Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali uliwapa jibu gani? Wanaume wa kupendwa tupo wapi?wanaume wenyewe wa kuwapenda wako wapi,
Juzi kuna mmoja nilimpa mchele ale na wanae.... Kuna kituko alikifanya muda ujao nitakileta tuje tucheke wote..... Nimevumilia kuchekea chooni nimeshindwa😀😀😀😀Single mothers wengi, huwa wanatia huruma sasa jidanganye kuwahurumia ujue walivyo...
Huwa wanastress zisizo elezeka!
Na unakuta kilichomtoa kwenye muungano wa ndoa ni hiyo hiyo biashara ya mihogo baada ya kupata faida mfululizo ya 15K per day akajiona naye anaweza akamletea mumewe kiburi kwamba asimwambie kitu kama biashara na yeye anayo asimbabaishe amuache.Ila wanatia huruma sana.. Unakuta Mwanamke ana watoto watatu na biashara inayomuingizia riziki ni kuuza mihogo ya kukaanga....hapohapo alipe kodi, hapohapo awalishe watoto yaani ni noma ssana... Tuwasaidie tu mungu atatulipa
Muambie akampende hata baba yakeHili swali uliwapa jibu gani? Wanaume wa kupendwa tupo wapi?
Hana akili kabisa!!!Aoae mwanamke mwenye mtoto na hana akili...
.
Usisahau na LIVERPOOL na mwenzie ARSENAL 😁Yaani shetani alivyogundua kuwa mapenzi hayaumizi tena ndio kaamua katuletea Simba Sc Club
Shule wanasomesha kwa kudanga waume za watu.Ngoja warudi saivi wamesindikiza watoto waende shule
Hamna ni Kawaida mkuuMngewapumzisha kidogo mnawasakama sana..
Wana maisha magumu aisee, mungu awasaidieShule wanasomesha kwa kudanga waume za watu.
Ukikitana nae hata kwenye biashara mkabadilishana namba(wewe kichwani huna lengo wala huwazi mapenzi) baada ya kufanya kazi mbili tatu anakuchomekea mkopo ukimpa kulipa halipi anaanza kutengeneza mazingira umtake.hovyo tu
Safi kabisa... Nitaongea na bwana nyoshi elsaaadat awatungie nyimboHamna ni Kawaida mkuu
Hapana hilo mimi nalikataa mkuu, hakuna fashion ya hivyo hawa watu wana majonzi sana kwenye mioyo yao... Facial expressions zinasoma kwa kuwatizamaSingle mama ni fashion siku hizi
Wanawake wengi siku hizi wanataka mtoto ndoa baadae
AminaSafi kabisa... Nitaongea na bwana nyoshi elsaaadat awatungie nyimbo