Sintofahamu kuhusu hali ya Wanajeshi Wetu DRC: Ni muhimu ifanyike Cabinet Reshuffle haraka sana.

Sintofahamu kuhusu hali ya Wanajeshi Wetu DRC: Ni muhimu ifanyike Cabinet Reshuffle haraka sana.

Hadi sasa kuna taarifa kinzani kuhusu hali za Wanajeshi wetu waliopo nchini Congo (DRC).

Hadi sasa ni nchi ya Afrika Kusini tu inayotoa status kwa wananchi wake kuhusu hali ya wapiganaji wao waliopo nchini humo.

Juzi Media za Kimataifa zilisema kuhusu Wanajeshi wa Tanzania, Malawi na Afrika Kusini waliojeruhiwa kurudishwa makwao ambapo walikwama kwa saa kadhaa nchini Rwanda.

Wakati Media za Afrika Kusini zikiwataarifu wananchi kuhusu wapiganaji wao majeruhi kurudi nyumbani hali imekuwa tofauti hapa nyumbani. Hadi sasa hatujui kama Wapiganaji wetu wamerudi nyumbani au la. Hadi sasa hatufahamu kama majeruhi wetu walifika salama au bado wamekwama Rwanda. Hadi sasa hatufahamu vikosi vyetu vilivyopo nchini DRC vipo kwenye hali gani?

Tofauti na inavyotokea siku zote ambapo wananchi huwa tunapewa taarifa kuhusu Wanajeshi wetu tunaowapenda sana, kwa sasa hatupewi taarifa hizo.

Kutokupata taarifa sahihi kumezidi kumpa kichwa Kagame na vyombo vyake vya propaganda vilivyojaa kwenye social media mbalimbali ambao wamekuwa wakisambaza taarifa za kutekwa kwa Wanajeshi wetu.

Kutokana na Nchi yetu kuwa kimya sana, hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwa sasa tumemezwa na Kagame na kuwa kama watumwa wake. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwenye nafasi za juu hatuna watu competent wanaoweza ku counter propaganda machinery ya Rwanda iliyofanikiwa kuwa chanzo pekee cha taarifa ya yanayotokea Mashariki mwa Congo.

Kwangu mimi hali hii naitafsiri kama incompetence kwa waliopo Serikalini sasa kudeal na Kagame na watu wake.

Ili kurekebisha haya. Napendekeza yafuatayo:

1. Yafanyike Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo Waziri wa Ulinzi abadilishwe. Achukuliwe Mwanasiasa Mzoefu ikiwemo aliyeserve na kustaafu Jeshini mwenye uzoefu na vita pamoja na propaganda ateuliwe kuwa Waziri wa Ulinzi.- Hapa tuna kina Kanali Kinana, Simbakalia na Wengineo.

2. Kutokana na udharula warudishwe retired TPDF Officers kuhandle hii crisis. Kwenye hili nasita kupendekeza Mabadiliko ya CDF ila ikiwezekana ateuliwe mzoefu na competent mmoja (Either retired Ganeral au Retired Leuternant General kuwa CDF). Kwenye hili hata Trump amefanya juzi kwa kumteua Retired Luteni Generali kuwa CDF. Kwa haraka sana hapa napendekeza Mella, Makakala na Mwakibolwa wafikiriwe ili kuhande this crisis.

3. Yafanyike mabadiliko ya DGIS. Ikiwezekana ateuliwe yule aliyemgomea Magufuli kumpa Taarifa za Kiusalama mbele ya Waandishi wa habari kipindi Magufuli alipofanyq ziara Airport ( Nadhani jina lake Madafa) kuwa DGIS.



Lord denning
Dubai.
Kitendo cha Rwanda na m23 kufikiri wamewashinda jwtz na kuwadhalilisha watz hatutakikubali. Rwanda na jamaa zao wa kitutsi m23 wamevamia Goma kwa kikosi kikubwa wakiwa na silaha nzito. Wamepigana kishenzi kwa kuua raia ovyo kwa maelfu na kutimua watu waliyokua kwenye kambi mjini Goma na kujiona washindi. Wenye kuelewa wanajua kwamba watutsi kuwaua wabantu huko congo kwa wingi ndio lengo lao.
 
Kitendo cha Rwanda na m23 kufikiri wamewashinda jwtz na kuwadhalilisha watz hatutakikubali. Rwanda na jamaa zao wa kitutsi m23 wamevamia Goma kwa kikosi kikubwa wakiwa na silaha nzito. Wamepigana kishenzi kwa kuua raia ovyo kwa maelfu na kutimua watu waliyokua kwenye kambi mjini Goma na kujiona washindi. Wenye kuelewa wanajua kwamba watutsi kuwaua wabantu huko congo kwa wingi ndio lengo lao.

