joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Duu hiyo status uliyo kuwa nayo ya kipekeee yaaani si kivile kwa mbaliiiiiiiiiii......Siko single ila pia kwenye mahusiano siko kiviiiiile. Naishi tu kwa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu hiyo status uliyo kuwa nayo ya kipekeee yaaani si kivile kwa mbaliiiiiiiiiii......Siko single ila pia kwenye mahusiano siko kiviiiiile. Naishi tu kwa kweli.
Niko kwenye yale mahusiano ambayo tunapendana yes ila hatuna kesho. Tunachojua leo tuna furaha lakini ndoa na vingine havipoDuu hiyo status uliyo kuwa nayo ya kipekeee yaaani si kivile kwa mbaliiiiiiiiiii......
Duuu yanaweza vunjika mda wowote mkichokana?Niko kwenye yale mahusiano ambayo tunapendana yes ila hatuna kesho. Tunachojua leo tuna furaha lakini ndoa na vingine havipo
Kuchokana sio rahisi labda mmoja wetu azingue.Duuu yanaweza vunjika mda wowote mkichokana?
Tatizo mahusiano yenu hayana future /malengo.Kuchokana sio rahisi labda mmoja wetu azingue.
Huu ni ukweliKwa dada zangu ambao vichwa ngumu sababu ya hela zao na elimu zao wao wanataka 50/50 mpaka kwenye mahusiano hao tumemwachia Mungu, lkn hamna watu wanaoteswa na upweke kama hawa ila wakiwa mbele ya kamera wanajifanya wana ngozi za chuma ila ukizigusa za bonyea.
Hilo tu ndo tatizo. But I'm happy and that's all that matters [emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]Tatizo mahusiano yenu hayana future /malengo.
fanya kula sana, na sio hivo tuu, kula sana vya maprotini CHURA ikue, utarudi hapa kunishukuru, wanaume na hata wanawake wenzako watakugombania kama kundi la nyuki ligombaniavyo asali.Are you among them mkuu, ama unatufariji tu?
nako anaweza akaambulia kibamia kabisa, na akaishia kuchemsha kotekote.Sana ila kupata dudu rahisi
kwa kifupi, mpo kwaajili ya kusaidiana kupunguziana nye.ge, siku ziende.Niko kwenye yale mahusiano ambayo tunapendana yes ila hatuna kesho. Tunachojua leo tuna furaha lakini ndoa na vingine havipo
Mnadanganyana.fanya kula sana, na sio hivo tuu, kula sana vya maprotini CHURA ikue, utarudi hapa kunishukuru, wanaume na hata wanawake wenzako watakugombania kama kundi la nyuki ligombaniavyo asali.
Tunaweza kusema hivyokwa kifupi, mpo kwaajili ya kusaidiana kupunguziana nye.ge, siku ziende.
Kudanganyana nini? afanye kunenepesha CHURA hilo, aone kama hatagombaniwa.Mnadanganyana.
Hata marehemu Mama Rwakatale alikuwa anasisitiza sana wadada swala la ndoaNiliona siku moja kiongozi wa single mamas Tanzania kule Twitter nimesahau jina lake ila ana rasta kichwani akiwahisi wasichana wasikae bila mwanaume kwani ni ngumu sana kulea mtoto bila baba yake kuwepo karibu.
Nilishangaa maana nikajua yeye kama kiongozi wa single mamas Tanzania na mtetezi wa haki za wanawake hana shida na mwanaume kumbe deep down anateseka kuzaa, kulea na kuishi nyumba haina mwanaume.
Y'all are overestimating yourselves 😁😁🙈Kupata ni kitu kingine and getting what you need from him ni another issue
Cha kwanza ni easy cha pili mhhhh[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Itaoza mkuu embu mtunuku mtoto wa mwanamke mwenzao[emoji23][emoji23] iache nataka irudi kama mpyaa
Sasa hayo ndio mahusiano, no strings attached ni kufurahia leo tu!!Niko kwenye yale mahusiano ambayo tunapendana yes ila hatuna kesho. Tunachojua leo tuna furaha lakini ndoa na vingine havipo
Wenzio are depressed because of that.Sasa hayo ndio mahusiano, no strings attached ni kufurahia leo tu!!