Single mothers njooni tuzungumze kwa mapana na ufupi

Umeandika ujumbe mzito mnoo!!! Nikushukuru kwa hilo, lipo la kujifunza Mkuu!!!

Hebu agiza soda hapo kwa mangi naja lipa!!!
 
single mother wameshageuzwa FOREx huku MMU
maana kila siku wanatungia thread tyu daaahh

single mother kama nikweli mnahayo madhaifu wanayo yataja wadau basi mtazeeka bila NDOA Aiseeeee. lazima muolewe nakina baba dangote wakati mmeshakuwa maajuza

Hii mbaya sana!
 
Yan niache kuinvest kene mambo ya msing ya kuniingizia pesa n invest kene mahusiano na kiumbe mwanaume mapenz hayana formular na mapenz ya kwel huja automatic,hizi thread zinachoshaaaaaaa mnooo yan!
Kila mtu apambane na hali yake aisee
 
Hii mbaya sana!
yaani wee acha tu ..maana haya mabandiko yanavyozidi ndio yanazidi kuhamasisha vijana wakiume kuwaepuka Hawa..
so kama wanahizo tabia tajwa zinazolalamikiwa kila siku humu ingepndeza zaidi waziache..kwa wanaojielewa lakini
 
Uzi bora wa kufungulia mwaka huu mkuu, ubarikiwe

Asante kwa kuona thamani ya single mama na kuonyesha kwamba nao ni watu na wanastahili heshima japo kidogo.

Mengine hayo ni hulka tu ya mtu
 
Hoja yenye nguvu
 
Hiyo namba 1 mmh na nisiolewe tu for the rest of my life mwenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…