..CCM wamekubali.

..Mama Abduli amekubali.

..Wewe ni nani ukatae?
 
Usiwe na wasiwasi JWTZ na wanadiplomasia wetu wana uzoefu tosha kukabiliana na Hali kama hii. Sio yote ya kutangazwa hadharani.
 
Usiwe na wasiwasi JWTZ na wanadiplomasia wetu wana uzoefu tosha kukabiliana na Hali kama hii. Sio yote ya kutangazwa hadharani.
Sijaona mwanadiplomasia wa ku counter propaganda machinery za Kagame kwa sasa. Alikuwepo marehemu Membe. Yule at least angeweza.

Hawa tuliokuwa nao saivi ni wachanga na wepesi sana kudeal na Kagame na watu wake hasa General Kabarebe.
 
Kuna tetesi kuwa wametelekezwa.
Hapana wapo katika process ya kurejeshwa wote nyumbani, mkataba umesitishwa.

Tunavyoongea yaweza kuwa tayari wamerudishwa ama wapo njiani, kwani suala hilo ni la masaa tu.
 
Na mbaya zaidi inawezekana wanyarwanda wameweka mamluki wao Ili kujua hata aina za silaha tulizo nazo na zinazoingizwa bandarini. Hivyo pia hasara mojawapo ya kubinafsisha bandari inaweza kuonekana angle hii pia.
DP WORLD wenyewe hamna chochote wanachotupa, yaani wamekuwa kujichotea na kujilimbikizia mali
 
Hadi sasa kuna taarifa kinzani kuhusu hali za Wanajeshi wetu waliopo nchini Congo (DRC).

Hadi sasa ni nchi ya Afrika Kusini tu inayotoa status kwa wananchi wake kuhusu hali ya wapiganaji wao waliopo nchini humo.

Juzi Media za Kimataifa zilisema kuhusu Wanajeshi wa Tanzania, Malawi na Afrika Kusini waliojeruhiwa kurudishwa makwao ambapo walikwama kwa saa kadhaa nchini Rwanda.

Wakati Media za Afrika Kusini zikiwataarifu wananchi kuhusu wapiganaji wao majeruhi kurudi nyumbani hali imekuwa tofauti hapa nyumbani. Hadi sasa hatujui kama Wapiganaji wetu wamerudi nyumbani au la. Hadi sasa hatufahamu kama majeruhi wetu walifika salama au bado wamekwama Rwanda. Hadi sasa hatufahamu vikosi vyetu vilivyopo nchini DRC vipo kwenye hali gani?

Tofauti na inavyotokea siku zote ambapo wananchi huwa tunapewa taarifa kuhusu Wanajeshi wetu tunaowapenda sana, kwa sasa hatupewi taarifa hizo.

Kutokupata taarifa sahihi kumezidi kumpa kichwa Kagame na vyombo vyake vya propaganda vilivyojaa kwenye social media mbalimbali ambao wamekuwa wakisambaza taarifa za kutekwa kwa Wanajeshi wetu.

Kutokana na Nchi yetu kuwa kimya sana, hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwa sasa tumemezwa na Kagame na kuwa kama watumwa wake. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwenye nafasi za juu hatuna watu competent wanaoweza ku counter propaganda machinery ya Rwanda iliyofanikiwa kuwa chanzo pekee cha taarifa ya yanayotokea Mashariki mwa Congo.

Kwangu mimi hali hii naitafsiri kama incompetence kwa waliopo Serikalini sasa kudeal na Kagame na watu wake.

Ili kurekebisha haya. Napendekeza yafuatayo:

1. Yafanyike Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo Waziri wa Ulinzi abadilishwe. Achukuliwe Mwanasiasa Mzoefu ikiwemo aliyeserve na kustaafu Jeshini mwenye uzoefu na vita pamoja na propaganda ateuliwe kuwa Waziri wa Ulinzi.- Hapa tuna kina Kanali Kinana, Simbakalia na Wengineo.

2. Kutokana na udharula warudishwe retired TPDF Officers kuhandle hii crisis. Kwenye hili nasita kupendekeza Mabadiliko ya CDF ila ikiwezekana ateuliwe mzoefu na competent mmoja (Either retired Ganeral au Retired Leuternant General kuwa CDF). Kwenye hili hata Trump amefanya juzi kwa kumteua Retired Luteni Generali kuwa CDF. Kwa haraka sana hapa napendekeza Mella, Makakala na Mwakibolwa wafikiriwe ili kuhande this crisis.

