kimya kimya bila msela huku asijue
Na mbaya zaidi majukumu yote ya mtoto msela yamemuelemea huku mtoto ana baba yake......

Mpka sasa ndoa yao ina mgogoro mzito jamaa yetu saivi kama kachanyikiwa connection ya kimya kimya kati ya mke wake na jamaa inampa uchungu na majukumu yote ya mtoto wao yapo juu yake
Mkuu still hali yao ni ngumu kwenye ndoa mpaka sasa?
 
Ha ha ha kwaio mkuu kumbe haukuoa uyo single mom
Aisee nilipata mmoja alikuwa na mtoto wa kiume kama 6 years sikuona tatizo lake kivile labda bado mdogo lakini kuna mda anawivu kabisa unaona ukiwa na mama yake au ukiwa unatafuna ile kitu ya kati sometime ata salamu akupi yani nikajiuliza huyu mbeleni si itakuwa balaa kabisa, kibaya zaidi dogo kila mwaka anatambulishwa baba mpya namuonea huruma sana yule mtoto kwa kweli.
 
Mwanamke umedharaulika umepata wa kukuheshimisha unarudi tena kwa aliyekudharau akumwagie...Nife aje atombع kaburi langu.Asante mume wangu kwa kuniheshimisha.SINGLE MOTHERS TATIZO MSIMAMO
Hahaha hahaha hahah
 
Back
Top Bottom