Sintah kuingia jumba la Big Brother Africa mwaka huu

Siku hizi BB wanapokea mpaka mbilikimo?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
dah bora wewe jamaa unahabari zakuelewela kabisa kunakaparyengo mmoja humu jf jukwaa hilihili yuko bize kupromot ushoga kila Uzi wake flani shoga flani msagaji etiutafiti wake anafanya IG
 
wabongo tuna vipaji ila hatuviendelezi au tunavitumia vibaya....mtu kama sintah angevuta subira yaje mashindano ya BIBI BOMBA AFRICA ashiriki naamini atashinda kwani ni mabibi wachache sana kama yeye wenye uwezo wa kujifanya wasichana bila kujulikana
 
Labda aende bibi bomba Africa.. kwa mtonyo upi huyo hata kwenye ile round ya kurudisha fomu atapigwa chini na kiingereza hicho cha Kayumba.
AACHE KUTUDANGANYA KWANZA BIG BROTHER YA MWAKA HUU ITAANZA AFTER WORLDCUP KAMA ILIVYOKUWA 2010 NDO MAANA HATA MCHAKATO WA KUCHUKUA FOMU BADO MAANA MIAKA MINGINE MICHAKATO YA FOMU HUWA INAANZA TANGU FEB NA MEI WANAINGIA MJENGONI.

Aache kutuibia kiingilio hapa.
 
kigezo namba moja cha kwenda BBA ni kujioa akili kwanza ufanye mambo kama ya kichangu hivi..

dont behave like a lokole lady/man otherwise watazamaji watakuona mzinguaji.. seriousness is strictly prohibited..
 

Kwikwikwi..anaweza akashinda bibi bomba..si unajua bibie ni ajuza! ziwa limemshuka kama mtungi wa gesi..kazi sifa za kipuuzy tu..hua ananiudhi anavyojiona wa maana as if ni malkia..---- zake!
 
Kwikwikwi..anaweza akashinda bibi bomba..si unajua bibie ni ajuza! ziwa limemshuka kama mtungi wa gesi..kazi sifa za kipuuzy tu..hua ananiudhi anavyojiona wa maana as if ni malkia..---- zake!

HAHAHA ziwa kama mtugi wa gas lol
 
Akieenda bba naandama kama nilivyozaliwa
mpka ikulu.
 
Kama sio fani yako utaumbuka Sinta BBA???
source nature aka kibra
 
Kwikwikwi..anaweza akashinda bibi bomba..si unajua bibie ni ajuza! ziwa limemshuka kama mtungi wa gesi..kazi sifa za kipuuzy tu..hua ananiudhi anavyojiona wa maana as if ni malkia..---- zake!

hahahahahaha aiseeeee kuna umeniacha hoi
 
ningependa kukufahamisha kuwa mchakato wa big brother bdo hatujauanza kwa mwaka huu tunajadili mchakato uanze mwezi wa may na washindani kuingia mjengoni mwezi wa nane,,hii nikutokana na matukio makubwa ambayo yanaendelea katika feeds zetu hasa ile ya optc. Ch 199
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…