3. Yafanyike mabadiliko ya DGIS. Ikiwezekana ateuliwe yule aliyemgomea Magufuli kumpa Taarifa za Kiusalama mbele ya Waandishi wa habari kipindi Magufuli alipofanyq ziara Airport ( Nadhani jina lake Madafa) kuwa DGIS.



Lord denning
Dubai.
😂😂😂😂 Propaganda vitani???

Kuna tofauti kati ya propaganda na transparency.

South Africa wamechagua transparency.

Upokee coffins, useme ni propaganda machinery za Kagame???
 
Kagame ni moto wa kuotea mbali.wanaopenda kujiingiza kwenye mgogoro ambao hauwahusu watateseka sana.pongezi kwako kagame Kwa kulinda amani Nchi yetu nzuri ya Rwanda na inayopendeza .
 
Hadi sasa kuna taarifa kinzani kuhusu hali za Wanajeshi wetu waliopo nchini Congo (DRC).

Hadi sasa ni nchi ya Afrika Kusini tu inayotoa status kwa wananchi wake kuhusu hali ya wapiganaji wao waliopo nchini humo.

Juzi Media za Kimataifa zilisema kuhusu Wanajeshi wa Tanzania, Malawi na Afrika Kusini waliojeruhiwa kurudishwa makwao ambapo walikwama kwa saa kadhaa nchini Rwanda.

Wakati Media za Afrika Kusini zikiwataarifu wananchi kuhusu wapiganaji wao majeruhi kurudi nyumbani hali imekuwa tofauti hapa nyumbani. Hadi sasa hatujui kama Wapiganaji wetu wamerudi nyumbani au la. Hadi sasa hatufahamu kama majeruhi wetu walifika salama au bado wamekwama Rwanda. Hadi sasa hatufahamu vikosi vyetu vilivyopo nchini DRC vipo kwenye hali gani?

Tofauti na inavyotokea siku zote ambapo wananchi huwa tunapewa taarifa kuhusu Wanajeshi wetu tunaowapenda sana, kwa sasa hatupewi taarifa hizo.

Kutokupata taarifa sahihi kumezidi kumpa kichwa Kagame na vyombo vyake vya propaganda vilivyojaa kwenye social media mbalimbali ambao wamekuwa wakisambaza taarifa za kutekwa kwa Wanajeshi wetu.

Kutokana na Nchi yetu kuwa kimya sana, hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwa sasa tumemezwa na Kagame na kuwa kama watumwa wake. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwenye nafasi za juu hatuna watu competent wanaoweza ku counter propaganda machinery ya Rwanda iliyofanikiwa kuwa chanzo pekee cha taarifa ya yanayotokea Mashariki mwa Congo.

Kwangu mimi hali hii naitafsiri kama incompetence kwa waliopo Serikalini sasa kudeal na Kagame na watu wake.

Ili kurekebisha haya. Napendekeza yafuatayo:

1. Yafanyike Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo Waziri wa Ulinzi abadilishwe. Achukuliwe Mwanasiasa Mzoefu ikiwemo aliyeserve na kustaafu Jeshini mwenye uzoefu na vita pamoja na propaganda ateuliwe kuwa Waziri wa Ulinzi.- Hapa tuna kina Kanali Kinana, Simbakalia na Wengineo.

2. Kutokana na udharula warudishwe retired TPDF Officers kuhandle hii crisis. Kwenye hili nasita kupendekeza Mabadiliko ya CDF ila ikiwezekana ateuliwe mzoefu na competent mmoja (Either retired Ganeral au Retired Leuternant General kuwa CDF). Kwenye hili hata Trump amefanya juzi kwa kumteua Retired Luteni Generali kuwa CDF. Kwa haraka sana hapa napendekeza Mella, Makakala na Mwakibolwa wafikiriwe ili kuhande this crisis.

3. Yafanyike mabadiliko ya DGIS. Ikiwezekana ateuliwe yule aliyemgomea Magufuli kumpa Taarifa za Kiusalama mbele ya Waandishi wa habari kipindi Magufuli alipofanyq ziara Airport ( Nadhani jina lake Madafa) kuwa DGIS.



Lord denning
Dubai.
Yaani ulivyoandika mtu atadhani unajuuuuuua, kumbe hujui chochote kuhusu international peacekeeping missions!
 
Hadi sasa kuna taarifa kinzani kuhusu hali za Wanajeshi wetu waliopo nchini Congo (DRC).

Hadi sasa ni nchi ya Afrika Kusini tu inayotoa status kwa wananchi wake kuhusu hali ya wapiganaji wao waliopo nchini humo.

Juzi Media za Kimataifa zilisema kuhusu Wanajeshi wa Tanzania, Malawi na Afrika Kusini waliojeruhiwa kurudishwa makwao ambapo walikwama kwa saa kadhaa nchini Rwanda.

