Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Single mothers ni athari na madhara yanayotokana na kampeni ya usawa

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa mkubwa sana, na wengine walisikika wakisema, "Wanawake Tunaweza." Sasa, athari zake zimeanza kuonekana: wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa wengi kadri muda unavyosonga mbele.

Sijui itakuwaje baada ya miaka 20 ijayo. Mbaya zaidi, hawa mama wasio na waume wanajiona wana haki ya kusaidiwa, na ukimsaidia, usitegemee shukrani; msaidie tu. Miaka ijayo, tutakuwa na kiwango kikubwa cha hawa mama wasio na waume wenye tatizo la afya ya akili.

IMG_25670415_074705.JPG
 
Ila wanatia huruma sana.. Unakuta Mwanamke ana watoto watatu na biashara inayomuingizia riziki ni kuuza mihogo ya kukaanga....hapohapo alipe kodi, hapohapo awalishe watoto yaani ni noma ssana... Tuwasaidie tu mungu atatulipa
Kuna kadem nlichukua namba yake, kwenye kuchati nako nikaona kanatoa ushauri kama wote..... Kukapeleleza vizuri kumbe ni single mother... Ety hataki kuumizwa tena... Mara anaomba Mungu amjalie ndoa. Nkasema mmmmm hapa umeyakanyaga, we leta mbususu nichakate ila mi binafsi niko Chama cha KATAA NDOA.
LINDA KIBUNDA CHAKO.
 
Kanuni ni zilezile inapohusu single maza

●Hatulei bao la mwanaume mwingine

●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake

●Single maza waolewe na baba za watoto wao

●Single maza ni wa kupiga na kusepa

Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza

Learn or perish
 
Hapo nyuma kampeni na uhamasishaji ulikuwa ni mkubwa sana, na wengine walisikika kwa sauti wakisema WANAWAKE TUNAWEZA.. sasa athari zake zimeanza kuonekana wanawake wenye watoto wasiokuwa na baba wamekuwa ni wengi sana kadiri muda unavyozidi kusogea, sijui baada ya miaka 20 ijayo itakuwaje😊 mbaya zaidi hawa single mothers wanajiona wana haki ya kusaidiwa , ukimsaidia usitegemee shukrani wewe msaidie tu..... Miaka ijayo tutakuwa na kiwango kikubwa cha hawa single mothers wenye tatizo la afya ya Akili...... View attachment 2964040
Wizara husika wanajifanya hawalioni wako kimya acha vibaka na majambazi waaendelee kuongezeka mitaani

Zitakuja ziwakae sawa baadae watakapo vitaka viti vyao wavikalie na la kuwa fanya hawana
 
Kuna kadem nlichukua namba yake, kwenye kuchati nako nikaona kanatoa ushauri kama wote..... Kukapeleleza vizuri kumbe ni single mother... Ety hataki kuumizwa tena... Mara anaomba Mungu amjalie ndoa. Nkasema mmmmm hapa umeyakanyaga, we leta mbususu nichakate ila mi binafsi niko Chama cha KATAA NDOA.
LINDA KIBUNDA CHAKO.
Single mothers wengi wao wanajifanya wana akili sana halafu eti wako stable 😀😀😀
 
Hii ni kweli asilimia Mia,ukiwasikia wanavyofarijiana,utasikia Nina kazi yangu nzuri na biashara naweza kulea mwenyewe watoto,wanaume wenyewe wa kuwapenda wako wapi,hawaangalii madhara ya watoto baadae,mtoto kulelewa na mzazi mmoja ni shida sana.kosa kidogo tuu mwanamke anaondoka kwa mumewe.Mungu akisaidie kizazi chetu.
 
Back
Top Bottom