Single mothers njooni tuzungumze kwa mapana na ufupi

Single mothers njooni tuzungumze kwa mapana na ufupi

Rejea kipengele namba sita na namba saba vinakuhusu. Unaonekana unaelewa tatizo lipo wapi ila ni jeuri na viburi ndivyo vinakuponza.

Anyways, bado miaka kadhaa, utatoka kusema mapenzi hayana formula kuja kusema eeeh yebeneza, nipe hata konda wa daladala nitamuheshimu.

Bora upigwe kofi na binadamu mwenzako, ila sio maisha yakupige kofi.
Niache kuomba vitu vya msingi niombe upuuzi,never!
 
Niache kuomba vitu vya msingi niombe upuuzi,never!
Pambana na hali yako. Tutakuja kusoma uzi wako miaka ijayo ukishakwama. Kwanza unaonekana bado una usichana .....so ukikuwa na kuwa mwanamke kamili utaelewa hata bila kufundisha......go to hell.
 
I love myself, I appreciate what I have.....I love my son......cjishushi na ndoto zangu ni kuolewa na kua na familia bora na tayari nshaanza kupata wachumba so being a single mother hakubadilishi kitu
 
Pambana na hali yako. Tutakuja kusoma uzi wako miaka ijayo ukishakwama. Kwanza unaonekana bado una usichana .....so ukikuwa na kuwa mwanamke kamili utaelewa hata bila kufundisha......go to hell.
Usiforce mambo yawe utakavyo,kila mtu ana plan zake ktk maisha na kusoma uz WA kukwama inakubid uchukue na kiti ukae usubir mana unategemea kitu ambacho hakitakuja tokea..
 
Salaam,
kila kukicha kukicha zinaletwa nyuzi za kuwakashifu single mother, hivi mmekuwaje. baadhi ya vitu msivyovijua kuhusu single mother tunajielewa. endeleeni kuwang'ang'ania hao ambao wato wao wametupa chooni, mitaroni n.k kila siku kutukashifu.
nyie wenyewe kila siku kuwatupia lawama wanaotoa mimba na kutupa wototo.
kwanza kuna sie
  • Tunaojua kujitafutia na kuwatafutia watoto wetu
  • Ndoa sio kipaumbele chetu,
  • Tunajiamini
  • Na watoto wetu ndo furaha yetu.
mimi binafsi mwanangu kwanza mengine baadae
namfurahia mwanangu sababu ananipa nguvu ya kumpamba na changamoto za kila siku.

ebu tuachen tuenjoy maisha mwake tunaonekana wakosefu kana kwamba nyie ni watakatifu. shame
 
Binafsi nawakubali sana single mothers wanaopambana kulea watoto wao.

Na inabidi tujue kua usingle mother hauji wenyewe, ni matokeo ya kutelekezwa na mwanaume.

Wanaume tuache kuzingua. Kama huwezi kuoa single mother basi angalau usimkashfu. Wanapitia mengi na hawajachagua kua hivyo. (Japo wapo wachache walio chagua, ila wengi imewakuta)
 
Salaam,
kila kukicha kukicha zinaletwa nyuzi za kuwakashifu single mother, hivi mmekuwaje. baadhi ya vitu msivyovijua kuhusu single mother tunajielewa. endeleeni kuwang'ang'ania hao ambao wato wao wametupa chooni, mitaroni n.k kila siku kutukashifu.
nyie wenyewe kila siku kuwatupia lawama wanaotoa mimba na kutupa wototo.
kwanza kuna sie
  • Tunaojua kujitafutia na kuwatafutia watoto wetu
  • Ndoa sio kipaumbele chetu,
  • Tunajiamini
  • Na watoto wetu ndo furaha yetu.
mimi binafsi mwanangu kwanza mengine baadae
namfurahia mwanangu sababu ananipa nguvu ya kumpamba na changamoto za kila siku.

ebu tuachen tuenjoy maisha mwake tunaonekana wakosefu kana kwamba nyie ni watakatifu. shame
Umetumwa? Kamwe hamtatuhamisha kwenye kifo cha mpendwa wetu Ally Kibao hata na hizi mada uchwara za single mazas.
 
Rai yangu kwa mnaolea watoto wenyewe bila kujali uwe singo maza/faza, nawaomba sana msiwalishe watoto sumu/chuki na maneno mabaya dhidi ya mzazi mwenza.

Kuna baadhi yenu mnawaambia mambo makubwa kuzidi hata umri na uwezo wao wa kuyapokea, mnawaharibu watoto.
 
Back
Top Bottom