Wakati Media za Afrika Kusini zikiwataarifu wananchi kuhusu wapiganaji wao majeruhi kurudi nyumbani hali imekuwa tofauti hapa nyumbani. Hadi sasa hatujui kama Wapiganaji wetu wamerudi nyumbani au la. Hadi sasa hatufahamu kama majeruhi wetu walifika salama au bado wamekwama Rwanda. Hadi sasa hatufahamu vikosi vyetu vilivyopo nchini DRC vipo kwenye hali gani?

Tofauti na inavyotokea siku zote ambapo wananchi huwa tunapewa taarifa kuhusu Wanajeshi wetu tunaowapenda sana, kwa sasa hatupewi taarifa hizo.

Kutokupata taarifa sahihi kumezidi kumpa kichwa Kagame na vyombo vyake vya propaganda vilivyojaa kwenye social media mbalimbali ambao wamekuwa wakisambaza taarifa za kutekwa kwa Wanajeshi wetu.

Kutokana na Nchi yetu kuwa kimya sana, hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwa sasa tumemezwa na Kagame na kuwa kama watumwa wake. Hii inaweza kutafsiriwa kuwa kwenye nafasi za juu hatuna watu competent wanaoweza ku counter propaganda machinery ya Rwanda iliyofanikiwa kuwa chanzo pekee cha taarifa ya yanayotokea Mashariki mwa Congo.

Kwangu mimi hali hii naitafsiri kama incompetence kwa waliopo Serikalini sasa kudeal na Kagame na watu wake.

Ili kurekebisha haya. Napendekeza yafuatayo:

1. Yafanyike Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ambapo Waziri wa Ulinzi abadilishwe. Achukuliwe Mwanasiasa Mzoefu ikiwemo aliyeserve na kustaafu Jeshini mwenye uzoefu na vita pamoja na propaganda ateuliwe kuwa Waziri wa Ulinzi.- Hapa tuna kina Kanali Kinana, Simbakalia na Wengineo.

2. Kutokana na udharula warudishwe retired TPDF Officers kuhandle hii crisis. Kwenye hili nasita kupendekeza Mabadiliko ya CDF ila ikiwezekana ateuliwe mzoefu na competent mmoja (Either retired Ganeral au Retired Leuternant General kuwa CDF). Kwenye hili hata Trump amefanya juzi kwa kumteua Retired Luteni Generali kuwa CDF. Kwa haraka sana hapa napendekeza Mella, Makakala na Mwakibolwa wafikiriwe ili kuhande this crisis.

3. Yafanyike mabadiliko ya DGIS. Ikiwezekana ateuliwe yule aliyemgomea Magufuli kumpa Taarifa za Kiusalama mbele ya Waandishi wa habari kipindi Magufuli alipofanyq ziara Airport ( Nadhani jina lake Madafa) kuwa DGIS.



Lord denning
Dubai.
CCM ndio chanzo cha hovyo hii.
 
Wakati Media za Afrika Kusini zikiwataarifu wananchi kuhusu wapiganaji wao majeruhi kurudi nyumbani hali imekuwa tofauti hapa nyumbani. Hadi sasa hatujui kama Wapiganaji wetu wamerudi nyumbani au la. Hadi sasa hatufahamu kama majeruhi wetu walifika salama au bado wamekwama Rwanda. Hadi sasa hatufahamu vikosi vyetu vilivyopo nchini DRC vipo kwenye hali gani?
Maneno haya yana ashiria jambo muhimu kuhusu nchi yetu.
Kwamba viongozi (watawala) hapa hawawajibiki kwa wananchi wao; kwamba wananchi ndio wanao wajibu kwa viongozi. Wannchi hawawezi kusema chochote wala kuchukua hatua yeyote dhidi ya watawala. Wananchi wanapokea tu na kuyakubali yanayofanywa na watawala bila ya kuhoji chochote. Wanchi hawatakiwi kuhoji kitu, na wanao jaribu kufanya hivyo wanawajibishwa.
WaTanzania ni MATEKA wa watawala.
 
Kitendo cha Rwanda na m23 kufikiri wamewashinda jwtz na kuwadhalilisha watz hatutakikubali. Rwanda na jamaa zao wa kitutsi m23 wamevamia Goma kwa kikosi kikubwa wakiwa na silaha nzito. Wamepigana kishenzi kwa kuua raia ovyo kwa maelfu na kutimua watu waliyokua kwenye kambi mjini Goma na kujiona washindi. Wenye kuelewa wanajua kwamba watutsi kuwaua wabantu huko congo kwa wingi ndio lengo lao.
Mkuu sijaelewa hoja yako hapa..
 
Back
Top Bottom